hamis77
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 13,628
- 20,992
UISLAMU PIA UMERUHUSU ULAJI NGURUWE KIJANJA ,Hakuna kitu kama icho kwa conditions zile haiwezi kutokea ...Palipo na waislamu nguruwe no. Prove me wrong
ALLAH AMETOA RUHUSA YA KULA NYAMA YA NGURUWE KWA WAISLAMU-NGURUWE SASA NI HALAL
QURAN AL- BAQARA (2:173)
173.Yeye amekuharimishieni mzoga tu na damu na nyama ya Nguruwe na kilicho tajiwa, katika kuchinjwa kwake, jina la asiye kuwa Mwenyezi Mungu. Lakini aliye fikiwa na dharura bila ya kutamani wala kupita kiasi, yeye hana dhambi kula Mizoga na Damu na nyama ya Nguruwe. Hakika Mwenyezi Mungu ni Mwenye kusamehe, Mwenye kurehemu.
KUMBE MUHAMMAD ALIKULA NYAMA YA NGURUWE BAADA YA KUPEWA RUHUSA NA ALLAH KWENYE SURAT AL BAQARA 173
Hadith imesimuliwa na Al Tabar na kupokewa na Ibn Ali Bakouri. Nabii wa Allah na Maswahiba wake walikuwa wamechoka na safari ndefu. Wakafika Nyumbani kwa Fatimah rafiki wa Swahiba wake. Nabii wa Allah akauliza je unachakula chochote? Fatimah akajibu ndio. Nabii wa Allah akauliza tena una mawindo yeyote. Fatimah ajibu nina myama ya Nguruwe pori. Basi Nabii wa Allah na Maswahiba wake walikula Ngama ya Nguruwe pori mpaka wakashiba. Al Kitaab Uk wa 136 Hadith ya 41 Toleo la Tatu.
HABARI NJEMA KWA WAISLAM:
Sasa ulaji wa Nguruwe ni Halal.
HUWEZI KUSEMA KUZINI AU KUIBA NI DHAMBI ILA UKIZIDIWA FANYA ,HAPO HUJAKATAZA KITU