Wakristo wasio Wasabato wanaruhusiwa kula paka, panya, kobe, kinyonga, kenge, kunguru, nyani, n.k?

Wakristo wasio Wasabato wanaruhusiwa kula paka, panya, kobe, kinyonga, kenge, kunguru, nyani, n.k?

NetMaster

JF-Expert Member
Joined
Sep 12, 2022
Posts
1,454
Reaction score
4,925
Kwa kuwa sisi ni wakristo ni kwamba sisi tunafata nyayo za Yesu Kristo. Ni vipi kitu ambacho hakusema Yesu Kristo kinawekewa mabano ya kuweka uchambuzi wa maono ya waliotafsiri biblia? mbaya zaidi kuna biblia hata hayo mabano hayamo, uchambuzi umeunganishwa kuonekana ni maandiko matakatifu yaliyokuwemo kwenye biblia.

Kimuingiacho mtu hakimtii unajisi ni jibu alilotoa Yesu baada ya kuulizwa kwanini wanafunzi wake waliokuwa na njaa walikula mahindi wakiwa njiani bila kuosha mikono, kwa sheria walizojiwekea viongozi wa mda huo waliona kwamba kula bila kuosha mikono kunamtia mtu unajisi, Yesu ndipo akawasahisha kwamba sheria zao hazipo sawa na kwamba kula bila kuosha mikono hakumtii mtu unajisi. Sasa je, hapa kulikuwa na haja ipi ya watafsiri kuongeza maneno yao kwamba maana yake ilikuwa ni karuhusu kula vyakula ambavyo havikutakaswa kama mijusi, kenge na nguruwe wakati kilichokuwa kinazungumziwa ni kula bila kuosha mikono?

Wasabato walipuuzia hayo mabano maana hayakuwa maneno ya Yesu na kazi ya watafsiri sio uchambuzi, Wakristo wengine wakadhani ni Yesu kawapa kibali wakaona ni ruksa ya kula chochote.

Sasa najiuliza kwamba mbwa, konokono, vinyonga, kunguru, paka, chunusi, kobe, n.k wanaweza kuliwa?

Mfano kuna samaki na wanyama wana sumu ama huleta madhara wakiliwa na wakawekwa kwenye kundi la vyakula visivyofaa, Mungu alikosea kusema hawatakiwi kuliwa?

Halafu pia nashangaa Biblia za sikuhizi za kiswahili zimeunganisha hayo maneno bila kuweka mabano, ni wazi kabisa wakristo wengi wanaamini haya maneno yalikuwemo bila kujua kuna uhuni umefanyika kuyaunganisha, maskini mweee! Mtu anabisha mpaka mishipa inamtoka shingoni kwasababu ya mistari iliyopachikwa ambayo haikuwahi kuwepo, ni ujanja ujanja tu ukafanyika kupachika.
 
Kwa kuwa sisi ni wakristo ni kwamba sisi tunafata nyayo za Yesu Kristo, Ni vipi kitu ambacho hakusema Yesu Kristo kinawekewa mabano ya kuweka uchambuzi wa maono ya waliotafsiri biblia ? mbaya zaidi kuna biblia hata hayo mabano hayamo, uchambuzi umeunganishwa kuonekana ni maneno ya Yesu Kristo.

Kimuingiacho mtu hakimdhuru ni jibu alilotoa Yesu baada ya kuulizwa kwanini wanafunzi wake waliokuwa na njaa walikula mahindi wakiwa njiani bila kuosha mikono, Je hapa kulikuwa na haja ipi ya watafsiri kuweka kwenye mabano kwamba maana yake ilikuwa ni kwamba Yesu karuhusu kula nguruwe wakati kilichokuwa kinazungumziwa ni kula mahindi bila kuosha mikono ??
 
Hakuna mabano katika Hilo andiko,yanayoruhusu kula kila kitu ila Wachungaji fake na manabii wauongo matapeli Kama kina mwamposa wasiojua maandiko ndio wanapotosha tafsiri , hata mwakasege anayesifiwa bado biblia inampiga chenga ,maana alifundishwa hivo

Hilo andiko Wala halina mabano ya kuruhusu Kula Mende,kenge,n.k hata wewe umeingia kwenye mtego was kina mwamposa , gwajima,n.k

BIBLIA HUMAANISHA NINI INAPOSEMA KIMUINGIACHO MTU AKIMTII UNAJISI BALI KIMTOKACHO?

Ni jambo gani ambalo Biblia inasema katika Marko 7:15-23?
Biblia Inasema

"Hakuna kitu kilicho nje ya mtu ambacho kikimwingia chaweza kumtia unajisi, bali vile vimtokavyo, ndivyo vimtiavyo unajisi yule mtu. [Mtu akiwa na masikio ya kusikilia, na asikie.]


Hata alipoingia nyumbani, ameuacha mkutano, wanafunzi wake wakamwuliza habari za ule mfano.
Akawaambia, Hivi hata ninyi hamna akili? Hamfahamu ya kwamba kila kitu kilicho nje ya mtu, kikimwingia, hakiwezi kumtia unajisi;
kwa sababu hakimwingii moyoni, ila tumboni tu; kisha chatoka kwenda chooni? Kwa kusema hivi alivitakasa vyakula vyote.
Akasema, Kimtokacho mtu ndicho kimtiacho unajisi.
Kwa maana ndani ya mioyo ya watu hutoka mawazo mabaya, uasherati,
wivi, uuaji, uzinzi, tamaa mbaya, ukorofi, hila, ufisadi, kijicho, matukano, kiburi, upumbavu.
Haya yote yaliyo maovu yatoka ndani, nayo yamtia mtu unajisi."(Marko 7:15-23).
Sasa shida inayokuja hapa watu wameshikilia kula vyakula najisi kuwa ni halali kama vile kitimoto na kambare na wanasema inahusisha mwili tu, wanasahau Kuwa kukaidi agizo la Mungu ni matokeo ya uasi ambao uanzia kwenye maamuzi, Lakini pia wanasahau kuwa Yesu ametaja na mambo mengine yanayoweza kumtia mtu unajisi, kama vile ufisadi, uuaji, uzinzi, wivi, je hivi vinausisha roho tu? Je havina matokeo yoyote kwenye mwili kiasi cha mwili kuhusishwa? Inabidi wafikilie upya.

Katika Marko 7:15-23, Yesu hatamki kwamba mtu anaweza kula kitu chochote. Baadhi ya vyakula na vinywaji havistahili na pia vinafisha, na vingine ni hatari kabisa kwa afya. Angalia katika (Walawi 11:2-23) kwa ajili ya orodha ya wanyama, ndege, samaki, na wadudu wasiofaa kuliwa.

Anachoelekeza Yesu hapa ni imani kuwa endapo Myahudi mtaua (mcha Mungu kwelikweli) akifuata tu sheria za usafi wa taratibu za kidini atakuwa safi kimaadili/kiroho. Kwa upande mwingine, hakuna chakula ambacho kwa chenyewe kinaweza kuinajisi tabia ya mtu. Kinachonajisi ni mawazo maovu (ambayo hujitokeza kwa ndani na kujidhihirisha katika matendo ya nje). Ndiyo maana Biblia inatuambia, “Linda moyo wako kuliko yote uyalindayo; Maana ndiko zitokako chemchemi za uzima.” (Mithali 4:23)

Hapa Yesu hasemi kuwa vyakula vyote vinaruhusiwa au vinafaa kuliwa. Yesu anatumia vitendo vya nje vya kuosha mikono na kula kama kielelezo cha matendo ya nje ili kuweza kutofautisha na hali ya moyoni. Yesu hugeuza mtazamo wa walimu wa sheria, waliingiza mapokeo ambayo hayakuwa agizo la Mungu, miongoni mwa mapokeo hayo ni kunawa hadi kwenye kiwiko Kabla ya kula Biblia Inasema "Kwa maana Mafarisayo na Wayahudi wote wasiponawa mikono mpaka kiwiko, hawali, wakishika mapokeo ya wazee wao;" (Marko 7:3). Kwa hiyo hata kama ungekula chakula ambacho sio najisi kwao walikiita najisi kwa sababu tu haujanawa hadi kwenye kiwiko, na Habari hizi zilizua mjadala baina ya Yesu na mafarisayo na kuamua kuwaambia ukweli, Biblia Inasema "Akawaambia, Isaya alitabiri vema juu yenu ninyi wanafiki, kama ilivyoandikwa,Watu hawa huniheshimu kwa midomoIla mioyo yao iko mbali nami;
Nao waniabudu bure,Wakifundisha mafundishoYaliyo maagizo ya wanadamu," (Marko 7:6-7).

