Wakristo wasio Wasabato wanaruhusiwa kula paka, panya, kobe, kinyonga, kenge, kunguru, nyani, n.k?

Wakristo wasio Wasabato wanaruhusiwa kula paka, panya, kobe, kinyonga, kenge, kunguru, nyani, n.k?

hacha usanii bwana mkubwa, wewe usalama wa dini au dhehebu fulani unaujuaje wakati umezaliwa dini na madhehebu ukayakuta?. Kivip utaaminika kama nawe sio hisia na itikadi ulizonazo kutoka pahali fulani au ndani ya moyo wako juu ya dhehebu au dini hiyo.
 
hacha usanii bwana mkubwa, wewe usalama wa dini au dhehebu fulani unaujuaje wakati umezaliwa dini na madhehebu ukayakuta?. Kivip utaaminika kama nawe sio hisia na itikadi ulizonazo kutoka pahali fulani au ndani ya moyo wako juu ya dhehebu au dini hiyo.
Acha bla blaa taja dini au dhehebu lako nikuoneshe ulipo unapelekwa jehanum

Acha bla blaa taja
 
hacha bangi wewe, yaani kwamba una mkeka wa usalama wa dini na madhehebu yote?. Wewe ni nani? alafu nawe ni mwanadamu kama mimi unionyeshe usalama wa dini au dhehebu langu??. Kawalishe Matango pori wengine. Imani ni personal issue mzee.
 
Wasabato sio wakristo, ni pure freemasons.
Ila Hawa Wala Nguruwe ,wanaocheza miziki makanisani, wanauza mafuta na chumvi, wanaokataza kuoa na kuolewa, na uchafu Mwingine ,ndio WAKRISTO?

Basi Kama ni hivyo HUUJUI UKRISTO


Taja Dhehebu lako unalodai ni la KIKRISTO

Nitakuonesha kuwa limejengwa na linaongozwa na Shetani


Najua huwez kutaja maana Sibahatishi ,

Ninayajua madhehebu Karibu yote waanzilishi had ibada zao, ninazijua dini kuu 3 vizuri UKRISTO, UYAHUDI NA UISLAMU
 
Ila Hawa Wala Nguruwe ,wanaocheza miziki makanisani, wanauza mafuta na chumvi, wanaokataza kuoa na kuolewa, na uchafu Mwingine ,ndio WAKRISTO?

Basi Kama ni hivyo HUUJUI UKRISTO


Taja Dhehebu lako unalodai ni la KIKRISTO

Nitakuonesha kuwa limejengwa na linaongozwa na Shetani


Najua huwez kutaja maana Sibahatishi ,

Ninayajua madhehebu Karibu yote waanzilishi had ibada zao, ninazijua dini kuu 3 vizuri UKRISTO, UYAHUDI NA UISLAMU
Nimeshasema nipo kwenye dhehebu la Zumaridi. Tunakula kiti moto kama hatuna akili nzuri.
 
UISLAMU PIA UMERUHUSU ULAJI NGURUWE KIJANJA ,


ALLAH AMETOA RUHUSA YA KULA NYAMA YA NGURUWE KWA WAISLAMU-NGURUWE SASA NI HALAL

QURAN AL- BAQARA (2:173)
173.Yeye amekuharimishieni mzoga tu na damu na nyama ya Nguruwe na kilicho tajiwa, katika kuchinjwa kwake, jina la asiye kuwa Mwenyezi Mungu. Lakini aliye fikiwa na dharura bila ya kutamani wala kupita kiasi, yeye hana dhambi kula Mizoga na Damu na nyama ya Nguruwe. Hakika Mwenyezi Mungu ni Mwenye kusamehe, Mwenye kurehemu.

KUMBE MUHAMMAD ALIKULA NYAMA YA NGURUWE BAADA YA KUPEWA RUHUSA NA ALLAH KWENYE SURAT AL BAQARA 173

Hadith imesimuliwa na Al Tabar na kupokewa na Ibn Ali Bakouri. Nabii wa Allah na Maswahiba wake walikuwa wamechoka na safari ndefu. Wakafika Nyumbani kwa Fatimah rafiki wa Swahiba wake. Nabii wa Allah akauliza je unachakula chochote? Fatimah akajibu ndio. Nabii wa Allah akauliza tena una mawindo yeyote. Fatimah ajibu nina myama ya Nguruwe pori. Basi Nabii wa Allah na Maswahiba wake walikula Ngama ya Nguruwe pori mpaka wakashiba. Al Kitaab Uk wa 136 Hadith ya 41 Toleo la Tatu.



HABARI NJEMA KWA WAISLAM:
Sasa ulaji wa Nguruwe ni Halal.

HUWEZI KUSEMA KUZINI AU KUIBA NI DHAMBI ILA UKIZIDIWA FANYA ,HAPO HUJAKATAZA KITU
Wewe kenge mwitu uislamu umeingiaje hapa mbona mnawashwa sana

Pambaneni wenyewe na mambo yenu mmalizane usitake kuchomekeza ya waislamu wakati ya kwenu bado yanawashinda
 
Hakuna mabano katika Hilo andiko,yanayoruhusu kula kila kitu ila Wachungaji fake na manabii wauongo matapeli Kama kina mwamposa wasiojua maandiko ndio wanapotosha tafsiri , hata mwakasege anayesifiwa bado biblia inampiga chenga ,maana alifundishwa hivo

Hilo andiko Wala halina mabano ya kuruhusu Kula Mende,kenge,n.k hata wewe umeingia kwenye mtego was kina mwamposa , gwajima,n.k

BIBLIA HUMAANISHA NINI INAPOSEMA KIMUINGIACHO MTU AKIMTII UNAJISI BALI KIMTOKACHO?

