Wakristo kitu gani kimewakuta mpaka mmeanza kuwaiga waislamu?

Wakristo kitu gani kimewakuta mpaka mmeanza kuwaiga waislamu?

Mkristo ni nani? Kama sio mfuasi wa Yesu Kristo.
Kama wewe ni mfuasi wa Yesu alaf Yesu mwenyew hakuipinga torati, bali ameonesha kwamba njia pekee ya kuonesha mapenzi yako kwake ni kushika amri za mungu(torati) "mkinipenda mtazishika amri zangu", huoni kwamba unaongea nonsense.

Na ukisema Paulo alikuwa sio mkristo unaongea uongo mzee, rejea maana ya mkristo??

Uyahudi sio dini, uyahudi ni race/ethnicity ya mtu, kwa maneno yako ni kama vile kusema Mtume Muhammad S.A.W alikuwa ni muarabu na sio muislamu, uyahudi na ukristo ni vitu viwili tofauti, moja ni ethnicity while another ni dini, sasa kuwa myahudi na kuwa mkristo inawezekana kabisa.

Note; Nahic unachanganya kati ya Judaism, Christianity and Jewish.

Jewish/myahudi- Race/Ethnicity
Judaism- Jewish religion.

Na kimsingi dini sio Ufuasi wa mtu bali Mungu.
Hivyo kuwa mfuasi wa Kristo (Ukristo) sio Dini.
Kwa sababu Yesu sio Mungu.

Uyahudi ni Dini

Gal 1:14​

Nami naliendelea katika dini ya Kiyahudi kuliko wengi walio hirimu zangu katika kabila yangu, nikajitahidi sana katika kuyashika mapokeo ya baba zangu

Matendo 2:11​

Wayahudi na watu walioongokea dini ya Kiyahudi; wengine wametoka Krete na Arabia. Sisi sote tunasikia wakisema kwa lugha zetu wenyewe mambo makuu ya Mungu

Mimi na wewe nani anasema uongo?
Hapo umeona Uyahudi ni dini au sio dini?

Yesu dini yake ni Myahudi
Paulo dini yake ni Myahudi
Wanafunzi wote wa Yesu walikuwa wayahudi.

Kwa hiyo Wafuasi wa Yohana mbatizaji nao wanadini iitwayo Uyohana?
Hivi unajua wakati wa Yesu kulikuwa na Marabi(Waalimu) wenye Wafuasi na sio kwamba waligundua dini mpya.

Kama huna uelewa na haya mambo ni bora ukae kimya
 

Ndio nakuuliza Wafuasi wa Yohana mbatizaji nao walikuwa na dini yao kuacha Uyahudi?

Ndio maana waislamu wanawaona Wakristo kama Watu wasiotumia Akili.
Kuwa mfuasi wa kristo (Ukristo) hakuibadili dini ya Kristo kuwa Uyahudi.

Haya embu tuambie Mungu wa Wakristo anaitwa nani?
Maana Mungu wa Wayahudi anaitwa Yahweh
 
kwa hiyo Judaism kwa kiswahili ni nn ? ukiambiwa mjinga utasema unatukanwa hali unauonyesha dhahiri.
"Dini ya uyahudi" ndo neno sahihi, ukisema "Uyahudi" tuu unachanganya watu kwasababu kweny biblia wanaposema "wayahudi" mara nyingi wana-refer kizazi kilichotokana na kabila ya "yuda".

Wewe unamatatizo ya akili, kama huwez kuleta hoja na kuongea na mtu bila kuleta matusi ni dalili ya mtu mwenye shida kichwani.

Kwakheri, sidhani kama ntakujibu tena.
 
Na kimsingi dini sio Ufuasi wa mtu bali Mungu.
Hivyo kuwa mfuasi wa Kristo (Ukristo) sio Dini.
Kwa sababu Yesu sio Mungu.

Uyahudi ni Dini

Gal 1:14​

Nami naliendelea katika dini ya Kiyahudi kuliko wengi walio hirimu zangu katika kabila yangu, nikajitahidi sana katika kuyashika mapokeo ya baba zangu

Matendo 2:11​

Wayahudi na watu walioongokea dini ya Kiyahudi; wengine wametoka Krete na Arabia. Sisi sote tunasikia wakisema kwa lugha zetu wenyewe mambo makuu ya Mungu

Mimi na wewe nani anasema uongo?
Hapo umeona Uyahudi ni dini au sio dini?

Yesu dini yake ni Myahudi
Paulo dini yake ni Myahudi
Wanafunzi wote wa Yesu walikuwa wayahudi.

Kwa hiyo Wafuasi wa Yohana mbatizaji nao wanadini iitwayo Uyohana?
Hivi unajua wakati wa Yesu kulikuwa na Marabi(Waalimu) wenye Wafuasi na sio kwamba waligundua dini mpya.

Kama huna uelewa na haya mambo ni bora ukae kimya
Dini ni nini?
 
"Dini ya uyahudi" ndo neno sahihi, ukisema "Uyahudi" tuu unachanganya watu kwasababu kweny biblia wanaposema "wayahudi" mara nyingi wana-refer kizazi kilichotokana na kabila ya "yuda".

Wewe unamatatizo ya akili, kama huwez kuleta hoja na kuongea na mtu bila kuleta matusi ni dalili ya mtu mwenye shida kichwani.

Kwakheri, sidhani kama ntakujibu tena.
Kariobangii huweka bangi karionii
 
Haya embu tuambie Mungu wa Wakristo anaitwa nani?
Maana Mungu wa Wayahudi anaitwa Yahweh
Brother sikia tufupishe tuu haya mazungumzo, mm najua siwez kubadilisha mtazamo wako wa kusema "Yesu sio mungu", nimekuona mara nyingi tuu humu jukwaani ukisema hivo na trust me nimeona watu wengi wakijaribu kukuelewesha kwa kutumia mafungu ya biblia na common sense tuu lakini wapi, bado umekaza fuvu, hio ni ideology iliyojaa kichwani kwako kwa miaka mingi, ni mungu tuu labda ahusike kukuongoza katika kusoma maandiko uyaelewe na ujue yesu ni nani. Hapa tutabishana tuu na haitasaidia kitu.

