Wakristo waliotokea mikoa isiyo na Waislam wengi wana uelewa potofu juu ya Uislam na Waislam

Wakristo waliotokea mikoa isiyo na Waislam wengi wana uelewa potofu juu ya Uislam na Waislam

Mimi naona kwamba wakristo hawana elimu kuhusu hao viumbe majini, mengi wanayoyajua kuhusu majini ni yale ambayo yanaelezwa na waislamu. Sasa mkristo anachukua maelezo yenye kueleza sifa za viumbe majini anaenda kumpa sifa hizo wale malaika waovu hapo ndio lilipo tatizo.

Jini ni kiumbe roho au malaika aliye asi mamlaka ya Mwenyezi Mungu. Ni malaika muasi. Kwa hiyo hawezi kuwa ni mzuri.
 
1)Mtume Muhammad s.a.w aliishi Makka kwa miaka 40. Katika miaka yote hiyo hakuwahi kupigana na yoyote au kumpiga yoyote au kumtusi au kuutweza utu wa mtu.

2)Alipotangaza kuwa yeye ni Mtume wa Mungu watu wa Makka wakaanza kumdhihaki, wakaanza kuwapiga maswahaba zake mitaani, haikutosha wakaanza kuwavamia majumbani mwao na kuwapiga.

3)Mtume akawaagiza maswahaba zake wahame waende Ethiopia kwa Mfalme wa Kikristu ili wakae huko na awahami. Mbali na hilo hakurudisha pigo lolote kutoka kwa hao wanaodhuru maswahaba zake.

4) Walimtenga Mtume Muhammad s.a.w pamoja na familia yake na maswahaba zake na kumwekea vikwazo kwa miaka 3 vya kibiashara, hakuna kuuza wala kununua kutoka kwao. Ilifika kipindi Mtume na maswahaba zake walikuwa wanakula nyasi.

5)Baadaye watu wa Makka wakaweka mpango kabambe kwa makabila makubwa ya hapo Makka wamuue. Mtume akahama kuhamia mji mwengine, mji wa Madina.

6)Wakubwa wa Makka hawakufurahiswa na kitendo cha Mtume kuhama, wakaamua kumfuata huko huko Madina na jeshi kubwa na Mtume hakuwa na jeshi la kupigana wala vifaa vya kijeshi, ila yeye na maswahaba zake wakaamua kupigana hivyo hivyo!

7)Wakati wa vita akawaamuru watu wake wasishambulie watoto, wanawake, wazee, wasikate miti wala kuharibu vyanzo vya maji.

8)Miaka 2 mbeleni watu wa Makka wakaja na jeshi kubwa na kuuzunguka mji wa Madina na kuzuia njia zote za usafirashaji, si chakula wala chochote kikazuiliwa kuingia. Waislamu wakaamua kupigana kwa mbinu ya kuchimba mahandaki.

9)Wakati haya yanatokea, wayahudi waishio Madina ambao waliingia mkataba wa kuishi kwa amani na Mtume na waislamu kwa ujumla walikuwa wakivunja makubaliano ya mkataba pale ambapo waislamu wakivamiwa na majeshi ya nje. Mtume akaamua kupambana nao hivyo hivyo ndani ya mji pia.


Kwa ufupi historia ya Mtume ipo hivyo! Ulitaka afanyaje? Ajilinde vipi yeye na kulinda damu ya watu waliyomuamini na ya akina mama, watoto na wazee?

Tunaomba source ya habari yako. ili nasi tukajielimishe.
 
H
tatizo la uislamu ni quran, sunnah na vitabu vya hadith

ukisoma hadith za Sahih Bukhari, sahih muslim kwa kuelewa lazima uone uislamu ni upuuzi.

hizo sunnah za mtume pia wanazopaswa wazifate zimejaa chuki na upuuzi kibao. mfano mtume muhammad mwenyewe kapigana vita zaidi ya 80 zidi ya makafiri. hapo kwa waislamu vita ni sunnah wanaiga sunnah za kupigana kama mtume

mtume alikuwa anatombazzz watumwa wa kike. hivyo kwa waislam hiyo ni sunnah

Quran inaeleza wazi kuwa kufanya mapenzi na watumwa (unaowamiliki mkono wa kulia) inaruhusiwa. Nenda kasome Sura An Nisa 24.

