Wakristo wasio Wasabato wanaruhusiwa kula paka, panya, kobe, kinyonga, kenge, kunguru, nyani, n.k?

Wakristo wasio Wasabato wanaruhusiwa kula paka, panya, kobe, kinyonga, kenge, kunguru, nyani, n.k?

Hakuna kitu kama icho kwa conditions zile haiwezi kutokea ...Palipo na waislamu nguruwe no. Prove me wrong
UISLAMU PIA UMERUHUSU ULAJI NGURUWE KIJANJA ,

ALLAH AMETOA RUHUSA YA KULA NYAMA YA NGURUWE KWA WAISLAMU-NGURUWE SASA NI HALAL

QURAN AL- BAQARA (2:173)
173.Yeye amekuharimishieni mzoga tu na damu na nyama ya Nguruwe na kilicho tajiwa, katika kuchinjwa kwake, jina la asiye kuwa Mwenyezi Mungu. Lakini aliye fikiwa na dharura bila ya kutamani wala kupita kiasi, yeye hana dhambi kula Mizoga na Damu na nyama ya Nguruwe. Hakika Mwenyezi Mungu ni Mwenye kusamehe, Mwenye kurehemu.

KUMBE MUHAMMAD ALIKULA NYAMA YA NGURUWE BAADA YA KUPEWA RUHUSA NA ALLAH KWENYE SURAT AL BAQARA 173

Hadith imesimuliwa na Al Tabar na kupokewa na Ibn Ali Bakouri. Nabii wa Allah na Maswahiba wake walikuwa wamechoka na safari ndefu. Wakafika Nyumbani kwa Fatimah rafiki wa Swahiba wake. Nabii wa Allah akauliza je unachakula chochote? Fatimah akajibu ndio. Nabii wa Allah akauliza tena una mawindo yeyote. Fatimah ajibu nina myama ya Nguruwe pori. Basi Nabii wa Allah na Maswahiba wake walikula Ngama ya Nguruwe pori mpaka wakashiba. Al Kitaab Uk wa 136 Hadith ya 41 Toleo la Tatu.

HABARI NJEMA KWA WAISLAM:
Sasa ulaji wa Nguruwe ni Halal.

HUWEZI KUSEMA KUZINI AU KUIBA NI DHAMBI ILA UKIZIDIWA FANYA ,HAPO HUJAKATAZA KITU
 
Huoni hata kilichaondikwa wapi ? Tumeruhusiwa ...Tumia tu akili uliona wapi maeneo yanayokaa waislamu wale watu wa dini wakala achana na wahuni wenye majina ya kiislamu ila sio waislamu ...

Waislamu wote tunajua nguruwe ni harama hata usemeje😂😂
UISLAMU PIA UMERUHUSU ULAJI NGURUWE KIJANJA ,

ALLAH AMETOA RUHUSA YA KULA NYAMA YA NGURUWE KWA WAISLAMU-NGURUWE SASA NI HALAL

QURAN AL- BAQARA (2:173)
173.Yeye amekuharimishieni mzoga tu na damu na nyama ya Nguruwe na kilicho tajiwa, katika kuchinjwa kwake, jina la asiye kuwa Mwenyezi Mungu. Lakini aliye fikiwa na dharura bila ya kutamani wala kupita kiasi, yeye hana dhambi kula Mizoga na Damu na nyama ya Nguruwe. Hakika Mwenyezi Mungu ni Mwenye kusamehe, Mwenye kurehemu.

KUMBE MUHAMMAD ALIKULA NYAMA YA NGURUWE BAADA YA KUPEWA RUHUSA NA ALLAH KWENYE SURAT AL BAQARA 173

Hadith imesimuliwa na Al Tabar na kupokewa na Ibn Ali Bakouri. Nabii wa Allah na Maswahiba wake walikuwa wamechoka na safari ndefu. Wakafika Nyumbani kwa Fatimah rafiki wa Swahiba wake. Nabii wa Allah akauliza je unachakula chochote? Fatimah akajibu ndio. Nabii wa Allah akauliza tena una mawindo yeyote. Fatimah ajibu nina myama ya Nguruwe pori. Basi Nabii wa Allah na Maswahiba wake walikula Ngama ya Nguruwe pori mpaka wakashiba. Al Kitaab Uk wa 136 Hadith ya 41 Toleo la Tatu.

HABARI NJEMA KWA WAISLAM:
Sasa ulaji wa Nguruwe ni Halal.

HUWEZI KUSEMA KUZINI AU KUIBA NI DHAMBI ILA UKIZIDIWA FANYA ,HAPO HUJAKATAZA KITU
 
Huoni hata kilichaondikwa wapi ? Tumeruhusiwa ...Tumia tu akili uliona wapi maeneo yanayokaa waislamu wale watu wa dini wakala achana na wahuni wenye majina ya kiislamu ila sio waislamu ...