Katika maisha yangu nimekutana na watu wa design yako weny hio ideology, na wengi wao either hawajasoma vizur Agano jipya kwa umakini au wana mitazamo yao ambayo hawataki ivunjwe hata ufanyeje (sometimes mitazamo yao ndo unayowasaidia mkono uende kinywani)

Yesu kristo ni either alikuwa Mungu au alikuwa mtu aliyechanganyikiwa, inabidi uchague moja wapo hapo, maana ukisema alikuwa nabii, hakuna nabii narudia tena hakuna nabii kweny biblia aliyediriki kusema maneno aliyosema yesu, na kujipa mamlaka, na kujipa sifa, na kuonakana kama mtu mweny uhakika na future yake na future ya wafuasi wake kama yesu. Manabii wote hayupo aliyethubutu kusema "MIMI MIMI nitawaokoa, mkinifata MIMI ntawaokoa, MIMI MIMI ndiye njia ya uzima, MIMI ndiye mwanga wa ulimwengu" hakuna nabii aliyethubutu kujipa hizi sifa, ni Yesu Kristo pekee ndo alisema maneno haya na kujiweka kweny nafasi ya mungu na mbingu hazikupinga, unadhani kwann??
Wangapi walijikweza na kujifananisha na Mungu wakaanguka kwa aibu??

Ukisema alikuwa "Rabi" wa kawaida yaan mwalimu, napo unakosea kwasababu hakuna Rabi alikuwa na mamlaka kama aliyokuwa nayo yesu, alisema "Mwana wa Adam ana uwezo wa kusamehe dhambi hata duniani" sasa nambie kuna Rabi au mtume au Nabii yeyote aliyethubutu kuwaaambia watu anauwezo wa kusamehe dhambi??

Ukisema alikuwa binadamu wa kawaida aliyechanganyikiwa ndo maana akasema haya "makufuru" hapo naweza kukuelewa, ila usiseme alikuwa tuu binadamu wa kawaida mweny uelewa mkubwa wa dini, Nabii, mtume, Rabi...hapana mzee, he doesn't fit in those categories.
Ni kama tuu vile Israel walivomchukulia, mafarisayo walisema amechanganyikiwa wengine wakamwamini wakamwita mfalme wao, ni either Mungu au amechanganyikiwa.

Yaan ni hivyo tuu broo, either yule mtu aliyekuwa anaitwa Yesu alikuwa ni Mungu au chizi, ni uamuzi wako sasa kuamua.
 
Brother sikia tufupishe tuu haya mazungumzo, mm najua siwez kubadilisha mtazamo wako wa kusema "Yesu sio mungu", nimekuona mara nyingi tuu humu jukwaani ukisema hivo na trust me nimeona watu wengi wakijaribu kukuelewesha kwa kutumia mafungu ya biblia na common sense tuu lakini wapi, bado umekaza fuvu, hio ni ideology iliyojaa kichwani kwako kwa miaka mingi, ni mungu tuu labda ahusike kukuongoza katika kusoma maandiko uyaelewe na ujue yesu ni nani. Hapa tutabishana tuu na haitasaidia kitu.

Katika maisha yangu nimekutana na watu wa design yako weny hio ideology, na wengi wao either hawajasoma vizur Agano jipya kwa umakini au wana mitazamo yao ambayo hawataki ivunjwe hata ufanyeje (sometimes mitazamo yao ndo unayowasaidia mkono uende kinywani)

Yesu kristo ni either alikuwa Mungu au alikuwa mtu aliyechanganyikiwa, inabidi uchague moja wapo hapo, maana ukisema alikuwa nabii, hakuna nabii narudia tena hakuna nabii kweny biblia aliyediriki kusema maneno aliyosema yesu, na kujipa mamlaka, na kujipa sifa, na kuonakana kama mtu mweny uhakika na future yake na future ya wafuasi wake kama yesu. Manabii wote hayupo aliyethubutu kusema "MIMI MIMI nitawaokoa, mkinifata MIMI ntawaokoa, MIMI MIMI ndiye njia ya uzima, MIMI ndiye mwanga wa ulimwengu" hakuna nabii aliyethubutu kujipa hizi sifa, ni Yesu Kristo pekee ndo alisema maneno haya na kujiweka kweny nafasi ya mungu na mbingu hazikupinga, unadhani kwann??
Wangapi walijikweza na kujifananisha na Mungu wakaanguka kwa aibu??

Ukisema alikuwa "Rabi" wa kawaida yaan mwalimu, napo unakosea kwasababu hakuna Rabi alikuwa na mamlaka kama aliyokuwa nayo yesu, alisema "Mwana wa Adam ana uwezo wa kusamehe dhambi hata duniani" sasa nambie kuna Rabi au mtume au Nabii yeyote aliyethubutu kuwaaambia watu anauwezo wa kusamehe dhambi??

Ukisema alikuwa binadamu wa kawaida aliyechanganyikiwa ndo maana akasema haya "makufuru" hapo naweza kukuelewa, ila usiseme alikuwa tuu binadamu wa kawaida mweny uelewa mkubwa wa dini, Nabii, mtume, Rabi...hapana mzee, he doesn't fit in those categories.
Ni kama tuu vile Israel walivomchukulia, mafarisayo walisema amechanganyikiwa wengine wakamwamini wakamwita mfalme wao, ni either Mungu au amechanganyikiwa.

Yaan ni hivyo tuu broo, either yule mtu aliyekuwa anaitwa Yesu alikuwa ni Mungu au chizi, ni uamuzi wako sasa kuamua.

Kuachana na Kitabu kinachoelezea habari za Yesu(Injili) kuna kitabu kingine ambacho kinahusu Marabi wengine ambacho umekisoma mpaka useme hakuna Marabi wengine waliokuwa wanasamehe dhambi?

Unapoambiwa usamehe saba mara sabini,unaelewa kitu gani kama mwanadamu hawezi kusamehe?
 
Brother sikia tufupishe tuu haya mazungumzo, mm najua siwez kubadilisha mtazamo wako wa kusema "Yesu sio mungu", nimekuona mara nyingi tuu humu jukwaani ukisema hivo na trust me nimeona watu wengi wakijaribu kukuelewesha kwa kutumia mafungu ya biblia na common sense tuu lakini wapi, bado umekaza fuvu, hio ni ideology iliyojaa kichwani kwako kwa miaka mingi, ni mungu tuu labda ahusike kukuongoza katika kusoma maandiko uyaelewe na ujue yesu ni nani. Hapa tutabishana tuu na haitasaidia kitu.

