Wakristo waliotokea mikoa isiyo na Waislam wengi wana uelewa potofu juu ya Uislam na Waislam

Wakristo waliotokea mikoa isiyo na Waislam wengi wana uelewa potofu juu ya Uislam na Waislam

Kinacho wasumbua sana ni chuki na wivu wamaendeleo ya uislamu na waislamu, Ushirikina ni mwingi katika ukatoliki ila hausemwi.

Kuna schoolmate wangu muislamu alimaliza form four ana elimu ya madrasa nzuri tu karibu juzu 10, kwenye kampuni yake kaajiti wakuristo 8, wenye degree mbalimbali moja ni muhasibu ana CPA na waislamu wa 3, ila wale wa kuristo wanamsema vibaya wanatamani afe, ila kila ukicha mali zake zinaongezeka. Wamefanya ushirikina mpaka basi tu.......hao watu hawapendi wsislamu hata ufanye wame kiasi gani.
Chuki inaanzia kwa muislamu kama wewe ambae badala uwaite wakristo wewe unawaita wakuristo....waislamu ni watu wenye chuki mno dhidi ya ukristo nakuambia hayo kwasababu kuanzia mama yangu na ndugu zake wote ni waislamu tena kwao ni mikindani naziona chuki zao kwangu kisa dini,,, ila sema kitu kimoja tu nina pesa kwahiyo wananiheshimu kwa unafiki
 
Kinacho wasumbua sana ni chuki na wivu wamaendeleo ya uislamu na waislamu, Ushirikina ni mwingi katika ukatoliki ila hausemwi.

Kuna schoolmate wangu muislamu alimaliza form four ana elimu ya madrasa nzuri tu karibu juzu 10, kwenye kampuni yake kaajiti wakuristo 8, wenye degree mbalimbali moja ni muhasibu ana CPA na waislamu wa 3, ila wale wa kuristo wanamsema vibaya wanatamani afe, ila kila ukicha mali zake zinaongezeka. Wamefanya ushirikina mpaka basi tu.......hao watu hawapendi wsislamu hata ufanye wame kiasi gani.
Hizi mada huwa unazianzisha wewe mwenyew na unajijibu, kila mada inayohusu kukashifu wakristo with nonsense claims, huwa kila nikiangalia wa kwanza kujibu ni wewe, hii sio mara ya kwanza wala ya pili, unaanzisha mada alaf unajijibu mwenyew😆.
It can not be a coincidence.
 
Sio kweli napinga. Zanzibar kuna makanisa kibao saiv na waislam wala hawashugulik nayo kabis na wanaona kawaida Tu kujumuika na wakristo katika sehem za kijamii . Kwa mfano mikoa ya Pwani Kam Dar , Mtwar,Lindi , Tanga na Pwani yenyew zipo shule ambazo ni za kikristo ambazo Zinajiita sjui St.Mathew, St Mary, St Antony n.k ambazo Nowadays waislam wapo kibao wamewapelek watot wao wakasome na ikifik vipind vya dini wanakaa kando na Sik ya ijumaa wanaruhusiw kutok kwend kuswali fresh Tu. Kadhalika hata kwny Hospital za misheni waislam ni wateja wao wakubwa San mfano kuna hospital IPO kw buruda ni ya kikristo na vikindu pia. Waisalmu hawana shida kujumuika na wakristo katika sehem za kijamii. Lakin je ushawai kuwaona wakristo wakajumuika na waisalm katik sehm za kijamii katik Ukanda wenye wakristo Weng. Jibu ni hapan
Unadhani huko Zanzibar sisi ni wageni au unaandika kufurahisha jukwaa?