Ni jambo gani ambalo Biblia inasema katika Marko 7:15-23?
Biblia Inasema

"Hakuna kitu kilicho nje ya mtu ambacho kikimwingia chaweza kumtia unajisi, bali vile vimtokavyo, ndivyo vimtiavyo unajisi yule mtu. [Mtu akiwa na masikio ya kusikilia, na asikie.]


Hata alipoingia nyumbani, ameuacha mkutano, wanafunzi wake wakamwuliza habari za ule mfano.
Akawaambia, Hivi hata ninyi hamna akili? Hamfahamu ya kwamba kila kitu kilicho nje ya mtu, kikimwingia, hakiwezi kumtia unajisi;
kwa sababu hakimwingii moyoni, ila tumboni tu; kisha chatoka kwenda chooni? Kwa kusema hivi alivitakasa vyakula vyote.
Akasema, Kimtokacho mtu ndicho kimtiacho unajisi.
Kwa maana ndani ya mioyo ya watu hutoka mawazo mabaya, uasherati,
wivi, uuaji, uzinzi, tamaa mbaya, ukorofi, hila, ufisadi, kijicho, matukano, kiburi, upumbavu.
Haya yote yaliyo maovu yatoka ndani, nayo yamtia mtu unajisi."(Marko 7:15-23).
Sasa shida inayokuja hapa watu wameshikilia kula vyakula najisi kuwa ni halali kama vile kitimoto na kambare na wanasema inahusisha mwili tu, wanasahau Kuwa kukaidi agizo la Mungu ni matokeo ya uasi ambao uanzia kwenye maamuzi, Lakini pia wanasahau kuwa Yesu ametaja na mambo mengine yanayoweza kumtia mtu unajisi, kama vile ufisadi, uuaji, uzinzi, wivi, je hivi vinausisha roho tu? Je havina matokeo yoyote kwenye mwili kiasi cha mwili kuhusishwa? Inabidi wafikilie upya.

Katika Marko 7:15-23, Yesu hatamki kwamba mtu anaweza kula kitu chochote. Baadhi ya vyakula na vinywaji havistahili na pia vinafisha, na vingine ni hatari kabisa kwa afya. Angalia katika (Walawi 11:2-23) kwa ajili ya orodha ya wanyama, ndege, samaki, na wadudu wasiofaa kuliwa.

Anachoelekeza Yesu hapa ni imani kuwa endapo Myahudi mtaua (mcha Mungu kwelikweli) akifuata tu sheria za usafi wa taratibu za kidini atakuwa safi kimaadili/kiroho. Kwa upande mwingine, hakuna chakula ambacho kwa chenyewe kinaweza kuinajisi tabia ya mtu. Kinachonajisi ni mawazo maovu (ambayo hujitokeza kwa ndani na kujidhihirisha katika matendo ya nje). Ndiyo maana Biblia inatuambia, “Linda moyo wako kuliko yote uyalindayo; Maana ndiko zitokako chemchemi za uzima.” (Mithali 4:23)

Hapa Yesu hasemi kuwa vyakula vyote vinaruhusiwa au vinafaa kuliwa. Yesu anatumia vitendo vya nje vya kuosha mikono na kula kama kielelezo cha matendo ya nje ili kuweza kutofautisha na hali ya moyoni. Yesu hugeuza mtazamo wa walimu wa sheria, waliingiza mapokeo ambayo hayakuwa agizo la Mungu, miongoni mwa mapokeo hayo ni kunawa hadi kwenye kiwiko Kabla ya kula Biblia Inasema "Kwa maana Mafarisayo na Wayahudi wote wasiponawa mikono mpaka kiwiko, hawali, wakishika mapokeo ya wazee wao;" (Marko 7:3). Kwa hiyo hata kama ungekula chakula ambacho sio najisi kwao walikiita najisi kwa sababu tu haujanawa hadi kwenye kiwiko, na Habari hizi zilizua mjadala baina ya Yesu na mafarisayo na kuamua kuwaambia ukweli, Biblia Inasema "Akawaambia, Isaya alitabiri vema juu yenu ninyi wanafiki, kama ilivyoandikwa,Watu hawa huniheshimu kwa midomoIla mioyo yao iko mbali nami;
Nao waniabudu bure,Wakifundisha mafundishoYaliyo maagizo ya wanadamu," (Marko 7:6-7).

Basi ingekuwa vyema kwa kila msomaji wa maandiko kutambua kuwa mgogoro ulianzia nyuma kwenye kutokunawa hadi kwenye kiwiko mpaka Yesu anafikia hatua ya kusema "kimuingiacho mtu akimtii unajisi, bali kimtokacho" mawazo ya mafarisayo yalishatiwa unajisi,
walikuwa wamejikita katika mambo ya nje, wakati Yesu alisisitiza matendo ya ndani ya roho, hali ya kimaadili/kiroho. Ni rahisi kudumisha hali ya nje ya kuwa Mkristo kwa kile tunachofanya au tusichofanya. Hata hivyo, wakati ambapo wanadamu huangalia nje, Mungu huangalia hadi ndani ya moyo hupima nia ya makusudi yanayosukuma matendo yetu. (Angalia pia Mwanzo 1:29-30; Matendo 10; 1 Wakorintho 10:31).

Roho Mtakatifu akusaidie kuelewa hili.
Mtumish wa MUNGU naomba uanzishe blog YAKO tunaopenda kujifunza tujifunze zaidi jins ulivYoelezea hata mtoto wa miaka mitano anaelewa ubarikiwe sana🙏🙏🙏🙏
 
Back
Top Bottom