Waislamu wote tunajua nguruwe ni harama hata usemeje[emoji23][emoji23]
YAANI Dhambi inawekewa Dharula?[emoji1787][emoji1787]

Yaani ukizidiwa na Genye UZINI

Ukizidiwa njaa KULA NGURUWE

ukizidiwa kutaman kitu ,IBA

NDIO MAANA TUNASEMA ALLAH NI JANJA JANJA

ETI UKOPATA DHARURA ,TAFUNA NGURUWE

Lakini aliye fikiwa na dharura bila ya kutamani wala kupita kiasi, yeye hana dhambi kula Mizoga na Damu na nyama ya Nguruwe. Hakika Mwenyezi Mungu ni Mwenye kusamehe, Mwenye kurehemu.
 
YAANI Dhambi inawekewa Dharula?[emoji1787][emoji1787]

Yaani ukizidiwa na Genye UZINI

Ukizidiwa njaa KULA NGURUWE

ukizidiwa kutaman kitu ,IBA

NDIO MAANA TUNASEMA ALLAH NI JANJA JANJA

ETI UKOPATA DHARURA ,TAFUNA NGURUWE
Aya ya uzinzi ile kule mbele ni mkosa leta iyo aya..

Dharura ipi ? Angalia conditions ni jambo hakiwezi kutokea kwani we unaishi jangwani na haka ukiwa katikati ya jangwa huyo nguruwe utamtoa wapi... waislamu tunajua nguruwe ni haramu hata usemeje labda iwe ni tamaduni zenu kama watu fulani kitimoto ni nyama kama ya kabila lao kweny sherehe zao ...

Kwa hali ya sasa hata umchukue mtoto wa miaka 5 wa kiislamu kama kasoma anajua nguruwe ni haramu..kwisha!!
 
Kwa kuwa sisi ni wakristo ni kwamba sisi tunafata nyayo za Yesu Kristo, Ni vipi kitu ambacho hakusema Yesu Kristo kinawekewa mabano ya kuweka uchambuzi wa maono ya waliotafsiri biblia ? mbaya zaidi kuna biblia hata hayo mabano hayamo, uchambuzi umeunganishwa kuonekana ni maandiko matakatifu yaliyokuwemo kwenye biblia.

Kimuingiacho mtu hakimtii unajisi ni jibu alilotoa Yesu baada ya kuulizwa kwanini wanafunzi wake waliokuwa na njaa walikula mahindi wakiwa njiani bila kuosha mikono, kwa sheria walizojiwekea viongozi wa mda huo waliona kwamba kula bila kuosha mikono kunamtia mtu unajisi, Yesu ndipo akawasahisha kwamba sheria zao hazipo sawa na kwamba kula bila kuosha mikono hakumtii mtu unajisi... sasa Je hapa kulikuwa na haja ipi ya watafsiri kuongeza maneno yao kwamba maana yake ilikuwa ni karuhusu kula vyakula ambavyo havikutakaswa kama mijusi, kenge na nguruwe wakati kilichokuwa kinazungumziwa ni kula bila kuosha mikono ??

Wasabato walipuuzia hayo mabano maana hayakuwa maneno ya Yesu na kazi ya watafsiri sio uchambuzi, wakristo wengine wakadhani ni Yesu kawapa kibali wakaona ni ruksa ya kula chochote.

Sasa najiuliza kwamba mbwa, konokono, vinyonga, kunguru, paka, chunusi, kobe, n.k wanaweza kuliwa ?

Mfano kuna samaki na wanyama wana sumu ama huleta madhara wakiliwa na wakawekwa kwenye kundi la vyakula visivyofaa, Mungu alikosea kusema hawatakiwi kuliwa ?

Halafu pia nashangaa Biblia za sikuhizi za kiswahili zimeunganisha hayo maneno bila kuweka mabano, ni wazi kabisa wakristo wengi wanaamini haya maneno yalikuwemo bila kujua kuna uhuni umefanyika kuyaunganisha, maskini mweee!! Mtu anabisha mpaka mishipa inamtoka shingoni kwasababu ya mistari iliyopachikwa ambayo haikuwahi kuwepo, ni ujanja ujanja tu ukafanyika kupachika
Swali uri, ila naona kama upe wako ni ukristo wa Tanzania tu, China chura ni kitoweo safi sana na kenge na mbwa. Pana mawazo Mkuu. Nadhani jibu langu lifunge mjadala kabisa upeo wako finyu.
 
Aya ya uzinzi ile kule mbele ni mkosa leta iyo aya..

