Wakristo wasio Wasabato wanaruhusiwa kula paka, panya, kobe, kinyonga, kenge, kunguru, nyani, n.k?

Wakristo wasio Wasabato wanaruhusiwa kula paka, panya, kobe, kinyonga, kenge, kunguru, nyani, n.k?

Nimesoma na kuupenda ujengaji wako wa hoja katika mada hii japo kuna mistari kwenye wakolosai hujaigusa.

Pia ninaona ni dhahiri kuna kitu bado haujakifahamu kuhusu ujio wa Yesu Kristo duniani na mtu anayemuamini Yesu anakuwaje ndani ya Kristo.

Ni jambo la kustaabisha kwamba mtu anaamini kuwa ukila nyama fulani utahukumiwa. Ni kukosa kulijua tumaini la wito wetu katika Kristo Yesu.

Pia kuna kitu kimoja cha hatari sana unakifanya ambacho kinanifanya nipate mashaka makubwa unasimama kweli ndani ya Kristo? Unawezaje kuwataja kwa majina na kuwakejeli watumishi wa Mungu?

Paulo mtume alifuta kauli na tamko alilofanya kinyume na kuhani mkuu ingawa ilikuwa dhahiri kwamba kuhani alikuwa amekosea. Unafanya makosa makubwa sana kumsema mtumishi yeyote hata kama yupo wrong.

Kazi yetu ni kuwaombea tu, warumi 14:4 unasema, " u nani unayemhukumu mtumishi wa mwingine? Kwa bwana wake mwenyewe yeye husimama au huanguka. Naam, atasimamishwa, kwa kuwa Bwana aweza kumsimamisha"
Ubarikiwe Mtumishi hakika umemueleza ukweli, shida hawajui maana ujio wa Yesu Kristo! Na bila Yesu kumtafuta Mungu ni bure
 
Kwa kuwa sisi ni wakristo ni kwamba sisi tunafata nyayo za Yesu Kristo. Ni vipi kitu ambacho hakusema Yesu Kristo kinawekewa mabano ya kuweka uchambuzi wa maono ya waliotafsiri biblia? mbaya zaidi kuna biblia hata hayo mabano hayamo, uchambuzi umeunganishwa kuonekana ni maandiko matakatifu yaliyokuwemo kwenye biblia.

Kimuingiacho mtu hakimtii unajisi ni jibu alilotoa Yesu baada ya kuulizwa kwanini wanafunzi wake waliokuwa na njaa walikula mahindi wakiwa njiani bila kuosha mikono, kwa sheria walizojiwekea viongozi wa mda huo waliona kwamba kula bila kuosha mikono kunamtia mtu unajisi, Yesu ndipo akawasahisha kwamba sheria zao hazipo sawa na kwamba kula bila kuosha mikono hakumtii mtu unajisi. Sasa je, hapa kulikuwa na haja ipi ya watafsiri kuongeza maneno yao kwamba maana yake ilikuwa ni karuhusu kula vyakula ambavyo havikutakaswa kama mijusi, kenge na nguruwe wakati kilichokuwa kinazungumziwa ni kula bila kuosha mikono?

Wasabato walipuuzia hayo mabano maana hayakuwa maneno ya Yesu na kazi ya watafsiri sio uchambuzi, Wakristo wengine wakadhani ni Yesu kawapa kibali wakaona ni ruksa ya kula chochote.

Sasa najiuliza kwamba mbwa, konokono, vinyonga, kunguru, paka, chunusi, kobe, n.k wanaweza kuliwa?

Mfano kuna samaki na wanyama wana sumu ama huleta madhara wakiliwa na wakawekwa kwenye kundi la vyakula visivyofaa, Mungu alikosea kusema hawatakiwi kuliwa?

Halafu pia nashangaa Biblia za sikuhizi za kiswahili zimeunganisha hayo maneno bila kuweka mabano, ni wazi kabisa wakristo wengi wanaamini haya maneno yalikuwemo bila kujua kuna uhuni umefanyika kuyaunganisha, maskini mweee! Mtu anabisha mpaka mishipa inamtoka shingoni kwasababu ya mistari iliyopachikwa ambayo haikuwahi kuwepo, ni ujanja ujanja tu ukafanyika kupachika.
Tafuta pesa dogo, tafuta pesa, narudia Tena tafuta pesa achana na mambo ya kutafsiri maandiko! Muamini MUNGU, hio inatosha saaaana
 
Uzoefu wangu kwenye hizi nyama, binafsi nguruwe sili kabisa japo sizuiwi na yeyote yule lakini Nyani nilikula kwa wamatengo mbinga, Ngedere nilikula butembo congo wao wanaita makako, mamba supu yake nilikula Masakaa Uganda, maduduwasha yale nilikula zambia na shima au ugali, Nyoka nilikula kwa jamaa mmoja bangedaido kama unaenda kisangani, wale panya wakubwa nilikula mtwara, na kuna vindege fulani nilikula kondoa, katika vitu vyote sikuwahi kuona tatizo lolote hivo toka nimekula hivo vitu hua siwezi kumhukumu mtu kwa sababu ya kitu anachokula maana hata hivyo nilivyokula wala sikuwahi kudhurika, hivo tuheshimiane kama wewe hauli acha wanaokula waendelee kula sio kesi
 
Si wakristo wala waislam wote wameshindwa mpaka sasa kumjibu hamis77 kimaandiko.

Wengi wanajibu tu kufuata hisia zao ila wanaojibu kwa kufata maandiko ni wachache.