Katika maisha yangu nimekutana na watu wa design yako weny hio ideology, na wengi wao either hawajasoma vizur Agano jipya kwa umakini au wana mitazamo yao ambayo hawataki ivunjwe hata ufanyeje (sometimes mitazamo yao ndo unayowasaidia mkono uende kinywani)

Yesu kristo ni either alikuwa Mungu au alikuwa mtu aliyechanganyikiwa, inabidi uchague moja wapo hapo, maana ukisema alikuwa nabii, hakuna nabii narudia tena hakuna nabii kweny biblia aliyediriki kusema maneno aliyosema yesu, na kujipa mamlaka, na kujipa sifa, na kuonakana kama mtu mweny uhakika na future yake na future ya wafuasi wake kama yesu. Manabii wote hayupo aliyethubutu kusema "MIMI MIMI nitawaokoa, mkinifata MIMI ntawaokoa, MIMI MIMI ndiye njia ya uzima, MIMI ndiye mwanga wa ulimwengu" hakuna nabii aliyethubutu kujipa hizi sifa, ni Yesu Kristo pekee ndo alisema maneno haya na kujiweka kweny nafasi ya mungu na mbingu hazikupinga, unadhani kwann??
Wangapi walijikweza na kujifananisha na Mungu wakaanguka kwa aibu??

Ukisema alikuwa "Rabi" wa kawaida yaan mwalimu, napo unakosea kwasababu hakuna Rabi alikuwa na mamlaka kama aliyokuwa nayo yesu, alisema "Mwana wa Adam ana uwezo wa kusamehe dhambi hata duniani" sasa nambie kuna Rabi au mtume au Nabii yeyote aliyethubutu kuwaaambia watu anauwezo wa kusamehe dhambi??

Ukisema alikuwa binadamu wa kawaida aliyechanganyikiwa ndo maana akasema haya "makufuru" hapo naweza kukuelewa, ila usiseme alikuwa tuu binadamu wa kawaida mweny uelewa mkubwa wa dini, Nabii, mtume, Rabi...hapana mzee, he doesn't fit in those categories.
Ni kama tuu vile Israel walivomchukulia, mafarisayo walisema amechanganyikiwa wengine wakamwamini wakamwita mfalme wao, ni either Mungu au amechanganyikiwa.

Yaan ni hivyo tuu broo, either yule mtu aliyekuwa anaitwa Yesu alikuwa ni Mungu au chizi, ni uamuzi wako sasa kuamua.

Yesu hakuwa Mungu
Hivi unajua maana ya dhana "Mungu"?

Yeye mwenyewe hakujiita Mungu lakini ninyi mwamuita Mungu ni kwamba mmelogwa?

Musa naye utasema alikuwa Mungu sio?
 
Kuachana na Kitabu kinachoelezea habari za Yesu(Injili) kuna kitabu kingine ambacho kinahusu Marabi wengine ambacho umekisoma mpaka useme hakuna Marabi wengine waliokuwa wanasamehe dhambi?

Unapoambiwa usamehe saba mara sabini,unaelewa kitu gani kama mwanadamu hawezi kusamehe?
Usijifanya kama haya mambo huyaelewi brother, msamaha wa binadamu ni tofauti na msamaha wa mungu, binadamu tunasemeheana kuondoa chuki moyoni, kuondoa visasi moyoni, na kuondoa vinyongo moyoni mwetu.

Nadhani unajua msamaha wa mungu unamaanisha nn, sihitaji kukuelimisha, na yesu alipomwambia yule mwanamke kahaba "nimekusamehe" hakuamaanisha masamaha wa kibinadamu, maana yule mwanamke kahaba hakumkosea yesu, bali alimkosea mungu kwa uzinifu, ulikuwa sio msamaha wa kibinadamu bali ulikuwa ni msamaha wa kufuta maovu ya yule mwanamke kahaba kama mungu anavofuta maovu yetu.
 
Yesu hakuwa Mungu
Hivi unajua maana ya dhana "Mungu"?

Yeye mwenyewe hakujiita Mungu lakini ninyi mwamuita Mungu ni kwamba mmelogwa?

Musa naye utasema alikuwa Mungu sio?
Yohana 8:57-58
[57]Basi Wayahudi wakamwambia, Wewe hujapata bado miaka hamsini, nawe umemwona Ibrahimu?
Then said the Jews unto him, Thou art not yet fifty years old, and hast thou seen Abraham?
[58]Yesu akawaambia, Amin, amin, nawaambia, Yeye Ibrahimu asijakuwako, mimi niko.
Jesus said unto them, Verily, verily, I say unto you, Before Abraham was, I am.


Binadamu anaweza kuishi miaka zaidi ya elfu mbili??
Maana kutoka Ibrahimu hadi kuzaliwa kwa Yesu ni miaka elfu mbili.

Yohana 1:1-10
[1]Hapo mwanzo kulikuwako Neno, naye Neno alikuwako kwa Mungu, naye Neno alikuwa Mungu.
In the beginning was the Word, and the Word was with God, and the Word was God.
[2]Huyo mwanzo alikuwako kwa Mungu.
The same was in the beginning with God.
[3]Vyote vilifanyika kwa huyo; wala pasipo yeye hakikufanyika cho chote kilichofanyika.
All things were made by him; and without him was not any thing made that was made.
[4]Ndani yake ndimo ulimokuwa uzima, nao ule uzima ulikuwa nuru ya watu.
In him was life; and the life was the light of men.
[5]Nayo nuru yang’aa gizani, wala giza halikuiweza.
And the light shineth in darkness; and the darkness comprehended it not.
[6]Palitokea mtu, ametumwa kutoka kwa Mungu, jina lake Yohana.
There was a man sent from God, whose name was John.
[7]Huyo alikuja kwa ushuhuda, ili aishuhudie ile nuru, wote wapate kuamini kwa yeye.
The same came for a witness, to bear witness of the Light, that all men through him might believe.
[8]Huyo hakuwa ile nuru, bali alikuja ili aishuhudie ile nuru.
He was not that Light, but was sent to bear witness of that Light.
[9]Kulikuwako Nuru halisi, amtiaye nuru kila mtu, akija katika ulimwengu.
That was the true Light, which lighteth every man that cometh into the world.
[10]Alikuwako ulimwenguni, hata kwa yeye ulimwengu ulipata kuwako, wala ulimwengu haukumtambua.
He was in the world, and the world was made by him, and the world knew him not.


Hapa anazungumziwa nani??
Kuna Nabii, Mtume, Rabi alihusika kuumba ulimwengu??
Kuna Nabii, Mtume, Rabi alikuwako kabla dunia kuwako??
 