Dharura ipi ? Angalia conditions ni jambo hakiwezi kutokea kwani we unaishi jangwani na haka ukiwa katikati ya jangwa huyo nguruwe utamtoa wapi... waislamu tunajua nguruwe ni haramu hata usemeje labda iwe ni tamaduni zenu kama watu fulani kitimoto ni nyama kama ya kabila lao kweny sherehe zao ...

Kwa hali ya sasa hata umchukue mtoto wa miaka 5 wa kiislamu kama kasoma anajua nguruwe ni haramu..kwisha!!
ULAJI NGURUWE NI SAWA NA DHAMBI KAMA ZA UZINZI, KUIBA ,USHOGA ,N.K

DHAMBI NI DHAMBI ,ADHABU NI MOTONI

SASA UNAAMBIWA ETI UKIPATWA DHARURA KULA NGURUWE[emoji1787][emoji1787]

Lakini aliye fikiwa na dharura bila ya kutamani wala kupita kiasi, yeye hana dhambi kula Mizoga na Damu na nyama ya Nguruwe. Hakika Mwenyezi Mungu ni Mwenye kusamehe, Mwenye kurehemu.

KUNA TOFAUTI GANI NA UKIPATWA GENYE ,SI UZINI TU UWE SAWA NA MLA NGURUWE
 
Aya ya uzinzi ile kule mbele ni mkosa leta iyo aya..

Dharura ipi ? Angalia conditions ni jambo hakiwezi kutokea kwani we unaishi jangwani na haka ukiwa katikati ya jangwa huyo nguruwe utamtoa wapi... waislamu tunajua nguruwe ni haramu hata usemeje labda iwe ni tamaduni zenu kama watu fulani kitimoto ni nyama kama ya kabila lao kweny sherehe zao ...

Kwa hali ya sasa hata umchukue mtoto wa miaka 5 wa kiislamu kama kasoma anajua nguruwe ni haramu..kwisha!!
Allah karuhusu Ukibanwa njaa na hakuna chakula ,Kula Nguruwe

Lakini aliye fikiwa na dharura bila ya kutamani wala kupita kiasi, yeye hana dhambi kula Mizoga na Damu na nyama ya Nguruwe. Hakika Mwenyezi Mungu ni Mwenye kusamehe, Mwenye kurehemu.

MZINZI,MWIZI ,SHOGA ,N.K NAO WAKIPATA DHARURA WATAFANYA

DHAMBI NI DHAMBI
 
Kwanini waislam mnapenda kujisingizia ukristo? Imekua fasheni humu mtu muislam ila anajiita mkristo ili apenyeze ajenda zake. Sijui ndo kupigania bikra 72 kule paradiso ama
 
Allah karuhusu Ukibanwa njaa na hakuna chakula ,Kula Nguruwe

Lakini aliye fikiwa na dharura bila ya kutamani wala kupita kiasi, yeye hana dhambi kula Mizoga na Damu na nyama ya Nguruwe. Hakika Mwenyezi Mungu ni Mwenye kusamehe, Mwenye kurehemu.

MZINZI,MWIZI ,SHOGA ,N.K NAO WAKIPATA DHARURA WATAFANYA

DHAMBI NI DHAMBI
Uliona wapi 😂😂😂hakuna kitu kama hicho na hkutakuja tokea.
 
UISLAMU PIA UMERUHUSU ULAJI NGURUWE KIJANJA ,


ALLAH AMETOA RUHUSA YA KULA NYAMA YA NGURUWE KWA WAISLAMU-NGURUWE SASA NI HALAL

QURAN AL- BAQARA (2:173)
173.Yeye amekuharimishieni mzoga tu na damu na nyama ya Nguruwe na kilicho tajiwa, katika kuchinjwa kwake, jina la asiye kuwa Mwenyezi Mungu. Lakini aliye fikiwa na dharura bila ya kutamani wala kupita kiasi, yeye hana dhambi kula Mizoga na Damu na nyama ya Nguruwe. Hakika Mwenyezi Mungu ni Mwenye kusamehe, Mwenye kurehemu.

KUMBE MUHAMMAD ALIKULA NYAMA YA NGURUWE BAADA YA KUPEWA RUHUSA NA ALLAH KWENYE SURAT AL BAQARA 173

Hadith imesimuliwa na Al Tabar na kupokewa na Ibn Ali Bakouri. Nabii wa Allah na Maswahiba wake walikuwa wamechoka na safari ndefu. Wakafika Nyumbani kwa Fatimah rafiki wa Swahiba wake. Nabii wa Allah akauliza je unachakula chochote? Fatimah akajibu ndio. Nabii wa Allah akauliza tena una mawindo yeyote. Fatimah ajibu nina myama ya Nguruwe pori. Basi Nabii wa Allah na Maswahiba wake walikula Ngama ya Nguruwe pori mpaka wakashiba. Al Kitaab Uk wa 136 Hadith ya 41 Toleo la Tatu.



