luambo makiadi
JF-Expert Member
- Nov 28, 2017
- 10,602
- 8,798
EE na wanayatuma kuiba nyaraka za kesi mahakamani et😄😄😄 hujamsikia sheikh sulle?Kufuga jini ndio kukoje? Yani kama unavyofuga paka au?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
EE na wanayatuma kuiba nyaraka za kesi mahakamani et😄😄😄 hujamsikia sheikh sulle?Kufuga jini ndio kukoje? Yani kama unavyofuga paka au?
Kuna vitu nashindwa kuelewa kuhusu Waislam!Kwani wakristo ndo wakristu? Ukristo - ukristu?
Ni kitu kimoja au viwiili?
Allah siyo Yehova, Allah ana majina 99 la Yehova halimo.Kuna vitu nashindwa kuelewa kuhusu Waislam!
1. Kwa nini wanalazimisha Issa wao ndo Yesu wa Biblia wakati ni tofauti kabisa?
2. Kwa nini wanalazimisha kuwa Yehova ndo Allah?
Pia;
1. Kama pombe ni haram hapa duniani kwa nini wanaahidiwa pombe ahera?
2. Kama uzinzi ni dhambi hapa duniani kwa nini wanaahidiwa zinaa ahera?
Kafugeni majini na kusubiri bikra 73😄 Yani Kuna vÃtu hâta mtoto wa memkwa anaweza kukushangaa,imagine una expect kupewa mito ya pombe na kufanya mapenzi peponi😄
We unaelewa vp kuhusu kufuga jini?EE na wanayatuma kuiba nyaraka za kesi mahakamani et😄😄😄 hujamsikia sheikh sulle?
Wewe unaelewa Nini Kuhusu kutumia jini kuiba nyaraka za mahakamani kama asemavyo alhaji Dr sulle?We unaelewa vp kuhusu kufuga jini?
Majini hutumika sana hata kwa njia za uchawi wala hakuna uhitaji kufuga ili ndio utumie jini, sasa mie nauliza huko kufuga jini ndio kukoje?Wewe unaelewa Nini Kuhusu kutumia jini kuiba nyaraka za mahakamani kama asemavyo alhaji Dr sulle?
Hadi leo kuendelea kuwaza ukoloni ndio janga kubwa ambalo ndio hufanya tushindwe kusonga mbele kimaendeleo.Janga kubwa walilotuachia wakoloni ni ujinga unaoitwa DINI
Nyie watumia majini mna akili?Majini hutumika sana hata kwa njia za uchawi wala hakuna uhitaji kufuga ili ndio utumie jini, sasa mie nauliza huko kufuga jini ndio kukoje?
Watu wanatumia hadi malaika sio majini tu?Nyie watumia majini mna akili?