Moderator naomba msi uunganishe Uzi huu na Uzi mwingine. Ninawaomba hayo kwa jina la Maxence Melo

Na declare interest. Mimi ni mfuasi as dini za jadi za kiafrika.

1. Ukristo ni imani ila Uislamu ni dini( mfumo wa maisha)

2. Uislamu umekaa kisheria na kisayansi zaidi kuliko " imani" lakini Ukristo umekaa kiimani zaidi kuliko sayansi na sheria. Ndio maana waislamu husema hadi sayansi inaweza kuthibitisha kwamba Qur'aan Tukufu, lakini huwezi sikia wakristu wakisema Biblia inaweza kuthibitishwa kisayansi..


3. Wakristu hawana dini ila wana imani.

4. Waislamu wana dini lakini hawana imani.


Kwanini nasema wakristu hawana dini, ila waislamu ndio wana dini?

Dini ni mfumo wa maisha. Hakunaga mfumo wa maisha wa Kikristu. Ili uitwe mfumo lazima uwe unafanana kwa watu wote. Hili kwa wakristu halipo kwa sababu kila nchi kila dhehebu wana utaratibu wao wa maisha. Lakini waislamu utaratibu wao unafanana kuanzia China hadi Chile. Ukienda China adhana itasomwa vile vile na kwa muda ule ule kama itakavyo kuwa Chile. N.k.


Kwanini nasema wakristu wana imani lakini waislamu hawana imani?


Kitendo cha wakristu kuamini kwamba Mungu anaweza kuacha enzi yake huko mbinguni akaja duniani akaingia kwenye tumbo la kiumbe alie muumba yeye mwenyewe akakaa humo kwa miezi tisa akazaliwa kisha akaja kusulubiwa na watu wake alio waumba yeye mwenyewe, ni kiwango cha juu kabisa cha ki imani kwa Mungu kuwahi kutokea tangu kuumba kwa dunia.


Kwa kuamini kuhusu Yesu, wakristu wanasema kwa vitendo kwamba👇

Mungu anaweza kufanya kila kitu ikiwemo kuzaliwa kama mwanadamu.

Ama kwa habari ya kuamini kwamba Mungu( Yesu) alisulubiwa na wanadamu ambao kwa Msingi wa imani ya Kikristo ni viumbe wake mwenyewe, tafsiri yake ni kwamba wakristu wanaamini kwamba Mungu anaweza kuwa kitu chochote kile kwa namna yoyote ile. Yeye ndio kaumba unyenyekevu jambo ambalo maana yake ni kwamba yeye ndio mnyenyekevu namba moja. Yeye ni mnyenyekevu kuliko kitu chochote kile. So kitendo cha Mungu kuja duniani na kuishi kama mwanadamu na kusulubiwa na wanadamu ambao kawaumba yeye mwenyewe kinathibitisha kwa vitendo unyenyekevu wa Mungu. Hakuna kiumbe wa kufanana na Mungu kwa namna yoyote ile. Na kwa habari ya unyenyekevu hakuna kiumbe anae weza kufanana na Mungu katika eneo hilo la unyenyekevu kwa sababu kiwango cha juu kabisa cha unyenyekevu ni pale Mungu alivyo shuka duniani yeye mwenyewe na kukaa ndani ya tumbo la kiumbe chake mwenyewe na kisha kusulubiwa na viumbe wake mwenyewe. Ndio maana Yesu mwenyewe alijisema kwamba yeye ni Mnyenyekevu wa moyo. Wakristu kuamini kuhusu mambo hayo hapo juu inathibitisha kwamba ni watu wenye imani ya hali ya juu sana.


Na waislamu wanapo kataa kuamini story ya Yesu kama ilivyo andikwa kwenye Biblia tafsiri yake ni kwamba wanasema

1. Mungu hawezi kufanya kila kitu.

2. Yapo mambo ambayo Mungu hawezi kuyafanya kabisa na mojawapo kati ya mambo ambayo Mungu hawezi kuyafanya ni pamoja na kuzaliwa kama mwanadamu na kuishi kama mwanadamu.na kuteswa na viumbe ambao amewaumba yeye mwenyewe . Jambo ambalo tafsiri yake ni kwamba waislamu hawana imani kwa Mungu. Hawaamini kama Mungu anaweza kuzaliwa kama mwanadamu wala kuvaa unyenyekevu na kuteswa na viumbe wake yeye mwenyewe. Wamemuwekea Mungu mipaka juu ya mambo ambayo anaweza kuyafanya na asio weza kuyafanya...


BACK TO THE POINT

Waislamu wanaongozwa na sheria na kanuni..

Muislamu mwenzao anapofanya hadharani jambo ambalo ni kinyume na sheria za kiislamu basi waislamu watamuhukumu mtu huyo hadharani accordingly. Kwa mfano mtu akionekana amevaa kanzu anaelekea msikitini ama anatoka msikitini huku akiwa amelewa pombe basi waislamu watampopoa mtu huyo hadharani kwamba kwanini anakwenda kwenye nyumba takatifu akiwa amelewa.


Ama kwa watu wasio kuwa waislamu ambao wamekuwa wakifanya mambo kinyume na uislamu basi waislamu wamekuwa wakiwashukia vikali pia.

VIPI KUHUSU WAKRISTU?

Wakristu wao huongozwa zaidi na imani kuliko sheria kama walivyo fundishwa na Yesu. Na kwa miaka mingi wamekuwa wakiyaishi maisha hayo. Hawamjudge mtu anae enda kinyume na mafundisho yao awe mkristu asiwe mkristu.

Kwa mfano: Stand Up comedian wengi wa Kikristo wamekuwa wakifanya utani kuhusu characters wa kwenye bible including Jesus himself.

Refer utani wa Tina Rogat kuhusu Yesu alioutoa kwenye video ambayo kwenye You Tube ipo titled " WANAUME WANAO TUMA NAULI" or something.

Angekuwa muislamu huyo halafu afanye utani kuhusu Mtume kwa namna hiyo sasa hivi angekuwa mkimbizi kama Salman Rushdie.

Huko Nigeria, stand up comedian wa Kikristo wanafikiaga hadi hatua ya kumuita Yesu " Jay" .


Wewe stand up comedian muislamu jaribu kumuita Prophet Muhammmad ( PBUH) just " Mudy" uone balaa lake.


