Wakristo kuoa ni gharama sana, pamoja na kukomoana kwenye mahari.

kuna mwamba kafunga ndoa wiki mbili zimepita katikat ya ibada ya kipaimara wasimamizi wa ubatizo wa mtoto wake ndio wakawa wasimamizi wa ndoa, ngoma imeisha bila hata ya kuvaa suti wala shera, ubwabwa wa kipaimara huo huo ukaliwa, kupanga ni kuchagua
hao walikuwa wanabariki ndoa. Kubariki haina gharama labda utake tu kufanya ufahari
 
U
U.senge zaidi unayemuoa sio Bikira,kipindi wewe unatafuta pesa unahustle mwenzako anapigwa Doggystyle huko huku akiulilia mkuyenge
 
mle tiGo huyo.
 
Baas..weka lamination
 
Tatizo mbataka kuoa matawi ya juu wakati wewe ni kapuku! Kaoe masikini mwenzako ambaye mahari ni kununua ubani wa jero unapewa mke!
 
Hamna hata uhusiano wa dini na gharama. Gharama ni uamuzi wako mwenyewe.
Nimesha shuhudia ndoa nyingi zinafungwa na wanandoa hawajavaa suti wala shela. Ukitaka uone hilo kwa wingi hudhuria ndoa za msamaha kwa kanisa katoliki. Gharama kubwa ni kujitakia mwenyewe tu kujitutumua mbele za watu.
 
Kama unashindwa kumudu mahari uwezi mudu changamoto cha mke! Hata hivyo awa vijana shida ya nini? Kuna wanawake wa bure unachukua unaweka ndani bila kutoa hata mia mbovu!
Tatizo umaskini wakati hao wazazi na ndugu wa mke ndiyo watakaofaidi hiyo kaya Mpya! It’s unfair kwa kijana wa kiume kutozwa mahari kubwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…