Basi ingekuwa vyema kwa kila msomaji wa maandiko kutambua kuwa mgogoro ulianzia nyuma kwenye kutokunawa hadi kwenye kiwiko mpaka Yesu anafikia hatua ya kusema "kimuingiacho mtu akimtii unajisi, bali kimtokacho" mawazo ya mafarisayo yalishatiwa unajisi,
walikuwa wamejikita katika mambo ya nje, wakati Yesu alisisitiza matendo ya ndani ya roho, hali ya kimaadili/kiroho. Ni rahisi kudumisha hali ya nje ya kuwa Mkristo kwa kile tunachofanya au tusichofanya. Hata hivyo, wakati ambapo wanadamu huangalia nje, Mungu huangalia hadi ndani ya moyo hupima nia ya makusudi yanayosukuma matendo yetu. (Angalia pia Mwanzo 1:29-30; Matendo 10; 1 Wakorintho 10:31).

Roho Mtakatifu akusaidie kuelewa hili.
 
BIBLIA IPO WAZI SANA UKIISOMA KWA MAOMBI,

ILA MOST YA MAKANISA YANAPOTEA NA KUPOTEZA WAUMINI, HASA KWA KUTOELEWA MAANDIKO YA PAULO

NA KUPITIA MAANDIKO YA PAULO (AKILI NYINGI) NDIO WENGI WAMEANZISHA MAKANISA NA MADHEHEBU MAANA WANASHINDWA KUTAFSIRI MAANA SAHIHI

KUPITIA maandiko ya Paulo utakutana na mafundisho Kama kunena kwa Lugha kwa kufokafoka ,kula nguruwe wakidai Paulo karuhusu ,n.k

Asilimia 90 ya MAKANISA na MADHEHEBU yanayoibuka Ni kupotosha maandiko ya vitabu vya Paulo

Petro mwanafunzi wa Yesu aliposoma maandiko ya Paulo alichanganyikiwa ,itakuwa Mwamposa ,au Gwajima wenye Njaa?

JUZI nilikuwa safarini , njiani nilimsikia muislamu akiponda Sana Agano jipya akidai limeruhusu kula nguruwe , wakati agano la Kale limekataza, nikajisemea Moyoni , NI KUTOKUELEWA TU.......

Mtume Petro alitoa angalizo juu ya usomaji wa nyaraka za Paulo na akatoa onyo lifuatalo:

#2 Petro 3:15-17
Nanyi uhesabuni uvumilivu wa Bwana wetu kuwa ni wokovu, kama vile na ndugu yetu mpenzi Paulo alivyowaandikia kwa hekima aliyopewa;
vile vile kama katika nyaraka zake zote pia, akitoa humo habari za mambo hayo; katika nyaraka hizo yamo mambo ambayo ni vigumu kuelewa nayo; na mambo hayo watu wasio na elimu, wasio imara, huyapotoa, kama vile wayapotoavyo na maandiko mengine, kwa uvunjifu wao wenyewe.

Sio Petro tu ndio anadai kwamba nyaraka za Paul ni ngumu, bali hata watu wengine pia wanasema nyaraka za Paul ni ngumu, Na Paul yeye mwenyewe anashuhudia kwamba watu wanasema nyaraka zake ni nzito/ ngumu:

2 Wakorintho 10:9-10
nisije nikaonekana kana kwamba nataka kuwaogofya kwa nyaraka zangu.
Maana wasema, Nyaraka zake ni nzito, hodari; bali akiwapo mwenyewe mwilini ni dhaifu, na maneno yake si kitu.

Hivyo inabidi umakini mkubwa sana unapokutana na aya tata katika Nyaraka za Paul, pia ieleweke kwamba Nyaraka zote za Paul alikuwa anashugulika na kutatua migogo ya kiimani iliyokuwa inatokea ndani ya Kanisa baina ya washiriki, na pia alikuwa anashugulika na walimu wa uwongo waliokuwa wakiingiza mafundisho potofu ndani ya kanisa. Ikumbukwe kwamba makanisa yote ambayo Paul anayaandikia nyaraka ni makanisa ya watu waliokuwa na mchanganyiko baina ya Wayahudi na watu wa Mataifa, mengine yalikuwa ni machanga katika imani.

#Sasa kabla ya yote inabidi tuzingatie mambo yafuatayo ili tuweze kuelewa nyaraka za Paulo na vitabu vingine:
1. Waraka huo aliwaandikia watu gani?
2. Kulikuwa na changamoto gani ?
3. Alishughulika vipi na hiyo changamoto.

Kwa hiyo kwa utangulizi huo, naomba tuchungze baadhi ya hoja zinazo patikana katika Warumi 14. Miongoni mwa hoja ambazo hujengwa na baadhi ya wakristo katika kitabu hiki ni
1. Siku zote ni sawa, hivyo unaweza kuabudu siku yoyote ile.
2. Ikiwa mwenzako anakula nguruwe wewe kumnyoshea kidole.
3. Hakuna kitu kilicho najisi kwa asili yake.

Kanisa la Rumi lilikuwa na mchanganyiko wa Wayahudi na Watu wa mataifa, Rumi ilifikiwa na injili na mitume baada ya Yesu kupaa mbinguni, watu wengi wa mataifa waliokuwa wakisali katika kanisa la Rumi na Korintho, mwanzo walikuwa ni wapagani, wakijihusisha na ibada za sanamu, na hivyo baada ya kuipokea injili waliachana na upagani. Hata hivyo changamoto zilizokuwa zinalikabili Kanisa la Rumi, ndizo changamoto zilizokuwa zinalikabili Kanisa la Korintho.

#CHANZO CHA MIGOGORO JUU YA CHAKULA:

Kwa sababu kanisa lilikuwa linajumuisha Wayahudi na Wamataifa, hivyo mgogoro ulikuwa kati ya waumini wa Kiyahudi na waumini wa kimataifa. Sasa hawa waumini wasio wayahudi zamani kabla ya kumpokea Yesu walikuwa Wanatoa sadaka kwa masanamu, kisha ile nyama ilikuwa inapelekwa Masokoni kwa ajili ya kuwauzia watu, lakini baada ya kumpokea Yesu wakaachana na ibada za sanamu, na hata nyama zilizokuwa zinauzwa masokoni wakawa hawanunui, kwa kuhofu zitakuwa zimeolewa sadaka kwa sanamu na hivyo watajitia unajisi, matokeo yake wakawa wanakula mbogamboga tu. Na Baada ya Paul kupata habari hizo juu ya huo mgogoro na ndipo anaandika waraka huu kwa Warumi. Na anaanza kwa kusema:

#Warumi 14:1-2
Yeye aliye dhaifu wa imani, mkaribisheni, walakini msimhukumu mawazo yake.
Mtu mmoja anayo imani, anakula vyote; lakini yeye aliye dhaifu hula mboga.

Kwa hiyo Paul anawaambia mtu akiwa mdhaifu wa imani wamkaribishe, haijarishi anakula nyama au hali asihukumiwe kwa imani yake aliyonayo. Kwa sababu imani yake ameijenga kwa Mungu.
Ndipo sasa mgogoro ukainuka kanisani Wakristo wa kimataifa wakaanza kuwaona Wakristo wa Kiyahudi wamepotoka maana wanakula nyama zilizotolewa sadaka kwa sanamu, na Wayahudi nao wakawa wanawaona Wakristo wa kimataifa wamepotoka kwa kutokula nyama.