Nowadays wakristu mmeanza kuwaiga waislamu. Na nyinyi eti mmeanza kuwa mna wajudge watu kwa mambo ya mwilini.


Mnamjudge Mtumishi wa Mungu Prophet Lovy kwa sababu ya mavazi yake.

Imani yenu imekwenda wapi enyi wakristu? Kama mnaamini kwamba Mungu aliweza kuja duniani na akazaliwa kama mwanadamu na akateswa na wanadamu ambao amewaumba yeye mwenyewe, ni kitu gani hicho kinacho wafanya mshindwe kuamini kwamba Mungu huyo huyo anaweza kumtumia Prophet Lovy ambae ninyi mna muhukumu utafikiri ninyi ndio Mungu.


Mmeanza lini kuhukumu watu? Yesu akawaambia na asie na dhambi kati yenu basi awe wa kwanza kumtupia jiwe mwanamke huyu.

Silaha kubwa mliyonayo wakristu ni maombi kama mnaamini Prophet Lovy hayupo mnavyo taka awe ninyi basi muombeeni awe mkamilifu kama nyie.
Umesema mengi ya ukweli lakini inaonekana bado kuna kitu hujakielewa sawasawa. Unaposema Waislamu hawana imani kisa tu hawakubaliani na kwamba Mungu alishuka duniani kupitia kiumbe chake aliyemuumba yeye mwenyewe na kwamba kutokukubali kwao waislamu juu ya hili ndo kunawakosesha imani hapa hujaelewa IMANI ni nini na hoja ya ya waislamu ni ipi ya kukataa. Sio ability ya Mungu kufanya alitakalo bali ni fact ya nini kilifanyika na nini kimezuliwa na watu. Kumbuka Quran imeshuka centuries baada ya Yesu kuondoka katika uso wa dunia.

Quran haikubali kuwa Yesu ni Mungu kama inavyoaminiwa na wakristo kwa kuwa yenyewe (Quran) inaelezea fact ya YESU ni nani na MUNGU ni nani. Kama ambavyo umekubali fact za kisayansi zilizomo ndani Quran even before binadamu kuzigundua kwa maendeleo ya kisayansi basi pia moja ya fact zilizomo ndani ya Quran ni juu ya Yesu ni nani na yaliyojiri kumuhusu yeye kwa kiwango kilichopotoshwa katika narration za wanadamu baada ya kuondoka kwake.

Quran sio kitabu cha uvumbuzi wa sayansi bali ni kitabu cha muongozo kwa wanadamu! usahihi wake wa kisayansi ni ishara na uthibitisho kwetu juu ya ukweli na uongofu uliomo ndani ya kitabu hicho. Ukiishia kuverify science iliyomo na ukaacha muongozo mwengine uliomo ndani yake ni kwamba umeamua tu kutoukubali ukweli wa fact husika licha ya kukiri authenticity ya source iliyokuelezea fact hiyo (through your science verification, na hapa ndo hoja Quran kuwa ni miracle inapokuja)!

Katika suala la Imani, kama wengi wasivoelewa imani ni nini na wewe inainekana hujaelewa maana ya imani ni nini. Imani sio kuchagua ukweli wa kitu usichokijua kwa njia ya 'ana ana doo' bali imani ni kuridhika juu ya ukweli wa jambo lisiloonekana kwa kupitia lile linaloonekana! Point ya msingi kabisa hapa ni kuridhika (kujitosheleza kwa kukinai) na sio kuchagua upande! Kama ambavyo wengi katika watu tunaamini kuwa Mungu yupo just kwa kuangalia nature ya dunia, maumbile na creation zinazotuzunguka (tumeridhika na ukweli wa uwepo wa Mungu ambae sote hatumuoni kupitia yale tunayoyaona katika creation zake).

Sasa ukishaelewa usahihi wa imani ni nini na hoja ya waislamu kupingana na yale yanayosemwa na wakristo, then ndo uje udiscuss je waislamu wana imani au hawana!? na je wapo sahihi au wamepotea!
 
Mungu hawezi kuwa na Mtoto ila Allah ana watoto.
Mbona hamuulizi kuwa inayumnikanaje awe na watoto hali hana mke?

Au huwajui watoto watatu wa Allah ?
Akina Uzza na Dada zake wawili.

Mnashupalia Mambo ya wengine wakati ya kwenu yamewashinda.
"Hivi! mmemuona lata na uzza? na manata mwingine wa tatu? je! ninyi ndio wenye watoto wa kiume na yeye ndio awe na wa kike?huo bila shaka ni mgawanyo wa dhulma, hayakuwa hayo isipokuwa ni majina mliyowapa nyinyi na baba zenu, allah hakuteremsha uthibitisho wowote juu ya hayo, hawafuati ila dhana tu na yale yanayotamaniwa na nafsi, na kwa yakini uongofu ulikwisha wafikia kutoka kwa mola wao."

Qur'an 53:19-23

Mbona Qur'an ndio inalisema vibaya jambo hilo mkuu, au wewe umetoa wapi habari hizo? Qur'an ukiisoma ukiwa biased lazima upotelee maporini.

"na walisema allah mwingi wa rehema amejifanyia mtoto, kwa hakika mmeleta jambo la kubwa mno! zinakaribia mbingu kutatuka kwa hilo, na ardhi kupasuka, na milima kuanguka vipande vipande, kwa kule kudai kwao kuwa allah mwingi wa rahma ana mtoto, wala haimpasii allah mwingi wa rahma kuwa na mtoto, hapana yeyote aliyeko mbinguni na ardhini ila atafika kwa allah mwingi wa rahma hali ya kuwa ni mja wake, kwa hakika yeye amewadhibiti na amewahisabu sawa sawa kwa idadi,
na kila mmoja katika wao atamjia {allah} siku ya qiyamah hali ya kuwa yuko peke yake."


Qur'an 19:88-95

Wakati mwingine usome Qur'an ukiwa open minded na uwe tayari kupokea ukweli wowote hata kama unauma, kisha ni juu yako kufuata au kuacha.
 
Moderator naomba msi uunganishe Uzi huu na Uzi mwingine. Ninawaomba hayo kwa jina la Maxence Melo

Na declare interest. Mimi ni mfuasi as dini za jadi za kiafrika.