HABARI NJEMA KWA WAISLAM:
Sasa ulaji wa Nguruwe ni Halal.

HUWEZI KUSEMA KUZINI AU KUIBA NI DHAMBI ILA UKIZIDIWA FANYA ,HAPO HUJAKATAZA KITU
Usha sema nihadisi kwahio Haina ukweli wowote umejitungia. nahio aya ulio iweka mbona inaeleweka vizuritu kwamba ukiwana dharura ili usife chakula halali hakuna kipo chakula haramutu unanusuru maisha yako. Kama unakumbuka kuna watu walifunikwa namgodi wakakosa huduma yamaji na chakula wakawa wanakula wadudu nakunywa mikojo yao hadi walipo okolewa. mkojo na wadudu ninajisi lakini hawakua najinsi yakufanya. kwahio uislamu hauja bahatisha kusema hivyo baliwee ndio kichwamaji kuelewa kitu kwako nitatizo.
 
ULAJI NGURUWE NI SAWA NA DHAMBI KAMA ZA UZINZI, KUIBA ,USHOGA ,N.K

DHAMBI NI DHAMBI ,ADHABU NI MOTONI

SASA UNAAMBIWA ETI UKIPATWA DHARURA KULA NGURUWE[emoji1787][emoji1787]

Lakini aliye fikiwa na dharura bila ya kutamani wala kupita kiasi, yeye hana dhambi kula Mizoga na Damu na nyama ya Nguruwe. Hakika Mwenyezi Mungu ni Mwenye kusamehe, Mwenye kurehemu.

KUNA TOFAUTI GANI NA UKIPATWA GENYE ,SI UZINI TU UWE SAWA NA MLA NGURUWE
Namaanisha nguruwe ni haramu daima na hakina condition ya sasa itamfanya muislamu kula nguruwe unless wale wanaofuata Mila zao kama wachaga wanakula nguruwe ila uislamu umekata ..vyuo vyote vya madrsa wanajua kula nguruwe ni haramu na hata nchi za kiislamu huwezi kukuta huyo mnyama akiingia kama mfugo.
 
Ukitoa wasabato...Dini zingone zote zinaruhusu kula hayo mapaka, mbwa, kobe, kintonga nk.
 
Kwanini waislam mnapenda kujisingizia ukristo? Imekua fasheni humu mtu muislam ila anajiita mkristo ili apenyeze ajenda zake. Sijui ndo kupigania bikra 72 kule paradiso ama
paradiso ndionini? tulieni dawa ipenye nyie wenye dini yenu inayo halalisha zambi
 
Hakuna unajisi kwenye Kula chamsingi Kula shiba Kua na afya njema ishu miaka mingi
 
Unaandika gazeti refuuuuuu,,,, hebu jaribu kulenga point...

Edit hizo post zako ziwe fupi, magazeti peleka jukwaa la simulizi, unachosha hata wafatiliaji, Toa hoja inalenga points, huku ni jamiiforums sio group la whatsapp.

Hata mimi ningeweka gazeti humu lakini nazingatia kigezo cha kusummarize points zangu ili hata wahudhuriaji wasome kwa wepesi....

Focuss kwenye target points tafadhali, magazetu yanaharibu uzi
Kama wewe ni mvivu wa kusoma,pita pembeni, hajaandika kwa ajili yako ndugu, wapo wengine wanapenda kusoma na kujifunza kwa kina. Hii post aliyoandika sio Presentation!
Pia muombe Roho Mtakatifu akusaidie akuondolee udhaifu wa kudoma.
 
Safari ya mbinguni ni efforts za mtu binafsi. Nadhani kuwa kila mtu ana imani yake katika kuenenda. Provided anajua kusoma maandiko ya kitabu cha dini yake basi its upon him/her to chose.

Personally kitimoto kwa din yangu nnaruhusiwa. Lakin nikila naumwa tumbo na kudrive sana. Halafu nishajaribu kula sehemu tofauti..bado yanakua yaleyale. Na harufu yake inanikifu haraka sana...so nikifika rome i do as the romans do..ntakula viwil vitatu tu...lakin naona kama ishanifanyia natural selection.

Similarly kwenye mambo ya maweaving na mawig pia. Yalishanikataa haya madude. Nikiweka kichwan ni vidonda na kuwashwa tu. Yani yanahakikishaga nimeyatoa the next day..nikaonaga kupoteza tu hela. Bora niishi kisabato tu.
 
Back
Top Bottom