Wakristo waliotokea mikoa isiyo na Waislam wengi wana uelewa potofu juu ya Uislam na Waislam

Wakristo waliotokea mikoa isiyo na Waislam wengi wana uelewa potofu juu ya Uislam na Waislam

tatizo la uislamu ni quran, sunnah na vitabu vya hadith

ukisoma hadith za Sahih Bukhari, sahih muslim kwa kuelewa lazima uone uislamu ni upuuzi.

hizo sunnah za mtume pia wanazopaswa wazifate zimejaa chuki na upuuzi kibao. mfano mtume muhammad mwenyewe kapigana vita zaidi ya 80 zidi ya makafiri. hapo kwa waislamu vita ni sunnah wanaiga sunnah za kupigana kama mtume

mtume alikuwa anatombazzz watumwa wa kike. hivyo kwa waislam hiyo ni sunnah

Quran inaeleza wazi kuwa kufanya mapenzi na watumwa (unaowamiliki mkono wa kulia) inaruhusiwa. Nenda kasome Sura An Nisa 24.

Pia mfate shehe aliesoma dini vizuri akuelezee story ya Mtume Muhammad na Mariyah Mqibti na Rayhaanah bint Zayd an-Nadhwariyah. Utaona jinsi mtume alivyogongaa hao watumwa wa kike.


Tazama mwenyewe vitu wanavyofundishwa waislamu. Kwa kusoma vitabu vyao . Utaujua uislamu ulivyo na upuuzi. Soma RAHA ZA PEPONI KURASA HUU utaona wanaume wa kiislamu wanavyofundishwa kwamba peponi watapewa wanawake wasafii wawe wanawatombazzzz

View attachment 3156460
Hahaha huwa nacheka sana,et mtume aliwaahidi pepo ya FIRDAUS yenye bikra 73 na mito ya pombe isokauka
 
tatizo la uislamu ni quran, sunnah na vitabu vya hadith

ukisoma hadith za Sahih Bukhari, sahih muslim kwa kuelewa lazima uone uislamu ni upuuzi.

hizo sunnah za mtume pia wanazopaswa wazifate zimejaa chuki na upuuzi kibao. mfano mtume muhammad mwenyewe kapigana vita zaidi ya 80 zidi ya makafiri. hapo kwa waislamu vita ni sunnah wanaiga sunnah za kupigana kama mtume

mtume alikuwa anatombazzz watumwa wa kike. hivyo kwa waislam hiyo ni sunnah

Quran inaeleza wazi kuwa kufanya mapenzi na watumwa (unaowamiliki mkono wa kulia) inaruhusiwa. Nenda kasome Sura An Nisa 24.

Pia mfate shehe aliesoma dini vizuri akuelezee story ya Mtume Muhammad na Mariyah Mqibti na Rayhaanah bint Zayd an-Nadhwariyah. Utaona jinsi mtume alivyogongaa hao watumwa wa kike.


Tazama mwenyewe vitu wanavyofundishwa waislamu. Kwa kusoma vitabu vyao . Utaujua uislamu ulivyo na upuuzi. Soma RAHA ZA PEPONI KURASA HUU utaona wanaume wa kiislamu wanavyofundishwa kwamba peponi watapewa wanawake wasafii wawe wanawatombazzzz

View attachment 3156460
Hahaha wanawaza kugegedana peponi
 
Hii inatokea pande zote mimi nimekulia kwenye uislam nikaja kuwa mkatoliki naona kila pande wanashutumu wenzao kwa vitu wasivyovijua …kuna wakatoliki wanaamini masheikh wanafuga majini na kuna waislamu wanaamini wakatoliki wanaabudu sanamu wote wanakosea
Sheikh sulle anasema majin yanafugwa na wanayatumia hata kuiba nyaraka za kesi mahakamani [emoji3][emoji3]
 
tatizo la uislamu ni quran, sunnah na vitabu vya hadith

ukisoma hadith za Sahih Bukhari, sahih muslim kwa kuelewa lazima uone uislamu ni upuuzi.

hizo sunnah za mtume pia wanazopaswa wazifate zimejaa chuki na upuuzi kibao. mfano mtume muhammad mwenyewe kapigana vita zaidi ya 80 zidi ya makafiri. hapo kwa waislamu vita ni sunnah wanaiga sunnah za kupigana kama mtume

mtume alikuwa anatombazzz watumwa wa kike. hivyo kwa waislam hiyo ni sunnah

Quran inaeleza wazi kuwa kufanya mapenzi na watumwa (unaowamiliki mkono wa kulia) inaruhusiwa. Nenda kasome Sura An Nisa 24.

Pia mfate shehe aliesoma dini vizuri akuelezee story ya Mtume Muhammad na Mariyah Mqibti na Rayhaanah bint Zayd an-Nadhwariyah. Utaona jinsi mtume alivyogongaa hao watumwa wa kike.


Tazama mwenyewe vitu wanavyofundishwa waislamu. Kwa kusoma vitabu vyao . Utaujua uislamu ulivyo na upuuzi. Soma RAHA ZA PEPONI KURASA HUU utaona wanaume wa kiislamu wanavyofundishwa kwamba peponi watapewa wanawake wasafii wawe wanawatombazzzz

View attachment 3156460
Mbona hapa hawacomment
 
Sheikh sulle anasema majin yanafugwa na wanayatumia hata kuiba nyaraka za kesi mahakamani [emoji3][emoji3]

Basi tuyatume yakaibe nyaraka za kesi ambazo serikali inashindwa na kulipa mamilioni ya dolari.