Lakini waumini wa Kiyahudi kwa sababu wao walikuwa hawajui historia ya zile nyama zinazouzwa masokoni, wao wakawa wananunua na kula, mbaya zaidi wakawa wanakula mbele za waumini wapya tena ndani ya mahekalu ya sanamu, na Paul anatoa onyo kwa kwa wale wanaokula nyama kwa kusema kwa dhamili zao:

# Warumi 14:22
Ile imani uliyo nayo uwe nayo nafsini mwako mbele za Mungu. Heri mtu yule asiyejihukumu nafsi yake katika neno lile analolikubali.

# 1 Wakorintho 8:10
Kwa maana, mtu akikuona wewe uliye na ujuzi, umeketi chakulani ndani ya hekalu la sanamu, je! Dhamiri yake mtu huyo, kwa kuwa yu dhaifu, haitathibitika hata yeye naye ale vitu vilivyotolewa sadaka kwa sanamu?

#1 Wakorintho 8:7-8
Bali ujuzi huu haumo ndani ya watu wote; ila wengine kwa kuizoelea ile sanamu hata sasa hula kana kwamba ni kitu kilichotolewa sadaka kwa sanamu; na dhamiri zao, kwa kuwa dhaifu, hunajisika.
Paul anawaonya wale waliokuwa wanajiona wapo imara katika imani kwamba si vizuri kufanya mambo hayo hadharani, itawafanya wale waumini wapya kudhoofika kiroho.

Hivyo ikawa waumini wakienda sokoni kununua nyama walikuwa wanaanza kuuliza kwa wauzaji je, hii nyama imetolewa sadaka kwa sanamu au la, Na ndio maana Paul anawaambia Kanisa la Korintho wakienda sokoni wasianze kuulizauliza kwamba nyama hii imetolewa sadaka kwa sanamu au la, bali anawaambia kwa sababu ya dhamili wanunue maana hawawezi ukapata majibu sahihi:
#1 Wakorintho 10:25
Kila kitu kiuzwacho sokoni kuleni, bila kuuliza-uliza, kwa ajili ya dhamiri;

Lakini kama mtu dhamiri yake haimruhusu basi asile maana atakuwa anatenda dhambi:
#Warumi 14:23
Lakini aliye na shaka, kama akila, amehukumiwa kuwa ana hatia, kwa maana hakula kwa imani. Na kila tendo lisilotoka katika imani ni dhambi.

Fikiria hata wewe mwenyewe hivi umeenda sokoni ukaanza kuuliza nyama hii ni kibudu? unamuuliza muuzaji Au nyama hii ni ya leo au ya jana? Unadhani atakupa majibu sahihi? Ni wachache sana watakao kwambia ukweli. Hata sisi wenyewe tunanunua nyama kwenye mabucha kwa sababu dhamiri zetu zinatutuma kwamba ni nyama sahihi, lakini kiuhalisia kuna nyama nyingi haramu zinauzwa katika mabucha na wengi tumezila, hata nyingine ni za matambiko. Isitoshe vipo vyakula vingi tunavyokula sasa na tuna vipenda, ambavyo laiti tungejua mazingira na jinsi vinavyo tegenezwa hatungependa kula vile vyakula.
Au ni mara ngapi umekula nyama ambayo hujui ni aina gani ya nyama au ni aina gani ya ndege?

Sasa hawa ndugu zetu wa Rumi na Korintho wakienda sokoni au wakialikwa mahali kwa mtu au katika sherehe, swali la kwanza walikuwa wanawauliza wahusika je, nyama hii imetolewa sadaka kwa sanamu? Wakiambiwa ndio basi hawali ile nyama..

Hivyo chanzo cha mgogoro ni juu ya ulaji wa nyama zilizo tolewa kafara kwa sanamu, ni makosa makubwa kutumia sura hii kuharalisha ulaji wa nguruwe, maana sio kiini cha mgogoro. Na haimaye Paul anatoa ushauri katika nyaraka zote mbili kwamba ni bora kuachana na ulaji wa nyama, ambao unasababisha migogoro ndani ya kanisa;

#Warumi 14:21
Ni vyema kutokula nyama wala kunywa divai wala kutenda neno lo lote ambalo kwa hilo ndugu yako hukwazwa.

#1 Wakorintho 8:13 Kwa hiyo, chakula kikimkwaza ndugu yangu, hakika sitakula nyama hata milele, nisije nikamkwaza ndugu yangu.

#HAKUNA KITU KILICHO NAJISI KWA ASLI YAKE

#Warumi 14:14-15
Najua, tena nimehakikishwa sana katika Bwana Yesu, ya kuwa hakuna kitu kilicho najisi kwa asili yake, lakini kwake yeye akionaye kitu kuwa najisi, kwake huyo kitu kile ni najisi.

#>>>>Watu wengi hupenda kutumia fungu hili kama kichaka cha kutetea ulaji wa nguruwe hasa katika kipengele kinachosema>>> #Najua, tena nimehakikishwa sana katika Bwana Yesu, ya kuwa hakuna kitu kilicho najisi kwa asili yake. Kwa hiyo kama nilivyotangulia kusema hoja katika sura hii sio ulaji wa nguruwe, bali ni ulaji wa nyama zilizotolewa kafara kwa sanamu, na ulaji wa mbogamboga.

Lakini pia Paul anapoandika aya hii anaandika kulingana na tukio na mazingira, Anaposema #Hakuna kitu kilicho najisi kwa asili yake# Kauli hii anazungumza na Kanisa la Rumi kulingana na mgogoro uliokuwepo kwa sababu hakuna mnyama yeyote najisi ambaye huwa anatolewa sadaka kwa sanamu wala huwezi kusikia mganga wa kienyeji amedai mtu apeleke nguruwe, mbwa, paka, au bata kwa ajili ya kafara kwa miungu yake.

Wanyama ambao hutolewa sadaka iwe kwa sanamu au kwa waganga ni wale ambao ni safi: kama ng’ombe, mbuzi, kondoo nk.

Hivyo basi Paul anaposema #Hakuna kitu kilicho najisi kwa asili yake# alikuwa anamaanisha wale wanyama waliokuwa wanatolewa sadaka hapo Rumi yaani kama mbuzi, kondoo, ng’ombe nk.. kwa sababu ni wanyama safi, tangu asili yake, hivyo hawawezi wakawa najisi, labda kwa mtu binafsi.

Mfano; ukija kwangu mimi nikikwambia uwe huru kula nyama yoyote maana ni safi, kwa kauli hiyo sina maana ya nyama ya nguruwe, kobe, sungura nk. Sasa hii ni kauli ya kimazingira kulingana na imani yangu ina maana ya nyama ya mbuzi, kondoo, kuku, nk. Kwa hiyo huwezi ukatumia kauli hiyo kudai kwamba hamis77 anakula nguruwe au sungura. Au nime halalisha ulaji wa nguruwe hapana.

Hata hivyo Paulo anahitimisha hoja yake ya kutatua mgogoro kwa kuwahimiza Waumini wa Kiyahudi kwamba wajitahidi kuonesha upendo kwa waumini wa Kimataifa, na sio wao Wayahudi kujipendeza wenyewe:

#Warumi 15:1-2
Basi imetupasa sisi tulio na nguvu kuuchukua udhaifu wao wasio na nguvu, wala haitupasi kujipendeza wenyewe. Kila mtu miongoni mwetu na ampendeze jirani yake, apate wema, akajengwe.

Ukweli ni kwamba Warumi sura ya 14,haina uhusiano wowote na suala la ibada ya siku ya saba au siku ya kwanza ya juma, na wala haitetei wala kupinga ulaji wa wanyama najisi.

.
 
