Wakristo wa Somalia na Zanzibar hupata changamoto kubwa ya kisaikolojia ukanda huu wa Afrika Mashariki

Wakristo wa Somalia na Zanzibar hupata changamoto kubwa ya kisaikolojia ukanda huu wa Afrika Mashariki

Jipe moyo..ni haki yako kujifariji...watu wameanza kufunguka na wengi wanaukimbia uislamu.

#MaendeleoHayanaChama
Mipasho na Rusha roho ni moja ya ibada zenu wagalatia ndo maana makanisa yanashindana kwenye kuimba kwaya na kuvaa vimini jumapili.
Kaa mkao wa kula kitimoto upewe data za uhakika kutoka kwa hao hao makafiri km wewe.





Sasa wakatalie na Hao wagalatia wenzako manake nyie kwenu IBISHI NI IBADA.
 
acha kutunga story lete ushahid
Mipasho na Rusha roho ni moja ya ibada zenu wagalatia ndo maana makanisa yanashindana kwenye kuimba kwaya na kuvaa vimini jumapili.
Kaa mkao wa kula kitimoto upewe data za uhakika kutoka kwa hao hao makafiri km wewe.





Sasa wakatalie na Hao wagalatia wenzako manake nyie kwenu IBISHI NI IBADA.
 
kwan nyie hamfanyi hivyo ? au umesahau jinsi mlivyoipora Israel kutoka kwa wayaud na ndo leo wapo wayaud waislam
We lzm utakuwa una pepo mahaba la kiyahudi. Tunafahamu kuwa huna elimu manake majibu yako yote humu ni mipasho tu.

Tazama hii Ramani ya DUNIA iliochorwa na makafiri wa kiingereza kabla ya uvamizi wa Makafiri wa kizatuni 1948


Tafuta ramani yyt ya dunia kabla ya 1948 uone km kuna nchi ilikuwa inaitwa ISRAEL.

kusoma hamtaki lkn wabishi ka kimba la mapera.
 
Bila wavaa kobazi leo wali usingeujua.
Pilau ndio kabisaa
Biriani na rosti za kuku kwa chapati, maandazi na vyote unavyojua leo wameleta hao hao wavaa kubazi.

Sasa hebu fikiri maisha ya ugali papa na dagaa wakavu kwa bilinganya.
Umri hapa Tz labda tungekuwa tunakufa hatujafika hata 50.

Manukato yote, na mapambo ya namna namna wametuletea wao.
Leo tungekuwa tunatoa harufu za vikwapa kila kona.

Kwahio waislamu piga ua lkn lazima tuwape shukran zao.

ASANTENI WAVAA KOBAZI.
Haya mambo karibu yote yamletwa na wahindi na yanapatikana bara hindi. Jangwani na mchele wapi na wapi?
 
Haya mambo karibu yote yamletwa na wahindi na yanapatikana bara hindi. Jangwani na mchele wapi na wapi?
Teh teh teh .
Kafiri kwa chuki hata pilau na biriani mnaona wivu kwanini wanapika waislamu!! [emoji1787]
We umeshawahi kwenda kula pilau au biriani ya nyama kwa muhindi? Au umewahi kuona biriani ya mchicha [emoji1787]
We huna habari muhindi anaabudu wanyama.

Huo wivu wenu ndo maana mnakufaga siku sio zenu.
We huna namna WAISLAMU ndio wametuletea mapochopocho ya nguvu hapa afrika.
Bila hivyo we ungekuwa umekomaa km bati kwa kula michembe ya mihogo.
Shwaini wahedi.
 
Mipasho na Rusha roho ni moja ya ibada zenu wagalatia ndo maana makanisa yanashindana kwenye kuimba kwaya na kuvaa vimini jumapili.
Kaa mkao wa kula kitimoto upewe data za uhakika kutoka kwa hao hao makafiri km wewe.





Sasa wakatalie na Hao wagalatia wenzako manake nyie kwenu IBISHI NI IBADA.

Nyie wazee wa shirk tunawajua sana.
Mmmejaa stress sana. Duniani kuna watu wawili wenye stress, anayedaiwa na muisilam. Sasa ukute musikiti (in maddi tone) or sorry muisilam halafu anadaiwa, hapo utakoma.
 