View: https://youtube.com/shorts/FX-zRwmuxc8?si=w8d735-mmeODTD1k
 
Chuki inaanzia kwa muislamu kama wewe ambae badala uwaite wakristo wewe unawaita wakuristo....waislamu ni watu wenye chuki mno dhidi ya ukristo nakuambia hayo kwasababu kuanzia mama yangu na ndugu zake wote ni waislamu tena kwao ni mikindani naziona chuki zao kwangu kisa dini,,, ila sema kitu kimoja tu nina pesa kwahiyo wananiheshimu kwa unafiki
Mkuu huyo ana multiple ID, nahic ndo aliyeanzisha hata huu uzi
 
Hayo majini allah katamka wazi kwenye koran kwamba yeye ndie anayatuma kanisani , sasa ulitaka wakristo wakubali ? Wasipambane na allah na majini yake?
Chuki
Hayo majini allah katamka wazi kwenye koran kwamba yeye ndie anayatuma kanisani , sasa ulitaka wakristo wakubali ? Wasipambane na allah na majini yake?
Chuki tu ndio zilizo kujaa, na ndio maana kila siku munaibiwa hapo hapo kanisani , uongo uongo mwingi, kupamba majini ndio content ya wakristo , kwahyo kanisani ni sehemu ya kutoa uchawi na sio sehemu ya kuabudu syo
 
Uislam na ukatoliki fate yao inajulikana ni kuzimu ya moto!

Protestants wao ni hit and mis! either you make it or go to hell!!

Wakatoliki ndio waliuanzisha uislam Kwa malengo yao na ibada zao za wafu zinafanana ,na hatma yao ni kuzimu tu hakuna mjadala!!!

Huna sababu za kutetea kitu ambacho ulizaliwa ukakikuta Kwa kuamini maandishi pekee !je alieandika kama alikosea je!!?
Na hesabu umefunga kabisa kwamba wataenda motoni wewe nani mzee?

Ninyi walokole mmejimilikisha signature ya Mungu punguzeni mbwembwe hizo hukumu mnazotoa huku wenyewe mna dhambi zenu zitawatia matatani.
 
Je lakini jini ni kiumbe wa roho?
Jini ni viumbe kama alivyo binadamu ,jini kapewa akili ya kuchagua mema na mabaya ,wakati malaika yeye kaumbwa kumtii Mungu tu hajapewa uhuru wa kuchagua kuwa muovu au mwema kama binadamu na majini.
 
Lakini Kubwa zaidi, baadhi wanachuki na Waislam kabisa. Wengi zaidi ni wale wa mikoa ya Kaskazini au Nyanda za juu kusin
Ndio kazi bado ipo ya kuwaelimisha. Kwanza walifikiri waislam hawamtambui Yesu ( Issa) kama katumwa na M Mungu. Baada ya mijadala mingi, ikiwemo hapa Jf, sasa hivi hilo sio tatizo kwao wameelewa msimamo wa waislam kuhusu Yesu, Moses, Abraham N.k

Sasa ni wakati wa kuhamia Kaskazini na Nyanda za juu kusini tukamalize mchezo. Pole pole mpaka tuelewane tu.
 
Waisilam ni jamii ngumu kuishi nayo lakini cha kushangaza mmejazana kwenye mikoa yao.
Mkoa gani wa kiislam Tanzania?kama zanzabar sawa lakini kama bara labda mkoa wako ni hizo hatua 30x30 ulizojenga ukitoka nje ya hapo unakanyaga ardhi ya jamuhuri.

Na labda aliwapa nani huo mkoa hadi muhisi mna mkoa wenu?
 
Na hesabu umefunga kabisa kwamba wataenda motoni wewe nani mzee?

Ninyi walokole mmejimilikisha signature ya Mungu punguzeni mbwembwe hizo hukumu mnazotoa huku wenyewe mna dhambi zenu zitawatia matatani.
Hawa vijana wanahitaji Kuelimishwa tu. Na huu mjadala ni moja kati ya elimu tosha. Tuwasamehe bure hawajui watendalo.
 
Kinacho wasumbua sana ni chuki na wivu wamaendeleo ya uislamu na waislamu, Ushirikina ni mwingi katika ukatoliki ila hausemwi.

Kuna schoolmate wangu muislamu alimaliza form four ana elimu ya madrasa nzuri tu karibu juzu 10, kwenye kampuni yake kaajiti wakuristo 8, wenye degree mbalimbali moja ni muhasibu ana CPA na waislamu wa 3, ila wale wa kuristo wanamsema vibaya wanatamani afe, ila kila ukicha mali zake zinaongezeka. Wamefanya ushirikina mpaka basi tu.......hao watu hawapendi wsislamu hata ufanye wame kiasi gani.
Hivi huwa mnapata nini kuzichochea hizi chuki au unataka vizazi vijavyo viishi kwa genocide na jihad ndio utasikia amani..