Pia mfate shehe aliesoma dini vizuri akuelezee story ya Mtume Muhammad na Mariyah Mqibti na Rayhaanah bint Zayd an-Nadhwariyah. Utaona jinsi mtume alivyogongaa hao watumwa wa kike.


Tazama mwenyewe vitu wanavyofundishwa waislamu. Kwa kusoma vitabu vyao . Utaujua uislamu ulivyo na upuuzi. Soma RAHA ZA PEPONI KURASA HUU utaona wanaume wa kiislamu wanavyofundishwa kwamba peponi watapewa wanawake wasafii wawe wanawatombazzzz

View attachment 3156460
Hapo kwenye kudinyana kwa muda wa miaka 80 bila kufika kileleni wamepigwa.
 
tatizo la uislamu ni quran, sunnah na vitabu vya hadith

ukisoma hadith za Sahih Bukhari, sahih muslim kwa kuelewa lazima uone uislamu ni upuuzi.

hizo sunnah za mtume pia wanazopaswa wazifate zimejaa chuki na upuuzi kibao. mfano mtume muhammad mwenyewe kapigana vita zaidi ya 80 zidi ya makafiri. hapo kwa waislamu vita ni sunnah wanaiga sunnah za kupigana kama mtume

mtume alikuwa anatombazzz watumwa wa kike. hivyo kwa waislam hiyo ni sunnah

Quran inaeleza wazi kuwa kufanya mapenzi na watumwa (unaowamiliki mkono wa kulia) inaruhusiwa. Nenda kasome Sura An Nisa 24.

Pia mfate shehe aliesoma dini vizuri akuelezee story ya Mtume Muhammad na Mariyah Mqibti na Rayhaanah bint Zayd an-Nadhwariyah. Utaona jinsi mtume alivyogongaa hao watumwa wa kike.


Tazama mwenyewe vitu wanavyofundishwa waislamu. Kwa kusoma vitabu vyao . Utaujua uislamu ulivyo na upuuzi. Soma RAHA ZA PEPONI KURASA HUU utaona wanaume wa kiislamu wanavyofundishwa kwamba peponi watapewa wanawake wasafii wawe wanawatombazzzz

View attachment 3156460
Hii kitu nilijua ni ya kufikirika, kumbe ipo kweli!
 
Tunaomba source ya habari yako. ili nasi tukajielimishe.
Soma sira/historia ya Mtume yote! Kwa uchache soma vitabu hivi vyote au utachagua kimojawapo vitakupatia mwanga:

Tafuta kitabu "Raheeq Makhtoum", kimeandikwa na Safiour Rahman Al Mubarakpur.

Halikadhalika tafuta Kitabu kimeandikwa "Shmael Muhammadiya" cha Imam Abou Issa Attirmidhi. Hiki kitabu kimetaja mpaka physical appearance ya Mtume Muhammad S.A.W

Kwenye Qur'an kwa uchache tafuta tafseer ya mufasserouna wafuatao utachagua kimojawapo:

Tafseer ya Imam Qurtubi,
Tafseer ya Imam Suyutwi,
Tafseer ya Imam Twabari,
Tafseer ya Imam Fakhr Al Din Arrazi n.k

Kwenye sira itakupatia matukio hayo niliyokuelezea na kushuka aya za Qur'an kulingana na tukio husika.

Kwenyr Qur'an itakupatia aya zilizoshuka kwa tukia husika na sababu zake za kushuka. Kisha hayo matukio kupitia aya za Quran utafanya reference kwenye sira ya Bw. Mtume Muhammad s.a.w.
 
ukweli mchungu kwa hapa Tanzania uislamu ndio umewafelisha makabila ya mjini

kama wazaramo, wandengereko wasingekuwa waislamu leo hii wangekuwa hawashikiki kwa maendeleo.

ardhi yote ya dar es salaam ni mali ya babu zao. uhuru umepiganiwa mitaani kwao.