1. Ukristo ni imani ila Uislamu ni dini( mfumo wa maisha)

2. Uislamu umekaa kisheria na kisayansi zaidi kuliko " imani" lakini Ukristo umekaa kiimani zaidi kuliko sayansi na sheria. Ndio maana waislamu husema hadi sayansi inaweza kuthibitisha kwamba Qur'aan Tukufu, lakini huwezi sikia wakristu wakisema Biblia inaweza kuthibitishwa kisayansi..


3. Wakristu hawana dini ila wana imani.

4. Waislamu wana dini lakini hawana imani.


Kwanini nasema wakristu hawana dini, ila waislamu ndio wana dini?

Dini ni mfumo wa maisha. Hakunaga mfumo wa maisha wa Kikristu. Ili uitwe mfumo lazima uwe unafanana kwa watu wote. Hili kwa wakristu halipo kwa sababu kila nchi kila dhehebu wana utaratibu wao wa maisha. Lakini waislamu utaratibu wao unafanana kuanzia China hadi Chile. Ukienda China adhana itasomwa vile vile na kwa muda ule ule kama itakavyo kuwa Chile. N.k.


Kwanini nasema wakristu wana imani lakini waislamu hawana imani?


Kitendo cha wakristu kuamini kwamba Mungu anaweza kuacha enzi yake huko mbinguni akaja duniani akaingia kwenye tumbo la kiumbe alie muumba yeye mwenyewe akakaa humo kwa miezi tisa akazaliwa kisha akaja kusulubiwa na watu wake alio waumba yeye mwenyewe, ni kiwango cha juu kabisa cha ki imani kwa Mungu kuwahi kutokea tangu kuumba kwa dunia.


Kwa kuamini kuhusu Yesu, wakristu wanasema kwa vitendo kwamba👇

Mungu anaweza kufanya kila kitu ikiwemo kuzaliwa kama mwanadamu.

Ama kwa habari ya kuamini kwamba Mungu( Yesu) alisulubiwa na wanadamu ambao kwa Msingi wa imani ya Kikristo ni viumbe wake mwenyewe, tafsiri yake ni kwamba wakristu wanaamini kwamba Mungu anaweza kuwa kitu chochote kile kwa namna yoyote ile. Yeye ndio kaumba unyenyekevu jambo ambalo maana yake ni kwamba yeye ndio mnyenyekevu namba moja. Yeye ni mnyenyekevu kuliko kitu chochote kile. So kitendo cha Mungu kuja duniani na kuishi kama mwanadamu na kusulubiwa na wanadamu ambao kawaumba yeye mwenyewe kinathibitisha kwa vitendo unyenyekevu wa Mungu. Hakuna kiumbe wa kufanana na Mungu kwa namna yoyote ile. Na kwa habari ya unyenyekevu hakuna kiumbe anae weza kufanana na Mungu katika eneo hilo la unyenyekevu kwa sababu kiwango cha juu kabisa cha unyenyekevu ni pale Mungu alivyo shuka duniani yeye mwenyewe na kukaa ndani ya tumbo la kiumbe chake mwenyewe na kisha kusulubiwa na viumbe wake mwenyewe. Ndio maana Yesu mwenyewe alijisema kwamba yeye ni Mnyenyekevu wa moyo. Wakristu kuamini kuhusu mambo hayo hapo juu inathibitisha kwamba ni watu wenye imani ya hali ya juu sana.


Na waislamu wanapo kataa kuamini story ya Yesu kama ilivyo andikwa kwenye Biblia tafsiri yake ni kwamba wanasema

1. Mungu hawezi kufanya kila kitu.

2. Yapo mambo ambayo Mungu hawezi kuyafanya kabisa na mojawapo kati ya mambo ambayo Mungu hawezi kuyafanya ni pamoja na kuzaliwa kama mwanadamu na kuishi kama mwanadamu.na kuteswa na viumbe ambao amewaumba yeye mwenyewe . Jambo ambalo tafsiri yake ni kwamba waislamu hawana imani kwa Mungu. Hawaamini kama Mungu anaweza kuzaliwa kama mwanadamu wala kuvaa unyenyekevu na kuteswa na viumbe wake yeye mwenyewe. Wamemuwekea Mungu mipaka juu ya mambo ambayo anaweza kuyafanya na asio weza kuyafanya...


BACK TO THE POINT

Waislamu wanaongozwa na sheria na kanuni..

Muislamu mwenzao anapofanya hadharani jambo ambalo ni kinyume na sheria za kiislamu basi waislamu watamuhukumu mtu huyo hadharani accordingly. Kwa mfano mtu akionekana amevaa kanzu anaelekea msikitini ama anatoka msikitini huku akiwa amelewa pombe basi waislamu watampopoa mtu huyo hadharani kwamba kwanini anakwenda kwenye nyumba takatifu akiwa amelewa.


Ama kwa watu wasio kuwa waislamu ambao wamekuwa wakifanya mambo kinyume na uislamu basi waislamu wamekuwa wakiwashukia vikali pia.

VIPI KUHUSU WAKRISTU?

Wakristu wao huongozwa zaidi na imani kuliko sheria kama walivyo fundishwa na Yesu. Na kwa miaka mingi wamekuwa wakiyaishi maisha hayo. Hawamjudge mtu anae enda kinyume na mafundisho yao awe mkristu asiwe mkristu.

Kwa mfano: Stand Up comedian wengi wa Kikristo wamekuwa wakifanya utani kuhusu characters wa kwenye bible including Jesus himself.

Refer utani wa Tina Rogat kuhusu Yesu alioutoa kwenye video ambayo kwenye You Tube ipo titled " WANAUME WANAO TUMA NAULI" or something.

Angekuwa muislamu huyo halafu afanye utani kuhusu Mtume kwa namna hiyo sasa hivi angekuwa mkimbizi kama Salman Rushdie.

Huko Nigeria, stand up comedian wa Kikristo wanafikiaga hadi hatua ya kumuita Yesu " Jay" .


Wewe stand up comedian muislamu jaribu kumuita Prophet Muhammmad ( PBUH) just " Mudy" uone balaa lake.


Nowadays wakristu mmeanza kuwaiga waislamu. Na nyinyi eti mmeanza kuwa mna wajudge watu kwa mambo ya mwilini.


Mnamjudge Mtumishi wa Mungu Prophet Lovy kwa sababu ya mavazi yake.

Imani yenu imekwenda wapi enyi wakristu? Kama mnaamini kwamba Mungu aliweza kuja duniani na akazaliwa kama mwanadamu na akateswa na wanadamu ambao amewaumba yeye mwenyewe, ni kitu gani hicho kinacho wafanya mshindwe kuamini kwamba Mungu huyo huyo anaweza kumtumia Prophet Lovy ambae ninyi mna muhukumu utafikiri ninyi ndio Mungu.