Maelezo merefu mno
Jibu swali Kula nguruwe ni dhambi au sito dhambi? Kula nguruwe kunakutia unajisi au la?
KULA NGURUWE NI DHAMBI NA ADHABU YAKE NI KALI ,NI IMEAHIDIWA SIKU YA KIAMA ,

Isaya 65

1 Watu wasionitaka wanauliza habari zangu; nimeonekana na hao wasionitafuta; naliliambia taifa lisiloitwa kwa jina langu,

2 Nitazameni, nitazameni. Mchana kutwa nimewanyoshea mikono yangu watu walioasi, watu waendao katika njia isiyo njema, wakifuata mawazo yao wenyewe;

3 watu wanikasirishao mbele za uso wangu daima, wakitoa dhabihu katika bustani zao, na kufukiza uvumba juu ya matofali;

4 waketio kati ya makaburi, na kulala katika mahali pao pa siri; walao nyama ya nguruwe, na mchuzi wa vitu vinichukizavyo u katika vyombo vyao;

5 watu wasemao, Simama peke yako, usinikaribie mimi, kwa maana mimi ni mtakatifu kuliko wewe; watu hao ni moshi puani mwangu, moto uwakao mchana kutwa.

6 Tazama, neno hili limeandikwa mbele zangu. Sitanyamaza, lakini nitalipa, naam, mimi nitawalipa ujira wao vifuani mwao;

SASA KINA MWAMPOSA ,GWAJIMA ,MWAKASEGE,MFALME ZUMARIDI,N.K WANASEMA KULENI NGURUWE ,MUNGU AMERUHUSU

Mungu Sio kigeugeu ,kaahidi kabisa hapo SIKU YA KIAMA ATATOA KICHAPO HATARI KWA WALA NGURUWE NA MACHUKIZO MENGINE
 
kwa sababu hakimwingii moyoni, ila tumboni tu; kisha chatoka kwenda chooni? Kwa kusema hivi alivitakasa vyakula vyote.
Biblia feki hii!! Unasoma Biblia feki!! Hayo maneno yanakuwaga kwenye mabano naona kwa sasa wameamia kuyafanya yaonekane yalikuwemo...

Badili biblia, hio biblia siwezi shangaa kuna amri ya 11
 
BIBLIA IPO WAZI SANA UKIISOMA KWA MAOMBI,

ILA MOST YA MAKANISA YANAPOTEA NA KUPOTEZA WAUMINI, HASA KWA KUTOELEWA MAANDIKO YA PAULO

NA KUPITIA MAANDIKO YA PAULO (AKILI NYINGI) NDIO WENGI WAMEANZISHA MAKANISA NA MADHEHEBU MAANA WANASHINDWA KUTAFSIRI MAANA SAHIHI

KUPITIA maandiko ya Paulo utakutana na mafundisho Kama kunena kwa Lugha kwa kufokafoka ,kula nguruwe wakidai Paulo karuhusu ,n.k

Asilimia 90 ya MAKANISA na MADHEHEBU yanayoibuka Ni kupotosha maandiko ya vitabu vya Paulo

Petro mwanafunzi wa Yesu aliposoma maandiko ya Paulo alichanganyikiwa ,itakuwa Mwamposa ,au Gwajima wenye Njaa ?

JUZI nilikuwa safarini , njiani nilimsikia muislamu akiponda Sana Agano jipya akidai limeruhusu kula nguruwe , wakati agano la Kale limekataza, nikajisemea Moyoni , NI KUTOKUELEWA TU.......

Mtume Petro alitoa angalizo juu ya usomaji wa nyaraka za Paulo na akatoa onyo lifuatalo:


#2 Petro 3:15-17
Nanyi uhesabuni uvumilivu wa Bwana wetu kuwa ni wokovu, kama vile na ndugu yetu mpenzi Paulo alivyowaandikia kwa hekima aliyopewa;
vile vile kama katika nyaraka zake zote pia, akitoa humo habari za mambo hayo; katika nyaraka hizo yamo mambo ambayo ni vigumu kuelewa nayo; na mambo hayo watu wasio na elimu, wasio imara, huyapotoa, kama vile wayapotoavyo na maandiko mengine, kwa uvunjifu wao wenyewe.

Sio Petro tu ndio anadai kwamba nyaraka za Paul ni ngumu, bali hata watu wengine pia wanasema nyaraka za Paul ni ngumu, Na Paul yeye mwenyewe anashuhudia kwamba watu wanasema nyaraka zake ni nzito/ ngumu:

2 Wakorintho 10:9-10
nisije nikaonekana kana kwamba nataka kuwaogofya kwa nyaraka zangu.
Maana wasema, Nyaraka zake ni nzito, hodari; bali akiwapo mwenyewe mwilini ni dhaifu, na maneno yake si kitu.

Hivyo inabidi umakini mkubwa sana unapokutana na aya tata katika Nyaraka za Paul, pia ieleweke kwamba Nyaraka zote za Paul alikuwa anashugulika na kutatua migogo ya kiimani iliyokuwa inatokea ndani ya Kanisa baina ya washiriki, na pia alikuwa anashugulika na walimu wa uwongo waliokuwa wakiingiza mafundisho potofu ndani ya kanisa. Ikumbukwe kwamba makanisa yote ambayo Paul anayaandikia nyaraka ni makanisa ya watu waliokuwa na mchanganyiko baina ya Wayahudi na watu wa Mataifa, mengine yalikuwa ni machanga katika imani.

#Sasa kabla ya yote inabidi tuzingatie mambo yafuatayo ili tuweze kuelewa nyaraka za Paulo na vitabu vingine:
1. Waraka huo aliwaandikia watu gani?
2. Kulikuwa na changamoto gani ?
3. Alishughulika vipi na hiyo changamoto.

Kwa hiyo kwa utangulizi huo, naomba tuchungze baadhi ya hoja zinazo patikana katika Warumi 14. Miongoni mwa hoja ambazo hujengwa na baadhi ya wakristo katika kitabu hiki ni
1. Siku zote ni sawa, hivyo unaweza kuabudu siku yoyote ile.
2. Ikiwa mwenzako anakula nguruwe wewe kumnyoshea kidole.
3. Hakuna kitu kilicho najisi kwa asili yake.

Kanisa la Rumi lilikuwa na mchanganyiko wa Wayahudi na Watu wa mataifa, Rumi ilifikiwa na injili na mitume baada ya Yesu kupaa mbinguni, watu wengi wa mataifa waliokuwa wakisali katika kanisa la Rumi na Korintho, mwanzo walikuwa ni wapagani, wakijihusisha na ibada za sanamu, na hivyo baada ya kuipokea injili waliachana na upagani. Hata hivyo changamoto zilizokuwa zinalikabili Kanisa la Rumi, ndizo changamoto zilizokuwa zinalikabili Kanisa la Korintho.

#CHANZO CHA MIGOGORO JUU YA CHAKULA:

Kwa sababu kanisa lilikuwa linajumuisha Wayahudi na Wamataifa, hivyo mgogoro ulikuwa kati ya waumini wa Kiyahudi na waumini wa kimataifa.
Sasa hawa waumini wasio wayahudi zamani kabla ya kumpokea Yesu walikuwa Wanatoa sadaka kwa masanamu, kisha ile nyama ilikuwa inapelekwa Masokoni kwa ajili ya kuwauzia watu, lakini baada ya kumpokea Yesu wakaachana na ibada za sanamu, na hata nyama zilizokuwa zinauzwa masokoni wakawa hawanunui, kwa kuhofu zitakuwa zimeolewa sadaka kwa sanamu na hivyo watajitia unajisi ,matokeo yake wakawa wanakula mbogamboga tu.
Na Baada ya Paul kupata habari hizo juu ya huo mgogoro na ndipo anaandika waraka huu kwa Warumi. Na anaanza kwa kusema:

#Warumi 14:1-2
Yeye aliye dhaifu wa imani, mkaribisheni, walakini msimhukumu mawazo yake.
Mtu mmoja anayo imani, anakula vyote; lakini yeye aliye dhaifu hula mboga.

