Mtukutu wa Nyaigela
JF-Expert Member
- Sep 4, 2018
- 8,013
- 14,263
Context katika hilo fungu haikuwa aina ya chakula bali issue ilikuwa ni kunawa mikonoSuala la yesu kusafisha vyakula vyote limeweka kwenye mabano kuashiria hayo maneno hayakuwemo bali ni uchambuzi wa waliondika biblia hizi mpya zilizotafsiriwa
Nashangaa kuona biblia za kiswahili zimeunganisha kabisa moja kwa moja bila mabano ili ionekane kwamba maneno haya yalikuwemo kwenye biblia
Hivyo basi, Biblia za kiswahili zimechachachuliwa kudanganya waumini, ukiwemo wewe unaebisha mpaka mishipa kukutoka shingoni ukidhani kwamba maandiko hayo yalikuwemo kwenye biblia kumbe kuna mhuni kayatoa mabano ionekane ni maandiko yaliyokuwemo, poleni sana kwa kuchezewa akili mda wote huu mkiaminishwa uongo.
Hebu cheki matoleo haya tofauto ya biblia za kiingereza wameweka mabano, hata google wameweka mabano,
View attachment 2412821
alieandika biblia ya kiswahili kahujumu wakristo wengi wa Tanzania wanaoendelea kula vichafu wakidhani Yesu alivitakasa
Kwenye mjadala Yesu na wanafunzi haikuwa aina gani ya chakula iliwe au isiliwe
waroho wanadakia kula kila kitu