Sidhani kama kama una furaha katika maisha maana moyo uliojaa chuki kiasi hiki sidhani hata kama una space ya utu na upendo zaidi ya kuwaza uovu.. Mungu akusamehe na kukuhurumia
 
Kwamba Mkuu unataka kusema kuna kombe linaandikwa kwa kutumia aya za Injili au Zaburi?
Kingine ubaguzi wa waziwazi unaofanywa na imani hiyo umewafanya wengi kuwaona kama watu wasiostaarabika kwa kuheshimu imani za wengine, kitendo cha kuwaita Makafiri wale wasio waumini wa dini ya Kiislamu na kitendo cha kujiona kuwa mna hatimiliki ya kuchinja vitoweo na kujinasibisha waziwazi kuwa akichinja wa imani nyingine inakuwa kibudu ni ukosefu wa uungwana.
Jamii inayoheshimu haki za Binadamu na usawa kwa watu wote hawawezi kuchangamana na imani inayochochea ubaguzi na kutweza utu wa watu wengine.
Kombe nini?

Unaweza ukatuonyesha linaandikwaje?
 
Hivi huwa mnapata nini kuzichochea hizi chuki au unataka vizazi vijavyo viishi kwa genocide na jihad ndio utasikia amani..

Sidhani kama kama una furaha katika maisha maana moyo uliojaa chuki kiasi hiki sidhani hata kama una space ya utu na upendo zaidi ya kuwaza uovu.. Mungu akusamehe na kukuhurumia
Mkuu mimi sina chuki na dini yoyote ila ukweli ni kwamba wa kurisito wengi sio wote hapendi wailamu hata ukiona hapa jf ni mfano wanatukanwa kila dhihaki.
 
Katika hilo la Majini Wakristo na Waislam wanafanana. Majini ni viumbe, katika viumbe kuna wema na wabaya. Hata wakristo wanahubiri kuhusu majini ila wao huwatumii jina la "majini" bali "mapepo" hata wakristo wanahubiri kuwa kuna "mapepo" wema (malaika) na mapepo wabaya.
Mungu aliumba vyote, vinavyo onekana na visivyo onekana.
Kwenye namna ya kuishi nayo na jinsi ya kuyatumikisha hapo ndiyo wanatofautiana.
Nimekuwa interested kueleweshwa hili,yaani kwamba wapo Wakristo wanasema kuna mapepo wema?

Yaani kabisa wanatamka mapepo wema Kanisani?
 
uislamu uko ndani ya mtu, kama mtu anaelekeza hayo kwa kutumia uislamu huo huo utasemaje mkuu
Hata mahakamani mhalifu anajitetea kwa kutumia sheria hizi hizi za nchi!

Kama ikikupendeza Mkuu, tuwekee ushahidi ili tuweze kujifunza zaidi kupitia kwako!

Karibu!
 
Chuki inaanzia kwa muislamu kama wewe ambae badala uwaite wakristo wewe unawaita wakuristo....waislamu ni watu wenye chuki mno dhidi ya ukristo nakuambia hayo kwasababu kuanzia mama yangu na ndugu zake wote ni waislamu tena kwao ni mikindani naziona chuki zao kwangu kisa dini,,, ila sema kitu kimoja tu nina pesa kwahiyo wananiheshimu kwa unafiki
Sasa Mkuu, matatizo yako na familia yako unayahusisha na mambo ya dini?

Kuna wangapi dini moja kwenye familia na bado wanachukiana?
 
Sasa Mkuu, matatizo yako na familia yako unayahusisha na mambo ya dini?

Kuna wangapi dini moja kwenye familia na bado wanachukiana?
Njoo huku pwani swali la kwanza utaulizwa wewe dini gani...shida ni ukosefu wa elimu iliyo sahihi
 
Back
Top Bottom