Huyo hawezi lurlewa mku, ngoja nisisemem mengi nisije nikaonekana mbayaTUMEMPA MISTARI YA BIBLIA BADO HAELEWI.
26 Basi Yusufu akafa, mwenye miaka mia na kumi; wakampaka dawa, wakamtia katika sanduku, huko Misri.
Mwanzo 50:26
Hivi kwa nn kutumia nguvu namna hiyoTUMEMPA MISTARI YA BIBLIA BADO HAELEWI.
26 Basi Yusufu akafa, mwenye miaka mia na kumi; wakampaka dawa, wakamtia katika sanduku, huko Misri.
Mwanzo 50:26
Siamini hata kidogo rudi chimbua kiutashi kisha hutaamini hiki ulichoandika ukaomba admin afute mkeka woteHata ushoga unaenea hivo kwa kauli kama hizo maana mtoto si wako yanini mwingine kumkemea. Asante mh. Speaker
Ukweli hakuna. Ila kuna faida ki- science . In case Marehemu alikuwa na magonjwa yanayo enezwa kwa kugusa, jeneza linapunguza maambukizi. I stand to be corrected.Naomba muongozo.... kwanini maiti mnawaweka kwenye Jeneza ... ?View attachment 2595171
Hahaaaaaaaa, toka nianze kusoma Biblia nikiwa darasa la nne hadi umri huu sijawahi ona sehemu imeandikwa dunia itakuwa kiganjani. Naomba andiko linalosema hivyo.Una uhakika simu haipo kwenye maandiko? Dunia itakuwa kigajani ina maana gani? Kwamba kila kitu utakiona bila kificho.
Kitu nilichouliza. Tuliza akili ndo ujibu
Hii ni sahihi nami nilikuwa nataka kuweka hili. Hongera kwa kuliweka hili. Sijajua amesemaje kwa andiko hili, japo masuala ya kuzika na mila za makabila Biblia haijaongelea kwani Biblia si kitabu cha Mila za watu. Biblia ni muongozo wa kumuishia Mungu.TUMEMPA MISTARI YA BIBLIA BADO HAELEWI.
26 Basi Yusufu akafa, mwenye miaka mia na kumi; wakampaka dawa, wakamtia katika sanduku, huko Misri.
Mwanzo 50:26
Mungu akubarikinkwa hilo.LUKA 7:12–14
12. Alipokaribia njia ya kuingia mjini alikutana na watu wal iobeba maiti wakitoka nje ya mji. Marehemu alikuwa mtoto wa kiume wa pekee wa mama mmoja mjane na umati wa watu wa mji ule ulikuwa pamoja na huyo mama.
13. Bwana Yesu alipomwona yule mjane moyo wake ulijaa huruma, akamwambia, “Usilie.”
14. Kisha akalisogelea lile jeneza akaligusa na wale waliolibeba wakasimama. Ndipo akasema: “Kijana nakuambia, amka!”
Sasa unakataa maandiko yenu we ajuza? Quran haisemi hivyo jama katunga au?Jifikirie, wewe unabudu binaadam na sisi tunaoabudu Allah, muumba wetu ambae ndie Yesu alimuabudu, nani hapo wa kwenda Jahanam?
Jibu unalo.
Kumfuata mtu ni tofauti na kuandikwa. Kama ni hivyo basi na sisi tunafuata utamaduni wa wenzetu wa magharibi wa kuwahifadhi marehemu katika mazingira mazuri, kabla ya kwenda kuwahifadhi kwenye nyumba zao za milele.Tunamfata Yesu, alayhi salaam.
Na wewe naomba unijibu mbona Mohamad alikuwa na wanawake tisa lakini leo mnaoa mwisho wanne? Ukinijibu ni takupa jibu lakoNaomba muongozo.... kwanini maiti mnawaweka kwenye Jeneza ... ?View attachment 2595171
Hebu na wewe tupe andiko ambalo linawataka Waislamu mbebe maiti kwenye MikekaNaomba muongozo.... kwanini maiti mnawaweka kwenye Jeneza ... ?View attachment 2595171
Usinyamaze mkuu. Nina maana kuzika kwenye Jeneza kwa mkristo si amri ambayo iko kwenye Biblia. Ila inaelezea mkristo kuzika kwenye Jeneza ni Ustaarabu na mila zilizo kuwepo hata kabla ya Kristo.ngoja ninyamaze😁
Kwani andiko gani linakataza?Naomba muongozo.... kwanini maiti mnawaweka kwenye Jeneza ... ?View attachment 2595171
Naongezea: Je, kwani andiko lake linasemaje kuhusu wanaozikwa kwa kuchoma moto? au wanaozikwa angani andiko lake linasemaje?Kwani ni andiko gani limekataza wasizike kwa jeneza????