Mmeanza lini kuhukumu watu? Yesu akawaambia na asie na dhambi kati yenu basi awe wa kwanza kumtupia jiwe mwanamke huyu.

Silaha kubwa mliyonayo wakristu ni maombi kama mnaamini Prophet Lovy hayupo mnavyo taka awe ninyi basi muombeeni awe mkamilifu kama nyie.
Awali ya yote umekosea pakubwa sana kuhusu uislamu hii inaonesha ni jinsi gani una elimu ndogo kuhusiana na dini hii nitajaribu kufupisha jibu langu ili iwe rahisi kusomeka na kueleweka.

1. Uislamu ni dini na ndani ya dini kuna imani hauwezi kuwa muislamu bila kuamini kwamba Allah (the almighty) ,malaika wake , mbingu ,pepo, moto, siku ya mwisho na viumbe wengine tusiowaona wala kuwathibitisha kwa macho vina exist hii ni imani.

2. Uislamu ni dini kwa sababu una sheria na misingi aliyoichagua mola muumba wetu Allah( the almighy) na kuwapatia mitume wake kidogo kidogo mpaka alipozikamilisha kwa mtume wake wa mwisho Muhammad (peace be upon him) .

3. Kwenye uislamu kuna kukumbushana na kuelekezana pale tunaposahau na kukosea kwenye na vyote hivi vina namna yake ya kuvifikisha mfano kama ni hotuba siku ya ijuma itatolewa bila ya kutajwa mtu yaani itaenda kwa watu wote kuwakumbusha na ndiyo maana inatolewa mbele ya hadhara kwa sababu hatajwi mtu ila ni ukumbusho wa umma wote.

Ila linapokuja swala kwamba kuna mtu amefanya jambo la madhambi either kwa kujua au kutojua basi utaratibu ni kumfuata na kwa upole na usiri kumwambia yule mtu na kumuelewesha ili aelewe na HAKUNA KUMLAZIMISHA MAANA HAKUNA KULAZIMISHANA KWENYE DINI ,WE FIKISHA KISHA YEYE ATAAMUA CHA KUFANYA.

4. Kingine jua tofauti kati ya nini Mungu anaweza fanya na MUNGU ni nani .tukienda na logic yako ya Mungu anaweza kuwa chochote ni kwamba MUNGU anaweza kuwa shetani , Mungu anaweza kuumba Mungu mwenye nguvu kuliko yeye , Mungu anaweza kujipa ubinadamu na binadamu akatupa Uungu halafu akaishi na kufa kama sisi kisha akaenda kuhukumiwa na binadamu aliowapa uungu . SEEE??? CONTRADICTION NDANI YA CONTRADICTION ambapo inaharibu na kubadili kabisa sifa ya Mungu na UUNGU.

Sasa jibu halisi ni lipi? Ni kwamba Mungu anaweza kufanya chochote anachoona yeye ni bora kwake bila ya kuingiza mkanganyiko HILI NDILO JIBU SAHIHI , kulikuwa na haja gani ya yeye kumuingilia maria na akampatia mimba halafu akaingia kwenye hiyo mimba ili azaliwe na kuja kuuwawa na watu aliowaumba ili awakombor na dhambi alizoziumba yeye 🤔🤔🤔🤔 ILLOGICAL. YET AGAIN CONTRADICTION IS NOT A THING.

Unapifungua mijadala kama hii huwa unafungua mlango kwa dini kama uhindu kupata deffence kwamba hata wao wanamuabudu mungu aliyezaliwa na kuja kama binadamu na wama utatu pia .

AND nieleweke nilipisema alimuingilia maria ni kutokana na uthibitisho wa kibiblia ambapo kwenye kiswahili mmeamua kubadili nitaweka aya zote hapa

John 3:16
kjv(king james version), nasb (new america standard bible) , the darby translation, jubilee bible 2000, douay-rheims catholic bible, third millenium bible, the latin vulgate bible , young literal translation, wycliffe, the webster bible.

"16 For God so loved the world, that he gave his only begotten Son, that whosoever believeth in him should not perish, but have everlasting life" .

neno begotten tukiangalia maana yake ni hii hapa unaweza kuangalia kwenye oxford dictionary or google dictionary au yoyote ile itakupa maana moja ambayo ni hii

Google dictionary meaning of Begotten :
1.
(especially of a man) bring (a child) into existence by the process of reproduction. E.g
"they hoped that the King might beget an heir by his new queen"

Kwamba begotten kwa kiswahili rahisi ni kupata mtoto kwa njia ya MUINGILIANO yaani SEX hivyo ndiyo maana nikatumia neno kumuingilia maria kama ilivyo kwenye version nyingi za biboe hapo juu .

Ila ukija kwenye kiswahili mambo yamegeuzwa ili kutoa maana tofauti

Yohana 3:16 kjv
"
16 “Kwa maana Mungu aliupenda ulimwengu kiasi cha kumtoa Mwanae pekee, ili kila mtu amwaminiye asipotee, bali awe na uzima wa milele"

Wametafsiri neno begotten kama kutwaa kitu ambacho si kweli .

MUNGU ametakasika sifa zake ni za kipekee na haziingiliani na za binadamu hata kidogo .
 
"Tukilitazamia tumaini lenye baraka na mafunuo ya utukufu wa Kristo Yesu, Mungu Mkuu na Mwokozi wetu."
Tito 2:13
Aliyeandika na kusema hivyo ni tito (titus)ambaye alikuwa mgiriki hakuwahi kuishi wala kumuona yesu ambaye pia yeye pamoja na timotheo(ambaye baba yake alikuwa mgiriki na mama yake myahudi aliyehamia kwenye ukristo) walikuwa ni watoto wa kiroho wa paulo (😅 see where am going ) paulo mtu ambaye hakuwahi kumuona yesu akawachukua wanafunzi wawili wa kigiriki ambao hawakuwahi pia kumuona yesu ili waka preech kuhusiana na uungu wa yesu ambaye hata hawajawahi kuuthibitisha wala yesu mwenyewe hajawahi kujiita Mungu.