ila sababu uislamu uluwafanya wakomae na madrassa kukariri quran na kuachana na shule za formal education. wakaishia kuwa wajinga na kukosa fursa nyingi sana huku quran haijawapa fursa nyingi
Umepuyanga uislamu haujafundisha mtu asiende kazini kutafuta pesa,wala uislamu haujafundisha mtu asiende shule.
Mbona wakina Mo dewji na Bakhresa ni matajiri na ni waislamu?
Labda ungeniambia ni utamaduni kidogo ningekuelewa ila sio dini
 
Mkuu bado haujathibithibitisha kimaandiko kwamba kuna pepo wema ndio malaika, hapo umeonyesha Yesu akikemea mapepo ambao waliwaingia watu, ni wapi inaonyesha malaika ni mapepo?
Malaika ni Spirits, na tunapoongelea mapepo tunaongelea viumbe ambao ni spirits na miongoni mwao kuna Malaika wema na wabaya.
 
Cha kushangaza ndo wamiliki wakubwa wa sekta zote za kiuchumi kuanzia viwanda , makampuni makubwa, michezo alafu nyinyi mlio soma ndo vibarua wao kwenye viwanda vyao.

Ndiyo mnachodanganyana mkiwa msikitini. Hivi nikuulize swali rahisi tu, waislam matajiri ni asilimia ngapi ya umma wa waislam waliotopea kwenye umasikini? Mmekalia kukomaa na sijui matajiri wakubwa ni waislam, wakati hata utajiri wao hauna manufaa yoyote misikitini kwenu na katika maisha ya muislam mmoja mmoja. Isipokuwa kwa yeyote mwenye uhusiano wa moja kwa moja na hao matajiri. Mfano hao unao waita vibarua.
 
Katika safari yangu ya masomo na kazi, nimekutana na watu wengi, nilichojifunza

Wakrito waliotokea mikoa ambayo haina waislam wengi, wanauelewa potofu juu ya Uislam na Waislam.

Wanawaona kama wako Backwards au wakizamani.

Wapo wanaoamini ukimuona Sheikh kafunga ndevu bas ujue anamajini 12

Wapo wanaodhani huwezi kuutenganisha uislam na majini

Lakini Kubwa zaidi, baadhi wanachuki na Waislam kabisa. Wengi zaidi ni wale wa mikoa ya Kaskazini au Nyanda za juu kusini.

Tofauti na wakristo waliokulia mikoa ya Pwani au yene mchanganyiko mkubwa na Waislam hawana shida kabisa.
Si kweli mjomba wangu alikuwa mwislam pekee eneo letu na alipendwa na wengi kwa sababu za kujitolea ktk jamii.Tofauti iliyokuwepo kati ya waislam na wakristo ktk maeneo uliyoyataja,ni kwamba elimu ilieletwa na wamishonari wakristo walipeleka watoto shule waislam wachache waliwapeleka shule,waliowengi waliwapeleka madrasa na kusababisha Tanaka la elimu.Hivi karibuni viongozi wa dini wametambua hili na kuwahimiza waislamu kuwapeleka watoto shule
 
tatizo la uislamu ni quran, sunnah na vitabu vya hadith

ukisoma hadith za Sahih Bukhari, sahih muslim kwa kuelewa lazima uone uislamu ni upuuzi.

hizo sunnah za mtume pia wanazopaswa wazifate zimejaa chuki na upuuzi kibao. mfano mtume muhammad mwenyewe kapigana vita zaidi ya 80 zidi ya makafiri. hapo kwa waislamu vita ni sunnah wanaiga sunnah za kupigana kama mtume

mtume alikuwa anatombazzz watumwa wa kike. hivyo kwa waislam hiyo ni sunnah

Quran inaeleza wazi kuwa kufanya mapenzi na watumwa (unaowamiliki mkono wa kulia) inaruhusiwa. Nenda kasome Sura An Nisa 24.

Pia mfate shehe aliesoma dini vizuri akuelezee story ya Mtume Muhammad na Mariyah Mqibti na Rayhaanah bint Zayd an-Nadhwariyah. Utaona jinsi mtume alivyogongaa hao watumwa wa kike.