😛
 
Kadhalika waislam waliotokea maneno ambayo waislam ni majority na mifumo Yao ya kitamaduni imemezwa na tamaduni za kiislam, Wana uelewa duni sana,finyu na potofu kuhusu wakristu na ukristu
Uzuri unasara na ukafiri umeelezwa vizuri kwenye Uislamu ..yaani tunawaelewa mnoo kuliko mnavyojielewa
 
Christmass inakaribia. Mahubiri utakayokutana nayo msikitini ndio utagundua nani ana chuki na mwenzaje.

Pia usisahau kupitia kurusa za Mohammed Salah akiwa kajipost na familia yake wanasherekea Christmass halafu pitia comments.
dah jamaa umenena kweli kabisa, Salah anapigwa mawe na wala hajali
 
Kuna mkoa ukienda kama Muislam utaitwa MSwahili haha
 
Sasa jamani kati ya wakiristo na waislamu wapi wana majini wengi ?? Naona wakoristo ndio wana majini ya kutosha mana kila jpili wanakemea mapepo au mapepo sio majini.? Sasa hayo mapepo yametumwa na waislamu au.
 
Tabia ya lugha yoyote ile ni hii, kuna maneno yanazaliwa na kufa. Sasa mkiwa na msahafu ambao haubadiliki kisarufi na kilahaja basi kitakuwa na mpishano mkubwa sana wa kimuundo na kimaudhui na lugha hiyo hiyo ya kisasa. Mfano ukichukua mwarabu ambaye hajajifunza kuruwan. Hawezi akasoma na kuielewa kama atakavyoelewa machapisho mengine ya kiarabu. Hivyo kutokana na ugumu huo wa lugha au kiarabu cha zamani cha kwenye kiruwan, wengi wataacha kusoma. Matokeo yake wafuasi wengi wa uislam watabakia na maarifa machache sana akilini na moyoni mwao. Maarifa hayo ni yale waliyo fundishwa na walimu wao wa dini au waliyo karirishwa kama zile swala 5 zenu.
Pia kwa vile hawawezi kusoma wenyewe na kuelewa, kama nilivyosema, maarifa na ujuzi wao wa dini utakuwa haukui na hivyo kupelekea kuwa wabishi katika kujadiliana nao.
Kwanza Mkuu maarifa ya kwenye Qur'an au Biblia huwezi kuyapata kiuhakika kwa kujisomea tu mwenyewe hivyo vitabu, pili nimesema Biblia imetafsiriwa na itaendelea kutafsiriwa na Qur'an pia imetafsiriwa na itaendelea kutafsiriwa.

Qur'an kuendelea kubaki katika lugha yake ya asili inalinda kuharibiwa maana halisi ya ujumbe wake.
 
Katika safari yangu ya masomo na kazi, nimekutana na watu wengi, nilichojifunza

Wakrito waliotokea mikoa ambayo haina waislam wengi, wanauelewa potofu juu ya Uislam na Waislam.

Wanawaona kama wako Backwards au wakizamani.

Wapo wanaoamini ukimuona Sheikh kafunga ndevu bas ujue anamajini 12

Wapo wanaodhani huwezi kuutenganisha uislam na majini

Lakini Kubwa zaidi, baadhi wanachuki na Waislam kabisa. Wengi zaidi ni wale wa mikoa ya Kaskazini au Nyanda za juu kusini.

Tofauti na wakristo waliokulia mikoa ya Pwani au yene mchanganyiko mkubwa na Waislam hawana shida kabisa.
Wapo sahihi kabisa.
 
Africans bado hatujajitambua ndomaana bado tunachezeshwa km toys. Hizi dini zote zililetwa na meli kututawala. Sisi tulikuwa na imani zetu, cha ajabu hazizungumzwi hapa badala yake tumehamia kukosoana nani yupo sahihi kati ya wanaofata quran au biblia.
 
Hahaha huwa nacheka sana,et mtume aliwaahidi pepo ya FIRDAUS yenye bikra 73 na mito ya pombe isokauka

Hivyo pepo ni mwendo wa zina kwa kwenda mbele. Halafu mtu mwenye akili yako kabisa, unafanya ibada kwa allahu kwa uaminifu kwa ahadi na thawabu za kinyonge kama hizi
 
Africans bado hatujajitambua ndomaana bado tunachezeshwa km toys. Hizi dini zote zililetwa na meli kututawala. Sisi tulikuwa na imani zetu, cha ajabu hazizungumzwi hapa badala yake tumehamia kukosoana nani yupo sahihi kati ya wanaofata quran au biblia.
Imani zetu kwa maana ipi? Nachojua kuna imani walizokuwa wanaamini mababu zetu, na imani sio kama makabila au utaifa kwamba kwa sababu wewe umezaliwa Tanzania na baba yako ni mzaramo basi nawe unakuwa mtanzania na kabila lako mzaramo.
 
Uzuri unasara na ukafiri umeelezwa vizuri kwenye Uislamu ..yaani tunawaelewa mnoo kuliko mnavyojielewa
Kafugeni majini na kusubiri bikra 73😄 Yani Kuna vítu hâta mtoto wa memkwa anaweza kukushangaa,imagine una expect kupewa mito ya pombe na kufanya mapenzi peponi😄
 
Back
Top Bottom