Sasa unamlazimishaje mtu kubadili dini au kuondoka sehem kisa dini?
Muhammad said
I will expel the Jews and Christians from the Arabian Peninsula and will not leave any but Muslim. Sahih Muslim 1767a
 
Sasa unamlazimishaje mtu kubadili dini au kuondoka sehem kisa dini?
Aya: - "Nyinyi (Waislam wa kweli) ndio watu bora kabisa waliowahi kati ya wanadamu." inamaanisha, watu bora zaidi kwa watu, kwani unawaleta na minyororo kwenye shingo zao wale wasio amini hadi wataukubali Uislamu.
Vol. 6, Book 60, Hadith 80
 
Teh teh teh .
Kafiri kwa chuki hata pilau na biriani mnaona wivu kwanini wanapika waislamu!! [emoji1787]
We umeshawahi kwenda kula pilau au biriani ya nyama kwa muhindi? Au umewahi kuona biriani ya mchicha [emoji1787]
We huna habari muhindi anaabudu wanyama.

Huo wivu wenu ndo maana mnakufaga siku sio zenu.
We huna namna WAISLAMU ndio wametuletea mapochopocho ya nguvu hapa afrika.
Bila hivyo we ungekuwa umekomaa km bati kwa kula michembe ya mihogo.
Shwaini wahedi.
Kihistoria mpunga unalimwa bara hindi, South East Asia na Uchina. Na viungo pia vinapatikana huko. So huko ndiko asili ya pilau. Uarabuni kwenye chimbuko la Uislamu hakuna maji ya kulimia mpunga. Pia Uarabuni jangwani hakuna maji ya kutawadhia, walikuwa wanatawadhia mchanga. Kuwatawadha kwa maji ni utamaduni ulioletwa na wahindi.
 
Sasa unamlazimishaje mtu kubadili dini au kuondoka sehem kisa dini?
Hakuna mtu analazimishwa kubadili dini yake.
Lkn huwezi kuweka mnywa pombe na mla nguruwe ktk Ardhi takatifu. Hata Yesu aliwatimua watoza ushuru na wauza gongo pale Jerusalem.
 
Kihistoria mpunga unalimwa bara hindi, South East Asia na Uchina. Na viungo pia vinapatikana huko. So huko ndiko asili ya pilau. Uarabuni kwenye chimbuko la Uislamu hakuna maji ya kulimia mpunga. Pia Uarabuni jangwani hakuna maji ya kutawadhia, walikuwa wanatawadhia mchanga. Kuwatawadha kwa maji ni utamaduni ulioletwa na wahindi.
Sasa nani asiejua hilo?
Tatizo uwezo wako wa kuelewa mdogo Sana.
Nani kuongelea MCHELE HAPA?
Ngoja nikupe darasa km mtoto wa darasa la pili.

CACAO zinalimwa Ghana na Nigeria lkn CHOCOLATE wanatengeza WAZUNGU NA MATAIFA YA ASIA.
Na Hapo Nigeria au Ghana Kitu kiitwacho CHOCOLATE walikuwa hawakitambui kwa miaka mingi sana. Na mpk leo CHOCOLATE zao wanaagiza Nje.

Km bado hujaelewa katafute kiroba upate usingizi.
 
Aya: - "Nyinyi (Waislam wa kweli) ndio watu bora kabisa waliowahi kati ya wanadamu." inamaanisha, watu bora zaidi kwa watu, kwani unawaleta na minyororo kwenye shingo zao wale wasio amini hadi wataukubali Uislamu.
Vol. 6, Book 60, Hadith 80
Propaganda uislam ulikataza masuala ya utumwa
 
Kihistoria mpunga unalimwa bara hindi, South East Asia na Uchina. Na viungo pia vinapatikana huko. So huko ndiko asili ya pilau. Uarabuni kwenye chimbuko la Uislamu hakuna maji ya kulimia mpunga. Pia Uarabuni jangwani hakuna maji ya kutawadhia, walikuwa wanatawadhia mchanga. Kuwatawadha kwa maji ni utamaduni ulioletwa na wahindi.
Tanzanite inalimwa (kuchimbwa) sana Tanzania
Ila inauzwa kwa wingi zaidi kule afrika kusini
 
Muhammad said
I will expel the Jews and Christians from the Arabian Peninsula and will not leave any but Muslim. Sahih Muslim 1767a
Na Andiko linatuhimiza kufanya hivi.

Yesu anasema ktk

LUKA 19:27

Tena, wale adui zangu, wasiotaka niwatawale, waleteni hapa MWACHINJE mbele yangu.

