Wakristo waliotokea mikoa isiyo na Waislam wengi wana uelewa potofu juu ya Uislam na Waislam

majanga....UKRISTO UNASEMA SAMEHE SABA MARA SABINI NA PIA KISASI NI CHA MUNGU.
Lakini vilevile Ukristu unakumabia MPENDE NA KUMWOMBEA ADUI YAKO.

"Mmesikia kwamba imenenwa, umpende jirani yako, na, Umchukie adui yako; lakini mimi nawaambia, Wapendeni adui zenu, waombeeni wanaowaudhi, ili mpate kuwa wana wa Baba yenu aliye mbinguni; maana yeye huwaangazia jua lake waovu na wema, huwanyeshea mvua wenye haki na wasio haki (Mathayo 5:43–45). "

Katika maneno haya wewe unasimamia wapi?
 
Subiri kidogo nitakurudia
 
Toka hapa bwana,wewe ulichoandika hapa unaona kina-make sense?
Kuna kutaka na kutotaka, ukisema utaona sense, ila kwa kuwa umeliangalia kiimani, huwezi ukaona sense, sababu kwenye imani inahitajika kuamini kama mjinga siyo ku make sense.
 
Sa kwa nini wasikatwe vichwa hao wacristo 8 dadadeki zao.
 
Mkuu mimi sina chuki na dini yoyote ila ukweli ni kwamba wa kurisito wengi sio wote hapendi wailamu hata ukiona hapa jf ni mfano wanatukanwa kila dhihaki.
Mkristu yoyote anafuata misingi ya kristu na amri ya kwanza tuliyoachiwa ni upendo. Sijawahi kusikia katika Tanzania yetu kuna waislamu wamesumbuliwa kujenga msikiti katika maeneno yenye wakristu wengi au hata kubughudhiwa ama kuwa attacked. Sasa hiyo chuki ni ipi unaongelea, ya Jf au?.....
 
Sio potofu, ndio ukweli


Kwani hamfugi majini?
 
Kuna kutaka na kutotaka, ukisema utaona sense, ila kwa kuwa umeliangalia kiimani, huwezi ukaona sense, sababu kwenye imani inahitajika kuamini kama mjinga siyo ku make sense.
Kwa muktadha wa kuamini kijinga kama nimekuelewa vizuri so conclusion kwamba Wakristo wanaamini ktk mapepo akilini mwako umekubali kuwa mjinga kuamini hilo wakati kwenye kitabu chao hakuna mapepo yalipozungumzwa kwa wema?

Mkuu,mimi hunibebi bebi hovyo and of course sometimes mambo ya imani yanahitaji kutohoji sana lakini kusema mkristo anaamini kuna “mapepo mema” hili hata nikiwa zezeta sitaamini.
 
Kinachosumbua wengi wenu ni neno "mapepo" hiyo "ma" ndiyi imejenga taswira ya ubaya akilini mwa watu sababu kimsingi "ma" imetumika kama kivumishi cha ubaya. Kimsingi ni mapepo ambalo limetokana na kiingereza "good spirits" or "Benevolent spirits"
 
Tupendane sisi sote ni Watanzania jamani .
Dini zenyewe hutegemea na Mungu ameruhusu uzaliwe kwa mzazi au mlezi wa dini gani na wewe mtoto unajkuta kuifuata hiyo.
Na hakuna anaechagua szałowe kwa mzazi au mlezi gani.
Unajukuta tu uko mikononi mwa walezi hao wa dini hiyo na wewe unakua na kuizoea.
Kwa hiyo hakuna fundi wa kichagua dini bora.
Kila atanaemwamini Mwenyezi Mungu Muumbaji wa mwanadamu na kutenda mema na haki atakuwa na mwisho mwema ataingia peponi kusiko na mwisho na mwisho wa kuishi bali umilele.

Tupendane sote bila kujali dini zetu.
 
Mkoa gani wa kiislam Tanzania?kama zanzabar sawa lakini kama bara labda mkoa wako ni hizo hatua 30x30 ulizojenga ukitoka nje ya hapo unakanyaga ardhi ya jamuhuri.

Na labda aliwapa nani huo mkoa hadi muhisi mna mkoa wenu?
Hata hiyo jamuhuri ardhi sio mali yake bali bali ardhi ni mali ya Mungu.
Mm nime mjibu kutokana na comment yake inayo sema eti waisilam ni jamii ngumu kuishi nayo alafu wakati huo nyinyi mmejazana kwenye mikoa ambayo wenyeji wake ni waisilam baada ya kukimbia njaa kwenye mikoa yenu.
 
Nimeishi sana Uzaramoni, Uziguani , Undengerekoni na sehemu kubwa ya mikoa ya pwani, akipita shehe mbele ya halaiki ya watu , wao husemeza.. HUYU SIO WAKUCHEZEA AKIKUAMULIA JUA HALICHWI...sasa kwa kauli hizo unautofautisha uislamu, waislamu na uchawi ?
 
Haya maneno ungewambia wagaratia wenzio ungeonekana una akili sana maana ndo waendeshaji wakuu wa mijadala ya kashifa dhidi ya waisilam.
 
Kwa hiyo wakristo wa jf ni wakristo majina?
 
She he Alhad Mussa Salum alimwambia mini Mange vile!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…