Wakristo mjitafakari kwenye suala la mahari, mnawakosea sana binti zenu. Kilichotokea hivi karibuni kwa jamaa yangu kina funzo

Nimejifunza katika Dini....

Wazungu si wapuuzi Tu....tangu lini mnaoana.....lazima kuna anaye oa na kuolewa
 
Nimejifunza katika Dini....

Wazungu si wapuuzi Tu....tangu lini mnaoana.....lazima kuna anaye oa na kuolewa
Kwani tukisema wanaona au anaoa inabadili nini kwamba hawa watu wanamahusiano ya ndoa?...Mimi naona mgongano wa tamaduni tu lakini mantiki inabaki pale pale
 
Ulivyomalizia ndicho nikichotabiri kitatokea, na nakushangaa kwa nini unanishangaa niliposema hutanielewa, wakati umemalizia kwa kunionesha hujanielewa.

Jamii zilizoweza kuweka equity kati ya wanawake na wanaume zishaondoa mahari. Haya si mambo ya nadharia, ni mambo tunayoona dunia hii.

Mahari haina tofauti na kununua ng'ombe.

Ukisema zawadi, mbona mwanamme hatolewi zawadi ya mahari? Na kwa nini zawadi isitolewe bila kulazimishwa baada ya ndoa?

Mbona watu wanatoa zawadi kila mara kwa wazazi, bila kubagua mzazi wa mwanamke au wa mwanamme? Mbona wanatoa hata baada ya kutoa mahari?

Najua ni utamaduni na mmezoea na ni vigumu kueleweshana mara moja.

Lakini, ukweli ni kuwa mahari inamfanya mwanamke kuwa bidhaa ya kununuliwa.

Na huwezi kumfanya mwanamme asijione kamnunua mwanamke kama utabaki na mahari.
 
Kwani tukisema wanaona au anaoa inabadili nini kwamba hawa watu wanamahusiano ya ndoa?...Mimi naona mgongano wa tamaduni tu lakini mantiki inabaki pale pale
Tofauti IPO Sana labda kama hutaki kuiona....Nani anapropose kuoa? Nani anatoa mahari? Nani yupo responsible kt ndoa?
 
Nimejifunza katika Dini....

Wazungu si wapuuzi Tu....tangu lini mnaoana.....lazima kuna anaye oa na kuolewa
Dini ina ujinga mwingi sana, kama hiyo ndiyo dira yako siwezi kushangaa.
 
Hujasema kwa nini unahisi kutoa mahari ni sawa na kununua ng'ombe.
Hii dhana nilidhani wewe muafrika ungeiona kwa jicho tofauti kabisa na mzungu aliyehadidhiwa sababu unajua fika maana ya mahari si kununua mwanamke.
Ni kwa nini unahisi mpaka mwanaume naye atolewe zawadi ndio itakuwa sahihi? Kuna mashindano gani hapa kama miaka n miaka mahari zinatolewa na hicho unachosema sicho kinachomaanishwa?
 
Tofauti IPO Sana labda kama hutaki kuiona....Nani anapropose kuoa? Nani anatoa mahari? Nani yupo responsible kt ndoa?
Ukisema nani napropose kuoa na yule atasema nani anapropose kuoana.
Kwangu Mimi hizo no lugha tu hakuna zaidi.
Mahari ndio issue iliyoko mezani hapa.
Nani yupo responsible kwenye nini? Na nani hayupo responsible kwenye duania ya leo.
 
Kama binti ni bikra na pesa ipo mimi naitoa kiroho safi. Ila kama ni Japanese used sitoi io hela
 
Kwanza karne hii ukiona mtu "amepandwa na kichaa " cha kutaka kuoa unapaswa kumpa mke haraka kabla kichaa hakija toweka, ili kichaa kiondoke tayari akiwa na mke ndani ndiyo akumbuke 'kumbe mimi fala hivi
daah huu msemo sie tusiokuwa na mpango wa kuoa unatupa moyo sana na usingle wetu
 
Yani binti ndo kamaliza form 4 mwamba mwenye watt watatu anaenda kumchakaza. Aaaaaaaghhhh
 
samahani kusema maoni yangu, huyo rafiki yako hakuwa muoaji kabisa. Kwamba anasafiri kwenda Uganda akashindwa hata kutafiti Mila zao.!! Bora huyo binti hakuolewa na huyo kwa kweli. Unakwenda kuoa ukiwa na mbadala kweli!! Mbona ukristo hauko hivyoo. Ukristo kiuhalisia hauna talaka.
 
Ukisema nani napropose kuoa na yule atasema nani anapropose kuoana.
Kwangu Mimi hizo no lugha tu hakuna zaidi.
Mahari ndio issue iliyoko mezani hapa.
Nani yupo responsible kwenye nini? Na nani hayupo responsible kwenye duania ya leo.
Tuliache kama lilivyo mkuu.....kila mtu abakie na kile anachoona ni sahihi
 
Always unachaoamin maranying ndo kinatokea ukiamini utapata mwanaume 😂 shetani unapewa tu shetani lako kama mm nikipewa wew lazima nipate kichaa🤣🤣🤣
Wee unatapata raha bwana wala usijali na mtoto wetu wa kambo
 
Hujathibitisha Mungu yupo.
Nilikupa hoja zangu ukakimbia... Kwakuwa Una Uhai,ridhiki yako unapata na unaendesha Maisha unapata kiburi kuwa Mungu hayupo...Ila mungu hapa duniani awapa watu wote ridhiki Yao iwe wachawi,wasio amini mungu kama wewe,majambazi nakadhalika...

Ukifa mkuu jeuri yko itajilikana...let's wait kaka
 
Mie talaka siipendi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…