Yap najua mtaniletea matendo 9:26-28 kama uthibitish wa paulo kumuona yesu ILA SWALI je wanafunzi wa yesu walithibitisha vipi kwamba aliloliongea lilikuwa la kweli? Ukitaka uaminiwe leta aya ya biblia isiyo na mkanganyiko ambayo yesu amejiita Mungu (ISIWE NA KONA KONA)
 
Awali ya yote umekosea pakubwa sana kuhusu uislamu hii inaonesha ni jinsi gani una elimu ndogo kuhusiana na dini hii nitajaribu kufupisha jibu langu ili iwe rahisi kusomeka na kueleweka.

1. Uislamu ni dini na ndani ya dini kuna imani hauwezi kuwa muislamu bila kuamini kwamba Allah (the almighty) ,malaika wake , mbingu ,pepo, moto, siku ya mwisho na viumbe wengine tusiowaona wala kuwathibitisha kwa macho vina exist hii ni imani.

2. Uislamu ni dini kwa sababu una sheria na misingi aliyoichagua mola muumba wetu Allah( the almighy) na kuwapatia mitume wake kidogo kidogo mpaka alipozikamilisha kwa mtume wake wa mwisho Muhammad (peace be upon him) .

3. Kwenye uislamu kuna kukumbushana na kuelekezana pale tunaposahau na kukosea kwenye na vyote hivi vina namna yake ya kuvifikisha mfano kama ni hotuba siku ya ijuma itatolewa bila ya kutajwa mtu yaani itaenda kwa watu wote kuwakumbusha na ndiyo maana inatolewa mbele ya hadhara kwa sababu hatajwi mtu ila ni ukumbusho wa umma wote.

Ila linapokuja swala kwamba kuna mtu amefanya jambo la madhambi either kwa kujua au kutojua basi utaratibu ni kumfuata na kwa upole na usiri kumwambia yule mtu na kumuelewesha ili aelewe na HAKUNA KUMLAZIMISHA MAANA HAKUNA KULAZIMISHANA KWENYE DINI ,WE FIKISHA KISHA YEYE ATAAMUA CHA KUFANYA.

4. Kingine jua tofauti kati ya nini Mungu anaweza fanya na MUNGU ni nani .tukienda na logic yako ya Mungu anaweza kuwa chochote ni kwamba MUNGU anaweza kuwa shetani , Mungu anaweza kuumba Mungu mwenye nguvu kuliko yeye , Mungu anaweza kujipa ubinadamu na binadamu akatupa Uungu halafu akaishi na kufa kama sisi kisha akaenda kuhukumiwa na binadamu aliowapa uungu . SEEE??? CONTRADICTION NDANI YA CONTRADICTION ambapo inaharibu na kubadili kabisa sifa ya Mungu na UUNGU.

Sasa jibu halisi ni lipi? Ni kwamba Mungu anaweza kufanya chochote anachoona yeye ni bora kwake bila ya kuingiza mkanganyiko HILI NDILO JIBU SAHIHI , kulikuwa na haja gani ya yeye kumuingilia maria na akampatia mimba halafu akaingia kwenye hiyo mimba ili azaliwe na kuja kuuwawa na watu aliowaumba ili awakombor na dhambi alizoziumba yeye 🤔🤔🤔🤔 ILLOGICAL. YET AGAIN CONTRADICTION IS NOT A THING.

Unapifungua mijadala kama hii huwa unafungua mlango kwa dini kama uhindu kupata deffence kwamba hata wao wanamuabudu mungu aliyezaliwa na kuja kama binadamu na wama utatu pia .

AND nieleweke nilipisema alimuingilia maria ni kutokana na uthibitisho wa kibiblia ambapo kwenye kiswahili mmeamua kubadili nitaweka aya zote hapa

John 3:16
kjv(king james version), nasb (new america standard bible) , the darby translation, jubilee bible 2000, douay-rheims catholic bible, third millenium bible, the latin vulgate bible , young literal translation, wycliffe, the webster bible.

"16 For God so loved the world, that he gave his only begotten Son, that whosoever believeth in him should not perish, but have everlasting life" .

neno begotten tukiangalia maana yake ni hii hapa unaweza kuangalia kwenye oxford dictionary or google dictionary au yoyote ile itakupa maana moja ambayo ni hii

Google dictionary meaning of Begotten :
1.
(especially of a man) bring (a child) into existence by the process of reproduction. E.g
"they hoped that the King might beget an heir by his new queen"

Kwamba begotten kwa kiswahili rahisi ni kupata mtoto kwa njia ya MUINGILIANO yaani SEX hivyo ndiyo maana nikatumia neno kumuingilia maria kama ilivyo kwenye version nyingi za biboe hapo juu .

Ila ukija kwenye kiswahili mambo yamegeuzwa ili kutoa maana tofauti

Yohana 3:16 kjv
"
16 “Kwa maana Mungu aliupenda ulimwengu kiasi cha kumtoa Mwanae pekee, ili kila mtu amwaminiye asipotee, bali awe na uzima wa milele"

Wametafsiri neno begotten kama kutwaa kitu ambacho si kweli .

MUNGU ametakasika sifa zake ni za kipekee na haziingiliani na za binadamu hata kidogo .
Nikuulize swali dogo sana mkuu lakini usije sema nimekufuru?

Kuhusu utamu anaoupata mtu anapofika kileleni wakati wa tendo la ndoa?

Kwa imani yako je Mungu anafahamu kuhusu huo utamu au hafahamu?

Kama ana fahamu ana fahamu vipi na kama hafahamu ni kwanini?
 
Nikuulize swali dogo sana mkuu lakini usije sema nimekufuru?

Kuhusu utamu anaoupata mtu anapofika kileleni wakati wa tendo la ndoa?

Kwa imani yao je Mungu anafahamu kuhusu huo utani au hafahamu?

Kama ana fahamu ana fahamu vipi na kama hafahamu ni kwanini?
Kwa imani yao wakina nani?
 
Nikuulize swali dogo sana mkuu lakini usije sema nimekufuru?

Kuhusu utamu anaoupata mtu anapofika kileleni wakati wa tendo la ndoa?

Kwa imani yao je Mungu anafahamu kuhusu huo utani au hafahamu?

Kama ana fahamu ana fahamu vipi na kama hafahamu ni kwanini?
Kwani wanaotengeneza condom huwa wanazipima kwa kuzivaa? Na kama hawazivai huwa wanajuaje kwamba hii haitochanika haraka hii itachanika haraka ,hii ni laini kama haujavaa kitu na hii ni ngumu na rough na itampa mwanamke starehe zaidi?
 
Back
Top Bottom