Kwa hiyo Paul anawaambia mtu akiwa mdhaifu wa imani wamkaribishe, haijarishi anakula nyama au hali asihukumiwe kwa imani yake aliyonayo. Kwa sababu imani yake ameijenga kwa Mungu.
Ndipo sasa mgogoro ukainuka kanisani Wakristo wa kimataifa wakaanza kuwaona Wakristo wa Kiyahudi wamepotoka maana wanakula nyama zilizotolewa sadaka kwa sanamu, na Wayahudi nao wakawa wanawaona Wakristo wa kimataifa wamepotoka kwa kutokula nyama.

Lakini waumini wa Kiyahudi kwa sababu wao walikuwa hawajui historia ya zile nyama zinazouzwa masokoni, wao wakawa wananunua na kula, mbaya zaidi wakawa wanakula mbele za waumini wapya tena ndani ya mahekalu ya sanamu, na Paul anatoa onyo kwa kwa wale wanaokula nyama kwa kusema kwa dhamili zao:

# Warumi 14:22
Ile imani uliyo nayo uwe nayo nafsini mwako mbele za Mungu. Heri mtu yule asiyejihukumu nafsi yake katika neno lile analolikubali.

# 1 Wakorintho 8:10
Kwa maana, mtu akikuona wewe uliye na ujuzi, umeketi chakulani ndani ya hekalu la sanamu, je! Dhamiri yake mtu huyo, kwa kuwa yu dhaifu, haitathibitika hata yeye naye ale vitu vilivyotolewa sadaka kwa sanamu?

#1 Wakorintho 8:7-8
Bali ujuzi huu haumo ndani ya watu wote; ila wengine kwa kuizoelea ile sanamu hata sasa hula kana kwamba ni kitu kilichotolewa sadaka kwa sanamu; na dhamiri zao, kwa kuwa dhaifu, hunajisika.
Paul anawaonya wale waliokuwa wanajiona wapo imara katika imani kwamba si vizuri kufanya mambo hayo hadharani, itawafanya wale waumini wapya kudhoofika kiroho.

Hivyo ikawa waumini wakienda sokoni kununua nyama walikuwa wanaanza kuuliza kwa wauzaji je, hii nyama imetolewa sadaka kwa sanamu au la, Na ndio maana Paul anawaambia Kanisa la Korintho wakienda sokoni wasianze kuulizauliza kwamba nyama hii imetolewa sadaka kwa sanamu au la, bali anawaambia kwa sababu ya dhamili wanunue maana hawawezi ukapata majibu sahihi:
#1 Wakorintho 10:25
Kila kitu kiuzwacho sokoni kuleni, bila kuuliza-uliza, kwa ajili ya dhamiri;

Lakini kama mtu dhamiri yake haimruhusu basi asile maana atakuwa anatenda dhambi:
#Warumi 14:23
Lakini aliye na shaka, kama akila, amehukumiwa kuwa ana hatia, kwa maana hakula kwa imani. Na kila tendo lisilotoka katika imani ni dhambi.

Fikiria hata wewe mwenyewe hivi umeenda sokoni ukaanza kuuliza nyama hii ni kibudu? unamuuliza muuzaji Au nyama hii ni ya leo au ya jana? Unadhani atakupa majibu sahihi? Ni wachache sana watakao kwambia ukweli. Hata sisi wenyewe tunanunua nyama kwenye mabucha kwa sababu dhamiri zetu zinatutuma kwamba ni nyama sahihi, lakini kiuhalisia kuna nyama nyingi haramu zinauzwa katika mabucha na wengi tumezila, hata nyingine ni za matambiko. Isitoshe vipo vyakula vingi tunavyokula sasa na tuna vipenda, ambavyo laiti tungejua mazingira na jinsi vinavyo tegenezwa hatungependa kula vile vyakula.
Au ni mara ngapi umekula nyama ambayo hujui ni aina gani ya nyama au ni aina gani ya ndege?

Sasa hawa ndugu zetu wa Rumi na Korintho wakienda sokoni au wakialikwa mahali kwa mtu au katika sherehe, swali la kwanza walikuwa wanawauliza wahusika je, nyama hii imetolewa sadaka kwa sanamu? Wakiambiwa ndio basi hawali ile nyama..

Hivyo chanzo cha mgogoro ni juu ya ulaji wa nyama zilizo tolewa kafara kwa sanamu, ni makosa makubwa kutumia sura hii kuharalisha ulaji wa nguruwe, maana sio kiini cha mgogoro. Na haimaye Paul anatoa ushauri katika nyaraka zote mbili kwamba ni bora kuachana na ulaji wa nyama, ambao unasababisha migogoro ndani ya kanisa;

#Warumi 14:21
Ni vyema kutokula nyama wala kunywa divai wala kutenda neno lo lote ambalo kwa hilo ndugu yako hukwazwa.

#1 Wakorintho 8:13 Kwa hiyo, chakula kikimkwaza ndugu yangu, hakika sitakula nyama hata milele, nisije nikamkwaza ndugu yangu.



#HAKUNA KITU KILICHO NAJISI KWA ASLI YAKE

#Warumi 14:14-15
Najua, tena nimehakikishwa sana katika Bwana Yesu, ya kuwa hakuna kitu kilicho najisi kwa asili yake, lakini kwake yeye akionaye kitu kuwa najisi, kwake huyo kitu kile ni najisi.

#>>>>Watu wengi hupenda kutumia fungu hili kama kichaka cha kutetea ulaji wa nguruwe hasa katika kipengele kinachosema>>> #Najua, tena nimehakikishwa sana katika Bwana Yesu, ya kuwa hakuna kitu kilicho najisi kwa asili yake.
Kwa hiyo kama nilivyotangulia kusema hoja katika sura hii sio ulaji wa nguruwe, bali ni ulaji wa nyama zilizotolewa kafara kwa sanamu, na ulaji wa mbogamboga.

Lakini pia Paul anapoandika aya hii anaandika kulingana na tukio na mazingira, Anaposema #Hakuna kitu kilicho najisi kwa asili yake# Kauli hii anazungumza na Kanisa la Rumi kulingana na mgogoro uliokuwepo kwa sababu hakuna mnyama yeyote najisi ambaye huwa anatolewa sadaka kwa sanamu wala huwezi kusikia mganga wa kienyeji amedai mtu apeleke nguruwe, mbwa, paka, au bata kwa ajili ya kafara kwa miungu yake.

Wanyama ambao hutolewa sadaka iwe kwa sanamu au kwa waganga ni wale ambao ni safi: kama ng’ombe, mbuzi, kondoo nk.

Hivyo basi Paul anaposema #Hakuna kitu kilicho najisi kwa asili yake# alikuwa anamaanisha wale wanyama waliokuwa wanatolewa sadaka hapo Rumi yaani kama mbuzi, kondoo, ng’ombe nk.. kwa sababu ni wanyama safi, tangu asili yake, hivyo hawawezi wakawa najisi, labda kwa mtu binafsi.

Mfano; ukija kwangu mimi nikikwambia uwe huru kula nyama yoyote maana ni safi, kwa kauli hiyo sina maana ya nyama ya nguruwe, kobe, sungura nk. Sasa hii ni kauli ya kimazingira kulingana na imani yangu ina maana ya nyama ya mbuzi, kondoo, kuku, nk. Kwa hiyo huwezi ukatumia kauli hiyo kudai kwamba hamis77 anakula nguruwe au sungura. Au nime halalisha ulaji wa nguruwe hapana.

Hata hivyo Paulo anahitimisha hoja yake ya kutatua mgogoro kwa kuwahimiza Waumini wa Kiyahudi kwamba wajitahidi kuonesha upendo kwa waumini wa Kimataifa, na sio wao Wayahudi kujipendeza wenyewe:


#Warumi 15:1-2
Basi imetupasa sisi tulio na nguvu kuuchukua udhaifu wao wasio na nguvu, wala haitupasi kujipendeza wenyewe.
Kila mtu miongoni mwetu na ampendeze jirani yake, apate wema, akajengwe.