Na Akahimiza ktk MATHAYO 10:34 Kuwa " Msidhani kwamba nimekuja kuleta amani duniani. Sikuja kuleta amani bali UPANGA. Maana nimekuja kuleta mafarakano kati ya mtu na baba yake, kati ya binti na mama yake, kati ya mkwe na mkwe wake.
Na akatoa AMRI kwa wafuasi wake wote kwenye
LUKA 22:36 Na KAHIMIZA WAFUASI WAKE KWENYE LUKA 22:36

Akawaambia, Lakini sasa mwenye mfuko na auchukue, na mkoba vivyo hivyo; naye asiye na UPANGA, na auze joho lake akanunue.

Kwahio KUUA KWA UPANGA NA KUCHINJANA tumefunzwa na BIBLIA .
 
Aya: - "Nyinyi (Waislam wa kweli) ndio watu bora kabisa waliowahi kati ya wanadamu." inamaanisha, watu bora zaidi kwa watu, kwani unawaleta na minyororo kwenye shingo zao wale wasio amini hadi wataukubali Uislamu.
Vol. 6, Book 60, Hadith 80
Una copy and paste story za udaku bila kuelewa maana.

Kifupi sio ruksa KAFIRI yyt kujenga MAKANISA ktk Ardhi takatifu ya Kiislamu.

Na vile vile ni marufuku Muislamu kujenga MSIKITI kwa waabudu sanamu VATICAN.

Hapo shida iko wapi?

Makafiri wanakaa Kwao.
Na Waislamu wakae kwao.

We unalazimisha wala nguruwe wakajenge Makkah au?
Yaani nyie viumbe mtihani mkubwa sana
 
Muhammad said
I will expel the Jews and Christians from the Arabian Peninsula and will not leave any but Muslim. Sahih Muslim 1767a
100% correct
There is NO Jews or Christians citizens in Our Holy land.

Wako wapita njia tu walioajiriwa kwa muda na wakitaka kuabudu sanamu zao wanajifungia ndani ya nyumba zao.
HAKUNA KANISA WALA SINAGOGI huko.

Km vile VATICAN. hakuna MSIKITI wala Guduwara za wahindi wala Sinagogi la Kiyahudi.
 
Nyie wazee wa shirk tunawajua sana.
Mmmejaa stress sana. Duniani kuna watu wawili wenye stress, anayedaiwa na muisilam. Sasa ukute musikiti (in maddi tone) or sorry muisilam halafu anadaiwa, hapo utakoma.
Teh teh teh
Tungekuwa na Stress MISKITI INGEZIDI KUONGEZEKA HUKO ULAYA?

We unajua Namna Waislamu tulivyo. Hakuna lelemama hapa.
Ukileta ujinga tunakula na wewe bakuli moja fasta .

Matajiri wakubwa hapa Nchini na Duniani ni WAISLAMU.
Sasa km Stress ina faida zote hizo hata mimi naitaka .
We jidanganye una furaha kwa kuimba kwaya. Unakula mihogo mikavu. Mtoto una miaka 20 umekakamaa km una miaka 70.
 
Sio wote wenye ubaguzi ila kuna sehemu duniani wanajua dini yao tu ndio bora
Rohingya genocide tunaikumbuka vizuri
Hata kuna sehemu kama Scotland ukijichnaganya na kanzu unamwagiwa pombe (nimeshuhudia kwa macho)

Sio wote wabaya bali pia wapo pande zote
Muongo wewe. Scotland mpaka wamemchagua Muislam tena mwenye ndugu Gaza kuwa Prime Minister?
 
Muongo wewe. Scotland mpaka wamemchagua Muislam tena mwenye ndugu Gaza kuwa Prime Minister?
Muongo mumeo.
We unajua nini kuhusu Scotland?

Unaishi ukerewe , kanisani hapo hapo ukerewe.
Huyo Prime minister wa Scotland unajua history yake mpk uandike upuuzi huu?
Uislam wake unahusiana nini na Chama alichokuwepo kutoka kijana mdogo?

Kwanini wagalatia hampendi kuuliza km hamjui?
 
Una copy and paste story za udaku bila kuelewa maana.

Kifupi sio ruksa KAFIRI yyt kujenga MAKANISA ktk Ardhi takatifu ya Kiislamu.
Abdool! Mbusu jiwe embu punguza makasiriko na usome kwa kutulia

Aya: - "Nyinyi (Waislam wa kweli) ndio watu bora kabisa waliowahi kati ya wanadamu." inamaanisha, watu bora zaidi kwa watu, kwani unawaleta na minyororo kwenye shingo zao wale wasio amini hadi wataukubali Uislamu.
Vol. 6, Book 60, Hadith 80
 
Back
Top Bottom