Wakristo kimavazi tunazidi kupotea, Mavazi yaliyoshauriwa kwenye maandiko yamepuuzwa, Pongezi kwa Waislam kuendela kuvaa mavazi yanayositiri

Wakristo kimavazi tunazidi kupotea, Mavazi yaliyoshauriwa kwenye maandiko yamepuuzwa, Pongezi kwa Waislam kuendela kuvaa mavazi yanayositiri

View attachment 2427340

Mavazi ya kusitiri hayana Dini, Iwe na ukristo ama Uislamu yamewekewa msisitizo lakini inaonekana wazi kabisa wakristo wanapuuza maandiko kwa kuendelea kuyapa thamani mavazi yasiyositiri.

View attachment 2427341

Mimi binafsi ni mkristo nashukuru navyozaliwa haya mambo ya utandawazi wa mavazi yalikuwa bado hayajaathiri wanawake wa kikristo, tangu nizaliwe sijawai kuona mama Yangu katoka nje kavaa suruali (vazi la mwanaume) inayomchresha mapaja, Makalio na hips .... SIJAWAI !!! Ni jambo la kujivunia kwakweli, Hebu vuta picha Mama yako anatok nje vazi limemchora mpododo, steki, mapaja, hips, n.k.

View attachment 2427343


Shida inakuja siku hizi, Suruali, vimini na magauni marefu anayobana yenye mpasuko yamekuwa kama vazi rasmi,, ni kawaida sana hata mtoto kujua ukubwa wa makalio ya mama yake, hips zake, mapaja, n.k. Hii ni aibu sana.

View attachment 2427344View attachment 2427345

Biblia ilishakataza kuvaa mavazi ya wanaume hizi suruali, kila mtu kapewa free will a kutaka kufanya atakacho lakini ni muhimu kuangalia impact, Binti kavaa jeans imembana imemchora kilakitu, Haya ni majaribu ya wazi wazi kwa wanaume walioumbwa kuyatamani maungo hayo, Na ndio maana hata mwanaume akigeuka ni vile alivyoumbwa luyatamani mango hayo.

View attachment 2427346

Biblia ilishaweka wazi wanawake waae mavazi yanayositiri lakini kinachoendelea ni kinyume, sketi zinazovaliwa zinaishia magotini kuyafanya mapaja yaonekane mwanamke akikaa. Kuna sketi hizi ndefu kama za harusini lakini zimembana sana mwanamke hazina tena heshima maana zinaachia hips wazi wazi bila kusitiri.


View attachment 2427347

Mavazi hayo yanavaliwa na wote sio waislamu sio wakristu.
Ushawai kutana na mtu kavaa dera na ushungi alafu huko ndani ako chukuchuku yalaaaa yalaaaa.

"Hyo picha namba mbili ya slimthickmary ifute mzazi mwenzie akiiona atambutua tu bure"
 
Mkuu let’s be honest hapa, je dada yako au mama yako akivaa hivo utamtamani? Kama jibu ni hapana basi tukubali tu tamaa ya kumtamani mwanamke hujengwa zaidi akilini mwa mwanaume na haijalishi mavazi ya mwanamke!
je wanavaa uchi uchi kumaanisha nini?
 
Watu wanaenda kanisani lakini utazani wanaenda night clubs [emoji848][emoji848]

Mbaya zaidi wachungaji hawakemei hata kidogo siku hizi.

Wanachojali wao siku hizi ni sadaka tu basi [emoji848]

Vaa uvaavyo tutakuelewa muhimu kwetu ni sadaka kwanza.
 
Wanataka kufanana na watu wa Dunia ambao hawajapata Neema ya kumjua Mwenyezi Mungu.
 
Watu wanavaa mavazi ya kikahaba kiasi kwamba hata asieamini hawezi kuvaa.
 
Wana inferiority competition problem.

Yaani wanazani wakivaa mavazi ya heshima hawatapendeza!

Wengi wakuja !

Hawajiamini.
 
Kijana acha tamaa,eti mpododo wa mama sijui kufanyaje,hizo nguo unazopigia chapuo sio zetu,Bibi zetu ,mama Africa walitembea matiti wazi na mipododo nje,hakuna aliyewabaka,waliheshimika na Vijana wao,hao walioleta hizo nguo ndio wamekuja na mibalaa yao.......tatizo watu wa siku hizi mnapenda Sana kusisimka kila dakika yaani MTU kaona tu kahipsi kametuna keshasisimka daaaahh
 
Soma kuhusu mkakati wa malikia wa kuzimu dhidi ya kanisa utajua mengi kwann wakristo wameacha maagizo jinsi ya kuvaa walivyoelekezwa.
 
Jibu eti Yesu haangalii mavazi , hili swala hata mimi kunipa wakati mgumu maana mtu unaweza kukutana na mdada mkiristo dini imemkolea ila mavazi yake sasa mtihani mtupu.
Si funzo la Yesu bali la kuzimu Ili kuwapa uhalifu watu kupotoka kimavi,lengo kuu ni kupromote miwako ya tamaa za ngono makanisani. Moyo uathirika kwa matendo ya mwilini
 
Wewe Bible uliletewa na mzungu na Quran uliletewa na muarabu, jiulize kabla yao bibi zako na babu zako walikua wanavaaje kabla ya uwepo wa viwanda vya nguo? Msijipumbaze kiasi hicho,
Lakini wale hadi leo awakuwaka tamaa,awakujua kuhusu dhambi, walikuwa gizani.
Huwezi chukua mavazi ya kahaba kanisani
 
SEMA Mimi nachukulia mwanamke anayevaa mavazi ya ivyo nyumba za ibada most of the time anakuwa horny.....anapenda sex kupitiliza KWAIYO KUVAA ivyo ni apate attention watu wamtongoze especially wale wanaovaa vile vijidude shanga sio shanga cheni sio cheni unakuta kimemmbana shingoni kama mbwa jike anayetafuta mbwa dume
Wengi wao ni ajenti utumwa kuliangusha kanisa kwa kupandikiza roho ya uzinzi.
 
Hivi Karne 21,Karne ya artificial intelligence Bado Kuna mbwiga anaamini huu upuuzi kuhusu mavazi na dini?kipindi Cha mtume mudi,alikuwa anasafiri kwa punda na farasi,sasa hv uarabuni wanasafiri kwa Ndege,magari wanakosea?
Nenda shule hata QT ufungue hicho kichwa,haya ndio madhara ya kwenda madrasa badala ya darasani
Mungu abadiliki ni yule jana na leo.Mavazi yasiyostaha ni dhambi na chukizo
 
Back
Top Bottom