Ukweli ni kwamba Warumi sura ya 14,haina uhusiano wowote na suala la ibada ya siku ya saba au siku ya kwanza ya juma, na wala haitetei wala kupinga ulaji wa wanyama najisi.

.
Unaandika gazeti refuuuuuu,,,, hebu jaribu kulenga point...

Edit hizo post zako ziwe fupi, magazeti peleka jukwaa la simulizi, unachosha hata wafatiliaji, Toa hoja inalenga points, huku ni jamiiforums sio group la whatsapp.

Hata mimi ningeweka gazeti humu lakini nazingatia kigezo cha kusummarize points zangu ili hata wahudhuriaji wasome kwa wepesi....

Focuss kwenye target points tafadhali, magazetu yanaharibu uzi
 
Maelezo merefu mno
Jibu swali Kula nguruwe ni dhambi au sito dhambi? Kula nguruwe kunakutia unajisi au la?
Dhambi ya USHOGA Ni Sawa na DHAMBI ya kula Nguruwe ,panya,kenge ,na najisi nyingine

USHOGA NI NAJISI, NGURUWE NI NAJISI ,PANYA NI NAJISI, KENGE NI NAJISI, N.K

Nakupa Ushahidi wa kiamaandiko

Makosa ya kawaida Mungu anayaita Dhambi , ila Yale najisi anayaita MACHUKIZO ,

Ulaji Nguruwe unaitwa MACHUKIZO

Wakawi 11

7 Na nguruwe, kwa sababu yeye anazo kwato, ni mwenye miguu iliyopasuka kati, lakini hacheui, yeye ni najisi kwenu.

20 Tena vyote vitambaavyo vyenye mabawa viendavyo kwa miguu minne, hivi ni machukizo kwenu

KWA NABII ISAYA ANA GRUOP PIA ULAJI NAJISI KAMA MACHUKIZO

Isa 66:17 Watu wale wajitakasao, na kujisafisha katika bustani, nyuma ...

... wakila nyama ya nguruwe, na MACHUKIZO, na panya; watakoma pamoja, asema BWANA


USHOGA NI MACHUKIZO

Law 18:22

. Usilale na mwanamume mfano wa kulala na mwanamke; ni MACHUKIZO.


UMEONA KUNA DHAMBI NA MACHUKIZO

MUNGU anapozungumzia NAJISI ANAZIITA MACHUKIZO ,

USHOGA NA ULAJI NAJISI(NGURUWE,KENGE,N.K) NI SAWA

Kwa Mungu wote adhabu Ni moja
 
BIBLIA IPO WAZI SANA UKIISOMA KWA MAOMBI,

ILA MOST YA MAKANISA YANAPOTEA NA KUPOTEZA WAUMINI, HASA KWA KUTOELEWA MAANDIKO YA PAULO

NA KUPITIA MAANDIKO YA PAULO (AKILI NYINGI) NDIO WENGI WAMEANZISHA MAKANISA NA MADHEHEBU MAANA WANASHINDWA KUTAFSIRI MAANA SAHIHI

KUPITIA maandiko ya Paulo utakutana na mafundisho Kama kunena kwa Lugha kwa kufokafoka ,kula nguruwe wakidai Paulo karuhusu ,n.k

Asilimia 90 ya MAKANISA na MADHEHEBU yanayoibuka Ni kupotosha maandiko ya vitabu vya Paulo


Petro mwanafunzi wa Yesu aliposoma maandiko ya Paulo alichanganyikiwa ,itakuwa Mwamposa ,au Gwajima wenye Njaa ?


JUZI nilikuwa safarini , njiani nilimsikia muislamu akiponda Sana Agano jipya akidai limeruhusu kula nguruwe , wakati agano la Kale limekataza, nikajisemea Moyoni , NI KUTOKUELEWA TU.......

Mtume Petro alitoa angalizo juu ya usomaji wa nyaraka za Paulo na akatoa onyo lifuatalo:


#2 Petro 3:15-17
Nanyi uhesabuni uvumilivu wa Bwana wetu kuwa ni wokovu, kama vile na ndugu yetu mpenzi Paulo alivyowaandikia kwa hekima aliyopewa;
vile vile kama katika nyaraka zake zote pia, akitoa humo habari za mambo hayo; katika nyaraka hizo yamo mambo ambayo ni vigumu kuelewa nayo; na mambo hayo watu wasio na elimu, wasio imara, huyapotoa, kama vile wayapotoavyo na maandiko mengine, kwa uvunjifu wao wenyewe.



Sio Petro tu ndio anadai kwamba nyaraka za Paul ni ngumu, bali hata watu wengine pia wanasema nyaraka za Paul ni ngumu, Na Paul yeye mwenyewe anashuhudia kwamba watu wanasema nyaraka zake ni nzito/ ngumu:


2 Wakorintho 10:9-10
nisije nikaonekana kana kwamba nataka kuwaogofya kwa nyaraka zangu.
Maana wasema, Nyaraka zake ni nzito, hodari; bali akiwapo mwenyewe mwilini ni dhaifu, na maneno yake si kitu.


.
Hivyo inabidi umakini mkubwa sana unapokutana na aya tata katika Nyaraka za Paul, pia ieleweke kwamba Nyaraka zote za Paul alikuwa anashugulika na kutatua migogo ya kiimani iliyokuwa inatokea ndani ya Kanisa baina ya washiriki, na pia alikuwa anashugulika na walimu wa uwongo waliokuwa wakiingiza mafundisho potofu ndani ya kanisa. Ikumbukwe kwamba makanisa yote ambayo Paul anayaandikia nyaraka ni makanisa ya watu waliokuwa na mchanganyiko baina ya Wayahudi na watu wa Mataifa, mengine yalikuwa ni machanga katika imani.

#Sasa kabla ya yote inabidi tuzingatie mambo yafuatayo ili tuweze kuelewa nyaraka za Paulo na vitabu vingine:
1. Waraka huo aliwaandikia watu gani?
2. Kulikuwa na changamoto gani ?
3. Alishughulika vipi na hiyo changamoto.

Kwa hiyo kwa utangulizi huo, naomba tuchungze baadhi ya hoja zinazo patikana katika Warumi 14. Miongoni mwa hoja ambazo hujengwa na baadhi ya wakristo katika kitabu hiki ni
1. Siku zote ni sawa, hivyo unaweza kuabudu siku yoyote ile.
2. Ikiwa mwenzako anakula nguruwe wewe kumnyoshea kidole.
3. Hakuna kitu kilicho najisi kwa asili yake.

Kanisa la Rumi lilikuwa na mchanganyiko wa Wayahudi na Watu wa mataifa, Rumi ilifikiwa na injili na mitume baada ya Yesu kupaa mbinguni, watu wengi wa mataifa waliokuwa wakisali katika kanisa la Rumi na Korintho, mwanzo walikuwa ni wapagani, wakijihusisha na ibada za sanamu, na hivyo baada ya kuipokea injili waliachana na upagani. Hata hivyo changamoto zilizokuwa zinalikabili Kanisa la Rumi, ndizo changamoto zilizokuwa zinalikabili Kanisa la Korintho.

#CHANZO CHA MIGOGORO JUU YA CHAKULA:

Kwa sababu kanisa lilikuwa linajumuisha Wayahudi na Wamataifa, hivyo mgogoro ulikuwa kati ya waumini wa Kiyahudi na waumini wa kimataifa.
Sasa hawa waumini wasio wayahudi zamani kabla ya kumpokea Yesu walikuwa Wanatoa sadaka kwa masanamu, kisha ile nyama ilikuwa inapelekwa Masokoni kwa ajili ya kuwauzia watu, lakini baada ya kumpokea Yesu wakaachana na ibada za sanamu, na hata nyama zilizokuwa zinauzwa masokoni wakawa hawanunui, kwa kuhofu zitakuwa zimeolewa sadaka kwa sanamu na hivyo watajitia unajisi ,matokeo yake wakawa wanakula mbogamboga tu.
Na Baada ya Paul kupata habari hizo juu ya huo mgogoro na ndipo anaandika waraka huu kwa Warumi. Na anaanza kwa kusema:

#Warumi 14:1-2
Yeye aliye dhaifu wa imani, mkaribisheni, walakini msimhukumu mawazo yake.
Mtu mmoja anayo imani, anakula vyote; lakini yeye aliye dhaifu hula mboga.