Tazama mwenyewe vitu wanavyofundishwa waislamu. Kwa kusoma vitabu vyao . Utaujua uislamu ulivyo na upuuzi. Soma RAHA ZA PEPONI KURASA HUU utaona wanaume wa kiislamu wanavyofundishwa kwamba peponi watapewa wanawake wasafii wawe wanawatombazzzz

View attachment 3156460


Duu, kumbe ndiyo ujinga wanaojifundisha msikitini. Yaani kuishi kwao koote kwa kufuata maamrisho ya Allah, ni ili wakafanye ngono na mabikira. Duuu kweli akili ni nywele, kila mmoja ana zake.
Swali langu ni hili, wanawake watathawabishwa kwa kupewa nini? Kama wanaume watapewa mabikira?
FaizaFoxy tupe ufafanuzi kwenye hili.
 
Hii kitu nilijua ni ya kufikirika, kumbe ipo kweli!
Huyo jamaa kaandika kwa yale ambayo ameyasikia kutoka kwa watu na nina ushahidi wa hayo kwa kuwa ushahidi upo!

Tangu nimjibu mpaka muda huu hajatoa jawabu lolote!

Kama yupo tayari na an uhakika wa maneno yake mtag muunganishe na mimi, nipo tayari kuweka mjadala naye lakini iwe ni productive talk.
 
Kinacho wasumbua sana ni chuki na wivu wamaendeleo ya uislamu na waislamu, Ushirikina ni mwingi katika ukatoliki ila hausemwi.

Kuna schoolmate wangu muislamu alimaliza form four ana elimu ya madrasa nzuri tu karibu juzu 10, kwenye kampuni yake kaajiti wakuristo 8, wenye degree mbalimbali moja ni muhasibu ana CPA na waislamu wa 3, ila wale wa kuristo wanamsema vibaya wanatamani afe, ila kila ukicha mali zake zinaongezeka. Wamefanya ushirikina mpaka basi tu.......hao watu hawapendi wsislamu hata ufanye wame kiasi gani.
Kuna shule ya ujinga mahali au ulijifunzia nyumbani, are you fresh from college?
 
Nimeamini watu ni waongo na hizo ndio mada mnadanganyana huko,
Kwa mfani, maria qibtiyyah alikua mie wa Mtume, na walipata mtoto mmoja,
Si mchepuko kama unavyotaka kuaminisha watu,

Wewe pamoja na Komeo Lachuma mtutazamishe chanzo cha habari zenu. Maana haya mambo mliyoweka hapa ni mazito sana.
 
Majority ya wakristo wote hawana uelewa sahihi juu ya uislam uelewa wao ni potofu(hata hawa tunaoishi nao huku mikoa ya pwani) na wengi wao wapo comfortable na hilo.

Na ndiyo maana sio watu wa kujenga hoja, wanaposhindwa (na siku zote hushindwa) kwenye hoja huleta kejeli,uzushi na matusi kwa maana hawataki kusikia kitu tofauti na kile wanachoamini hata kama ni potofu.

Ni watu tu wa kuwaombea kwa ALLAH awaongoze amiin
 
Soma sira/historia ya Mtume yote! Kwa uchache soma vitabu hivi vyote au utachagua kimojawapo vitakupatia mwanga:

Tafuta kitabu "Raheeq Makhtoum", kimeandikwa na Safiour Rahman Al Mubarakpur.

Halikadhalika tafuta Kitabu kimeandikwa "Shmael Muhammadiya" cha Imam Abou Issa Attirmidhi. Hiki kitabu kimetaja mpaka physical appearance ya Mtume Muhammad S.A.W

Kwenye Qur'an kwa uchache tafuta tafseer ya mufasserouna wafuatao utachagua kimojawapo:

Tafseer ya Imam Qurtubi,
Tafseer ya Imam Suyutwi,
Tafseer ya Imam Twabari,
Tafseer ya Imam Fakhr Al Din Arrazi n.k

Kwenye sira itakupatia matukio hayo niliyokuelezea na kushuka aya za Qur'an kulingana na tukio husika.

Kwenyr Qur'an itakupatia aya zilizoshuka kwa tukia husika na sababu zake za kushuka. Kisha hayo matukio kupitia aya za Quran utafanya reference kwenye sira ya Bw. Mtume Muhammad s.a.w.
Usitumie nguvu sana Kama ambavyo wewe huamini maandiko ya biblia, ndio hivyo pia wapo wengi wasioamini maandiko hayo
 
Back
Top Bottom