Wakristo kitu gani kimewakuta mpaka mmeanza kuwaiga waislamu?

bbq
naona unajikanganya tu.
Ni heri umekubali matokeo,ndipo upeo wako ulipoishia
 
Kwani wanaotengeneza condom huwa wanazipima kwa kuzivaa? Na kama hawazivai huwa wanajuaje kwamba hii haitochanika haraka hii itachanika haraka?

Jibu swali mkuu Mungu ana fahamu kuhusu utamu anaoupata mwanadamu anapofika kileleni wakati wa tendo la ndoa au hafahamu?

Kama ana fahamu ana fahamu vipi na kama hafahamu ni kwanini hafahamu?
 
Jibu swali mkuu Mungu ana fahamu kuhusu utamu anaoupata mwanadamu anapofika kileleni wakati wa tendo la ndoa au hafahamu?

Kama ana fahamu ana fahamu vipi na kama hafahamu ni kwanini hafahamu?
Mbona nimeshakujibu? Nimetumia socratic method au kwa jina lingine maieutic method kukupa jibu njia ambayo hata yesu unayeamini ni Mungu aliitumia mifano ni hii hapa

Matthew 6:26-30 (RSV, as throughout) Look at the birds of the air: they neither sow nor reap nor gather into barns, and yet your heavenly Father feeds them. Are you not of more value than they? And which of you by being anxious can add one cubit to his span of life? And why are you anxious about clothing? Consider the lilies of the field, how they grow; they neither toil nor spin; yet I tell you, even Solomon in all his glory was not arrayed like one of these. But if God so clothes the grass of the field, which today is alive and tomorrow is thrown into the oven, will he not much more clothe you, O men of little faith?

Na huu hapa

Matthew 12:10-11 And behold, there was a man with a withered hand. And they asked him, “Is it lawful to heal on the sabbath?” so that they might accuse him. He said to them, “What man of you, if he has one sheep and it falls into a pit on the sabbath, will not lay hold of it and lift it out?”

Na huu hapa


Matthew 21:23-27 And when he entered the temple, the chief priests and the elders of the people came up to him as he was teaching, and said, “By what authority are you doing these things, and who gave you this authority?” Jesus answered them, “I also will ask you a question; and if you tell me the answer, then I also will tell you by what authority I do these things. The baptism of John, whence was it? From heaven or from men?” And they argued with one another, “If we say, ‘From heaven,’ he will say to us, ‘Why then did you not believe him?’ But if we say, ‘From men,’ we are afraid of the multitude; for all hold that John was a prophet.” So they answered Jesus, “We do not know.” And he said to them, “Neither will I tell you by what authority I do these things.”

Nitashangaa sana kama utakubaliana na yesu kutumia hiyo njia halafu kwangu ukataka nikupe maelezo zaidi JIBU NILILOTOA LINAJITOSHELEZA .
 
Mkuu iv waislamu ai huwa wana amini ktk kivuki cha Mtume Mohammed S.A.W. ?
 

🤣🤣🤣 instead of giving the answers ur just talking about the question.

U know what Nimetoka kwenye familia na ukoo wa kiislamu na nimeisoma dini kuliko wewe. Waislamu wana dini lakini hawana imani. Wakristu hawana dini ila wana imani. Uislamu umekaa kisayansi zaidi ndio maana unaonekana upo perfect hata kwenye jicho la kisayansi..

Nikuache na neno litakalo kusaidia kwenye maisha yako. Kwenye uislamu kuna fundisho linasema " itafuteni elimu hadi China. Elimu za China unazijua Wewe? Basi tafuta kuzisoma elimu za China. Na unapoambiwa China usifikirie China kama hii ya kina Jackie Chain. By elimu za China ina maanisha Elimu za mbali
 

1. same claim kila siku withought any proof itabaki kuwa claim haijalishi umezaliwa kwenye ukoo wa kiislamu haijalishi baba yako alikuwa shaikh mkuu wa taifa haijalishi babu yako alikwenda hijja mara 100 it doesn't matter KAMA HAUJUI KITU ITABAKI KUWA HAUJUI .

Mtu unaye claim kusoma uislamu kunizidi ndiyo haujui kama uislamu haukamiliki bila imaan? How ironic .

2. Ingekuwa umesoma uislamu kunizidi ungeshajua kwamba hiyo hadith uliyoitoa ni ya kutunga au kwa lugha nyengine ni dhaif na hatufuati hadithi dhaiif , hii inaonesha jinsi gani HAUJUI UNACHOKIONGELEA 😄😄.