Kwa hiyo Paul anawaambia mtu akiwa mdhaifu wa imani wamkaribishe, haijarishi anakula nyama au hali asihukumiwe kwa imani yake aliyonayo. Kwa sababu imani yake ameijenga kwa Mungu.
Ndipo sasa mgogoro ukainuka kanisani Wakristo wa kimataifa wakaanza kuwaona Wakristo wa Kiyahudi wamepotoka maana wanakula nyama zilizotolewa sadaka kwa sanamu, na Wayahudi nao wakawa wanawaona Wakristo wa kimataifa wamepotoka kwa kutokula nyama.

Lakini waumini wa Kiyahudi kwa sababu wao walikuwa hawajui historia ya zile nyama zinazouzwa masokoni, wao wakawa wananunua na kula, mbaya zaidi wakawa wanakula mbele za waumini wapya tena ndani ya mahekalu ya sanamu, na Paul anatoa onyo kwa kwa wale wanaokula nyama kwa kusema kwa dhamili zao:

# Warumi 14:22
Ile imani uliyo nayo uwe nayo nafsini mwako mbele za Mungu. Heri mtu yule asiyejihukumu nafsi yake katika neno lile analolikubali.

# 1 Wakorintho 8:10
Kwa maana, mtu akikuona wewe uliye na ujuzi, umeketi chakulani ndani ya hekalu la sanamu, je! Dhamiri yake mtu huyo, kwa kuwa yu dhaifu, haitathibitika hata yeye naye ale vitu vilivyotolewa sadaka kwa sanamu?

#1 Wakorintho 8:7-8
Bali ujuzi huu haumo ndani ya watu wote; ila wengine kwa kuizoelea ile sanamu hata sasa hula kana kwamba ni kitu kilichotolewa sadaka kwa sanamu; na dhamiri zao, kwa kuwa dhaifu, hunajisika.
Paul anawaonya wale waliokuwa wanajiona wapo imara katika imani kwamba si vizuri kufanya mambo hayo hadharani, itawafanya wale waumini wapya kudhoofika kiroho.

Hivyo ikawa waumini wakienda sokoni kununua nyama walikuwa wanaanza kuuliza kwa wauzaji je, hii nyama imetolewa sadaka kwa sanamu au la, Na ndio maana Paul anawaambia Kanisa la Korintho wakienda sokoni wasianze kuulizauliza kwamba nyama hii imetolewa sadaka kwa sanamu au la, bali anawaambia kwa sababu ya dhamili wanunue maana hawawezi ukapata majibu sahihi:
#1 Wakorintho 10:25
Kila kitu kiuzwacho sokoni kuleni, bila kuuliza-uliza, kwa ajili ya dhamiri;

Lakini kama mtu dhamiri yake haimruhusu basi asile maana atakuwa anatenda dhambi:
#Warumi 14:23
Lakini aliye na shaka, kama akila, amehukumiwa kuwa ana hatia, kwa maana hakula kwa imani. Na kila tendo lisilotoka katika imani ni dhambi.

Fikiria hata wewe mwenyewe hivi umeenda sokoni ukaanza kuuliza nyama hii ni kibudu? unamuuliza muuzaji Au nyama hii ni ya leo au ya jana? Unadhani atakupa majibu sahihi? Ni wachache sana watakao kwambia ukweli. Hata sisi wenyewe tunanunua nyama kwenye mabucha kwa sababu dhamiri zetu zinatutuma kwamba ni nyama sahihi, lakini kiuhalisia kuna nyama nyingi haramu zinauzwa katika mabucha na wengi tumezila, hata nyingine ni za matambiko. Isitoshe vipo vyakula vingi tunavyokula sasa na tuna vipenda, ambavyo laiti tungejua mazingira na jinsi vinavyo tegenezwa hatungependa kula vile vyakula.
Au ni mara ngapi umekula nyama ambayo hujui ni aina gani ya nyama au ni aina gani ya ndege?

Sasa hawa ndugu zetu wa Rumi na Korintho wakienda sokoni au wakialikwa mahali kwa mtu au katika sherehe, swali la kwanza walikuwa wanawauliza wahusika je, nyama hii imetolewa sadaka kwa sanamu? Wakiambiwa ndio basi hawali ile nyama..

Hivyo chanzo cha mgogoro ni juu ya ulaji wa nyama zilizo tolewa kafara kwa sanamu, ni makosa makubwa kutumia sura hii kuharalisha ulaji wa nguruwe, maana sio kiini cha mgogoro. Na haimaye Paul anatoa ushauri katika nyaraka zote mbili kwamba ni bora kuachana na ulaji wa nyama, ambao unasababisha migogoro ndani ya kanisa;

#Warumi 14:21
Ni vyema kutokula nyama wala kunywa divai wala kutenda neno lo lote ambalo kwa hilo ndugu yako hukwazwa.

#1 Wakorintho 8:13 Kwa hiyo, chakula kikimkwaza ndugu yangu, hakika sitakula nyama hata milele, nisije nikamkwaza ndugu yangu.



#HAKUNA KITU KILICHO NAJISI KWA ASLI YAKE

#Warumi 14:14-15
Najua, tena nimehakikishwa sana katika Bwana Yesu, ya kuwa hakuna kitu kilicho najisi kwa asili yake, lakini kwake yeye akionaye kitu kuwa najisi, kwake huyo kitu kile ni najisi.

#>>>>Watu wengi hupenda kutumia fungu hili kama kichaka cha kutetea ulaji wa nguruwe hasa katika kipengele kinachosema>>> #Najua, tena nimehakikishwa sana katika Bwana Yesu, ya kuwa hakuna kitu kilicho najisi kwa asili yake.
Kwa hiyo kama nilivyotangulia kusema hoja katika sura hii sio ulaji wa nguruwe, bali ni ulaji wa nyama zilizotolewa kafara kwa sanamu, na ulaji wa mbogamboga.

Lakini pia Paul anapoandika aya hii anaandika kulingana na tukio na mazingira, Anaposema #Hakuna kitu kilicho najisi kwa asili yake# Kauli hii anazungumza na Kanisa la Rumi kulingana na mgogoro uliokuwepo kwa sababu hakuna mnyama yeyote najisi ambaye huwa anatolewa sadaka kwa sanamu wala huwezi kusikia mganga wa kienyeji amedai mtu apeleke nguruwe, mbwa, paka, au bata kwa ajili ya kafara kwa miungu yake.

Wanyama ambao hutolewa sadaka iwe kwa sanamu au kwa waganga ni wale ambao ni safi: kama ng’ombe, mbuzi, kondoo nk.

Hivyo basi Paul anaposema #Hakuna kitu kilicho najisi kwa asili yake# alikuwa anamaanisha wale wanyama waliokuwa wanatolewa sadaka hapo Rumi yaani kama mbuzi, kondoo, ng’ombe nk.. kwa sababu ni wanyama safi, tangu asili yake, hivyo hawawezi wakawa najisi, labda kwa mtu binafsi.

Mfano; ukija kwangu mimi nikikwambia uwe huru kula nyama yoyote maana ni safi, kwa kauli hiyo sina maana ya nyama ya nguruwe, kobe, sungura nk. Sasa hii ni kauli ya kimazingira kulingana na imani yangu ina maana ya nyama ya mbuzi, kondoo, kuku, nk. Kwa hiyo huwezi ukatumia kauli hiyo kudai kwamba hamis77 anakula nguruwe au sungura. Au nime halalisha ulaji wa nguruwe hapana.

