Wakristo wa Somalia na Zanzibar hupata changamoto kubwa ya kisaikolojia ukanda huu wa Afrika Mashariki

Kila serikali hapa. Duniani dini zote hupewa uhuru wa kuabudu wanachokiamini. Sema wafuasi wa hizi dini mathalani ukikuta nchi hiyo dini fulani ni wengi lazima wachache, kunyanyaswa?
 
Kila serikali hapa. Duniani dini zote hupewa uhuru wa kuabudu wanachokiamini. Sema wafuasi wa hizi dini mathalani ukikuta nchi hiyo dini fulani ni wengi lazima wachache, kunyanyaswa?
Kwa bahati mbaya katika nchi nyingi uhuru wa kuabudu unabanwa au kukataliwa.
 
huwa mnalalamika bila ushahid , mara mfumo kristo wakat kiongiz ni muislam
Hujaelewa ujumbe wangu! Basi angalia hata picha hizo zinaonyesha chuki dhidi ya Waislam
 

Mkuu mapenzi yako ya dini yasikufanyw uongee uongo muogope mungu wako!!

Spania hawajawai uwa waislam kilichofanyika
Wana jihad walivamia spania na kusilimisha watu baada ya miaka mingi akatokea rais asiye muislam akatoa amri ni either ubadili dini au uondoke na watu wakaamua kubadili dini wengine wakaondoka…
Usidanganye kufurahisha umma
 
Sasa unamlazimishaje mtu kubadili dini au kuondoka sehem kisa dini?
 
Sasa umekataa nini na unaongea nini. Ottoman aliishika Spain kwa vita sikatai kuna waliokufa wakati wa vita ila wakati wa utawala huo Wayahudi na Wakristo walikuwepo na haikuwa shida sana lakini wakati Catholic Monarchs wanaichukua Spain ilipita sheria kali ama uwe Mkristo ama uuawe au ukimbie. Na hii haikuwa kwa Waislam tu hata Wayahudi hawakuabudu kwa amani kama ilivyokuwa awali.
 
Sehemu yeyote yenye wavaa makobazi na yeboyebo wengi, amani hutoweka kabisa. Ili mradi yafrani tu.
Bila wavaa kobazi leo wali usingeujua.
Pilau ndio kabisaa
Biriani na rosti za kuku kwa chapati, maandazi na vyote unavyojua leo wameleta hao hao wavaa kubazi.

Sasa hebu fikiri maisha ya ugali papa na dagaa wakavu kwa bilinganya.
Umri hapa Tz labda tungekuwa tunakufa hatujafika hata 50.

Manukato yote, na mapambo ya namna namna wametuletea wao.
Leo tungekuwa tunatoa harufu za vikwapa kila kona.

Kwahio waislamu piga ua lkn lazima tuwape shukran zao.

ASANTENI WAVAA KOBAZI.
 
akili huna kwamba wali upo uarabuni tu ? wao walikja kutafuta ugali na sio kuwasaidia so wao wasingekuja afrika huenda wasingefika pale walipo na dini yao isingekuwa kubwa kiivyo
 
akili huna kwamba wali upo uarabuni tu ? wao walikja kutafuta ugali na sio kuwasaidia so wao wasingekuja afrika huenda wasingefika pale walipo na dini yao isingekuwa kubwa kiivyo
Hili ndio tatizo la watu wasio na shukrani.na hili liko upande wa wagalatia sana.


Bila waislamu We mpk leo ungekuwa unachambia majani.
 
Mkristo unafanya nini Somalia, jameni dah poleni sana maana uislamu na chuki ni kama chanda na pete.
Hapo bi mkubwa Umegonga pentagon.

Mtu ambae kwenye IBADA YAKE lazima ale nguruwe na kunywa viroba anatafuta nini kwenye ardhi ambayo vitu hivyo ni haramu?

Yaani ni sawa na ukumbi wa kutafuta miss Tanzania ukaja wewe. Lzm wakutolee mlango wa nyuma kwa makofi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…