Ushauri wangu
usiwe unatoa mada ambazo kuzitetea hauwezi na usipende kufosi hoja zako hata kama hazina mashiko pia pendelea kusimama na mada moja mpaka iishe hii itaondoa logical PHALLACIES nyingi ambazo hata kwenye mada yako zipo.
 
Dini ni njia. Njia ina sheria na amri zake.
Ukristo sio njia kwa sababu hauna sheria wala Amri.

Ukristo ni kama wewe utokee kumuamini Gwajima alafu muitwe Wagwajima, yaani wafuasi Wagwajima
Na zile amri kumi za musa
We jamaa soon uachanganyikiwa tatizo unalazimisha uwe unique kumbe ni kilaza flani
 
Una mipointi kibao, lakini uandishi wako mtihani!
 
Mtu anayesema nimesoma dini kuliko wewe huwezi kunidanganya huwa namshangaa sana, sisi tunahangaika usiku na mchana zaidi ya miaka 10 sasa kusoma, elimu ambazo nina uhakika tunaweza kukufundisha mpaka unakufa usimalize, lakini kila siku tukifungua vitabu tunajiona wajinga zaidi tusio na maarifa, wewe umeusoma uislamu upi mwepesi hivyo, unaokupa ufahamu mbovu namna hii, waislamu hawana imani, kwahyo hizo sheria na taratibu za dini zilitoka wapi na wanazitekeleza vipi kama hawaziamini?.
 
Kwa kukazia hakuna mafundisho kwenye uislamu yanayosema tutafute elimu mpaka china, hizo ni hadithi za kutunga wanazodanganywa nazo watu kama wewe.
 
Kumbe ulishamjibu.
 
Ungepata elimu ya mambo ya kemet, ungeuelewa ukristo hasa ukatoliki,,....... Ukristo ni dini yenye codes nyingi sana,,........ na biblia ni kama manual tu ila kila kitu kipo tayari ndani mwako.......... Ukristo hasa wa wakatoliki ni sayansi ya aina yake,,,,..... Warumi walifanya fusion ya imani zao za asili za kirumi na ukristo wa mashariki ya kati,,... Ila sasa ukija kucheki historia,, mrumi alifunzwa na mgiriki na mgiriki alifunzwa na wa kemet ndo hao wa misri........ Ukipata elimu zao vizuri ukristo utauelewa
 
Instead of giving the answer. Ur talking about the question.. bye
 
@Mhaya unaposema mungu baba tayar mungu ushampa jinsia ya kiume ! Kwahiyo mungu ni wakiume !! Hii ni kufuru mzeeee

Unatakiwa kutumia akili ndogo tu vitu vingine Wala shule havipo ni ww tu mwenyewe unavitengeneza kichwani.
 
Kasome Satanic Verse, watoto wa Allah wamefafanuliwa vizuri sana na Rushdie.

Na Mtume alikuwa akiwaabudu kwa kuwasujudia pamoja na Binadamu na Majini.

Hiyo hoja haijakanushwa na Waislamu hadi hii leo.

Wakaamua wamchinje tu badala ya kujibu hoja.

Jiulize kwaninini kitabu hicho kimepigwa marufuku badala ya kukanusha hoja zake kwa kutabu kingine ?

Ishu mojawapo kuu ni kuhusu mtume kuwatambulisha watoto watatu wa kike wa Allah, ambao mtume aliamuru waabudiwe.

Ndio maana ikasemwa hiyo hoja ya kuwaabudu akina Uzza ni kati ya hoja ambazo mtume alikuwa akipokea wahayi toka kwa Shetani.

Baada ya watu kuanza kumpiga maswali kuhusu kuabudiwa Binti za Allah, ndio akastuka na kuanza kuandika hadithi za kukataza watu wasiwaabudu tena.

Sunan Ibn Majah 2096
It was narrated from Abu Hurairah that :
the Messenger of Allah (ﷺ) said: "Whoever takes an oath, and swears, saying: 'By Al-Lat and Al-Uzza,' let him say:'La ilaha illallah.' "

Ndio maana SV haikanushiki, kumbuka Rushdie ana PhD ya Islamic history.

Wewe unatakiwa kiusoma Dini yako zaidi na kuielewa.
 
Ukiristo ni sanaa hakuna dini hapo...siku wazungu wakiweka ukwel tutakimbina hapa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…