Hata hivyo Paulo anahitimisha hoja yake ya kutatua mgogoro kwa kuwahimiza Waumini wa Kiyahudi kwamba wajitahidi kuonesha upendo kwa waumini wa Kimataifa, na sio wao Wayahudi kujipendeza wenyewe:


#Warumi 15:1-2
Basi imetupasa sisi tulio na nguvu kuuchukua udhaifu wao wasio na nguvu, wala haitupasi kujipendeza wenyewe.
Kila mtu miongoni mwetu na ampendeze jirani yake, apate wema, akajengwe.

Ukweli ni kwamba Warumi sura ya 14,haina uhusiano wowote na suala la ibada ya siku ya saba au siku ya kwanza ya juma, na wala haitetei wala kupinga ulaji wa wanyama najisi.

.
Bado unazungukazunguka tu bila kujibu swali langu.
 
Biblia feki hii

Haya maneno kwenye biblia za mwanzo yamo kwenye mabano kuonyesha ni mawazo binafsi ya waliotafsiri.... Naona kwa sasa wameunganisha kabisa ionekane yalikuwa ni maandiko orijino kabisa
Leta Biblia yako halali ,hakuna Maneno yalioongezwa hapo Kuwa watu wale Nguruwe ,Ni wewe Ndiye umeongeza
 
Unaandika gazeti refuuuuuu,,,, hebu jaribu kulenga point...

Edit hizo post zako ziwe fupi, magazeti peleka jukwaa la simulizi.

Toa hoja inalenga points,

Hata mimi ningeweka gazeti humu lakini nazingatia kigezo cha kusummarize points zangu ili hata wahudhuriaji wasome kwa wepesi....

Focuss kwenye target points
Nimekupa ufafanuzi unasema ndefu ,

Mnapenda maneno mafupi mafupi ndio maana mnauziwa mafuta na maji ,sababu wanawanukulia kamstari kamoja
 
  • Thanks
Reactions: Cyb
Biblia feki hii

Haya maneno kwenye biblia za mwanzo yamo kwenye mabano kuonyesha ni mawazo binafsi ya waliotafsiri.... Naona kwa sasa wameunganisha kabisa ionekane yalikuwa ni maandiko orijino kabisa
Hakuna Leta hapa hiyo Biblia ,Mimi na version Zote, hayo maneno yapo hivo hivo kwa Lugha ya asili ,

Ni tafsiri zenu tu zinawapiga chenga mnajikuta mnakula kila UCHAFU
 
Ngoja kwanza msinikate sitimu hii battle haiishi leo huu uzi utaenda mbali sana huu, subiri ujionee hii battle ya wavaa kobaz, wa sabato, wa Lutheran, wa Protestants na wa Catholic

Huu uzi hauna mwisho
 
Ngoja kwanza msinikate sitimu hii battle haiishi leo huu uzi utaenda mbali sana huu, subiri ujionee hii battle ya wavaa kobaz, wa sabato, wa Lutheran, wa Protestants na wa Catholic

Huu uzi hauna mwisho
MWISHO NI HAPA ,SIKU YA KIAMA ,M/MUNGU KAAHIDI MOTO MKALI KWA WALA NGURUWE NA MACHUKIZO MENGINE

Dhambi ya USHOGA Ni Sawa na DHAMBI ya kula Nguruwe ,panya,kenge ,na najisi nyingine

USHOGA NI NAJISI, NGURUWE NI NAJISI ,PANYA NI NAJISI, KENGE NI NAJISI, N.K

Nakupa Ushahidi wa kiamaandiko

Makosa ya kawaida Mungu anayaita Dhambi , ila Yale najisi anayaita MACHUKIZO ,

Ulaji Nguruwe unaitwa MACHUKIZO

Wakawi 11

7 Na nguruwe, kwa sababu yeye anazo kwato, ni mwenye miguu iliyopasuka kati, lakini hacheui, yeye ni najisi kwenu.

20 Tena vyote vitambaavyo vyenye mabawa viendavyo kwa miguu minne, hivi ni machukizo kwenu

KWA NABII ISAYA ANA GRUOP PIA ULAJI NAJISI KAMA MACHUKIZO

Isa 66:17 Watu wale wajitakasao, na kujisafisha katika bustani, nyuma ...

... wakila nyama ya nguruwe, na MACHUKIZO, na panya; watakoma pamoja, asema BWANA

USHOGA NI MACHUKIZO

Law 18:22

. Usilale na mwanamume mfano wa kulala na mwanamke; ni MACHUKIZO.

UMEONA KUNA DHAMBI NA MACHUKIZO

MUNGU anapozungumzia NAJISI ANAZIITA MACHUKIZO ,

USHOGA NA ULAJI NAJISI(NGURUWE,KENGE,N.K) NI SAWA

Kwa Mungu wote adhabu Ni moja
 
Ngoja kwanza msinikate sitimu hii battle haiishi leo huu uzi utaenda mbali sana huu, subiri ujionee hii battle ya wavaa kobaz, wa sabato, wa Lutheran, wa Protestants na wa Catholic

Huu uzi hauna mwisho
Huyo jamaa anaeweka magazeti marefu ashaharibu uzi, anadhani yupo kwenye magroup yake ya whatsapp.

Huku jamiiforums inapendeza unavyotoa hoja iwe direct, mambo ya magazeti huku ni tofauti
 
UISLAMU PIA UMERUHUSU ULAJI NGURUWE KIJANJA ,


ALLAH AMETOA RUHUSA YA KULA NYAMA YA NGURUWE KWA WAISLAMU-NGURUWE SASA NI HALAL

QURAN AL- BAQARA (2:173)
173.Yeye amekuharimishieni mzoga tu na damu na nyama ya Nguruwe na kilicho tajiwa, katika kuchinjwa kwake, jina la asiye kuwa Mwenyezi Mungu. Lakini aliye fikiwa na dharura bila ya kutamani wala kupita kiasi, yeye hana dhambi kula Mizoga na Damu na nyama ya Nguruwe. Hakika Mwenyezi Mungu ni Mwenye kusamehe, Mwenye kurehemu.

KUMBE MUHAMMAD ALIKULA NYAMA YA NGURUWE BAADA YA KUPEWA RUHUSA NA ALLAH KWENYE SURAT AL BAQARA 173

Hadith imesimuliwa na Al Tabar na kupokewa na Ibn Ali Bakouri. Nabii wa Allah na Maswahiba wake walikuwa wamechoka na safari ndefu. Wakafika Nyumbani kwa Fatimah rafiki wa Swahiba wake. Nabii wa Allah akauliza je unachakula chochote? Fatimah akajibu ndio. Nabii wa Allah akauliza tena una mawindo yeyote. Fatimah ajibu nina myama ya Nguruwe pori. Basi Nabii wa Allah na Maswahiba wake walikula Ngama ya Nguruwe pori mpaka wakashiba. Al Kitaab Uk wa 136 Hadith ya 41 Toleo la Tatu.



HABARI NJEMA KWA WAISLAM:
Sasa ulaji wa Nguruwe ni Halal.

HUWEZI KUSEMA KUZINI AU KUIBA NI DHAMBI ILA UKIZIDIWA FANYA ,HAPO HUJAKATAZA KITU
 
Huyo jamaa anaeweka magazeti marefu ashaharibu uzi, anadhani yupo kwenye magroup yake ya whatsapp.

Huku jamiiforums inapendeza unavyoyoa hoja iwe fupi iliyoshiba points,
Unataka vimistari vifupi ,wakati BIBLIA ina contect ya kutosha

Nimekwambia Leta Hiyo Biblia ambayo haina huo mstari ,

Hicho Ni KISA CHA YESU na wanafunzi wake ,

KUTOKUELEWA KWENU NDIO MNAPOTOSHWA ,
 
Back
Top Bottom