Mnaokula teteeni hoja zenu basi, nasi wengi tujifunzege hapahapa.
 
Namaanisha nguruwe ni haramu daima na hakina condition ya sasa itamfanya muislamu kula nguruwe unless wale wanaofuata Mila zao kama wachaga wanakula nguruwe ila uislamu umekata ..vyuo vyote vya madrsa wanajua kula nguruwe ni haramu na hata nchi za kiislamu huwezi kukuta huyo mnyama akiingia kama mfugo.
Allah kasema Ukibanwa njaa kula ,wewe unasema kakataza
 
....Wakristo wengine wakadhani ni Yesu kawapa kibali wakaona ni ruksa ya kula chochote. Sasa najiuliza kwamba mbwa, konokono, vinyonga, kunguru, paka, chunusi, kobe, n.k wanaweza kuliwa?
Tena umejichelewesha sana kuuliza swali kwa kuzunguka na maneno mengi. Hakuna dhambi yoyote kula kitu chochote. Kiroho hakuna kosa lolote, iliyobaki ni uvumilivu na utamaduni, ambavyo kiroho havina nafasi yoyote
 
UISLAMU PIA UMERUHUSU ULAJI NGURUWE KIJANJA ,


ALLAH AMETOA RUHUSA YA KULA NYAMA YA NGURUWE KWA WAISLAMU-NGURUWE SASA NI HALAL

QURAN AL- BAQARA (2:173)
173.Yeye amekuharimishieni mzoga tu na damu na nyama ya Nguruwe na kilicho tajiwa, katika kuchinjwa kwake, jina la asiye kuwa Mwenyezi Mungu. Lakini aliye fikiwa na dharura bila ya kutamani wala kupita kiasi, yeye hana dhambi kula Mizoga na Damu na nyama ya Nguruwe. Hakika Mwenyezi Mungu ni Mwenye kusamehe, Mwenye kurehemu.

KUMBE MUHAMMAD ALIKULA NYAMA YA NGURUWE BAADA YA KUPEWA RUHUSA NA ALLAH KWENYE SURAT AL BAQARA 173

Hadith imesimuliwa na Al Tabar na kupokewa na Ibn Ali Bakouri. Nabii wa Allah na Maswahiba wake walikuwa wamechoka na safari ndefu. Wakafika Nyumbani kwa Fatimah rafiki wa Swahiba wake. Nabii wa Allah akauliza je unachakula chochote? Fatimah akajibu ndio. Nabii wa Allah akauliza tena una mawindo yeyote. Fatimah ajibu nina myama ya Nguruwe pori. Basi Nabii wa Allah na Maswahiba wake walikula Ngama ya Nguruwe pori mpaka wakashiba. Al Kitaab Uk wa 136 Hadith ya 41 Toleo la Tatu.



HABARI NJEMA KWA WAISLAM:
Sasa ulaji wa Nguruwe ni Halal.

HUWEZI KUSEMA KUZINI AU KUIBA NI DHAMBI ILA UKIZIDIWA FANYA ,HAPO HUJAKATAZA KITU
nguruwe ni haramu, hilo halina ubishi, wanaokula wale tu ila biblia imekataza
 
[emoji23][emoji23][emoji23]Huyo wa uko kwenu.
Allaha kasema ,au unambishia


Lakini aliye fikiwa na dharura bila ya kutamani wala kupita kiasi, yeye hana dhambi kula Mizoga na Damu na nyama ya Nguruwe. Hakika Mwenyezi Mungu ni Mwenye kusamehe, Mwenye kurehemu.
 
Hiyo dharu
Allaha kasema ,au unambishia


Lakini aliye fikiwa na dharura bila ya kutamani wala kupita kiasi, yeye hana dhambi kula Mizoga na Damu na nyama ya Nguruwe. Hakika Mwenyezi Mungu ni Mwenye kusamehe, Mwenye kurehemu.
Dharula haipo!! Kwa maana iyo haiwezi kutokea 😂😂😂sema dharura ipi..angalia conditions endelea kusoma mpaka chini utajua nn alikuwa ana maanisha
 
Kwa kuwa sisi ni wakristo ni kwamba sisi tunafata nyayo za Yesu Kristo. Ni vipi kitu ambacho hakusema Yesu Kristo kinawekewa mabano ya kuweka uchambuzi wa maono ya waliotafsiri biblia? mbaya zaidi kuna biblia hata hayo mabano hayamo, uchambuzi umeunganishwa kuonekana ni maandiko matakatifu yaliyokuwemo kwenye biblia.

Kimuingiacho mtu hakimtii unajisi ni jibu alilotoa Yesu baada ya kuulizwa kwanini wanafunzi wake waliokuwa na njaa walikula mahindi wakiwa njiani bila kuosha mikono, kwa sheria walizojiwekea viongozi wa mda huo waliona kwamba kula bila kuosha mikono kunamtia mtu unajisi, Yesu ndipo akawasahisha kwamba sheria zao hazipo sawa na kwamba kula bila kuosha mikono hakumtii mtu unajisi. Sasa je, hapa kulikuwa na haja ipi ya watafsiri kuongeza maneno yao kwamba maana yake ilikuwa ni karuhusu kula vyakula ambavyo havikutakaswa kama mijusi, kenge na nguruwe wakati kilichokuwa kinazungumziwa ni kula bila kuosha mikono?

Wasabato walipuuzia hayo mabano maana hayakuwa maneno ya Yesu na kazi ya watafsiri sio uchambuzi, Wakristo wengine wakadhani ni Yesu kawapa kibali wakaona ni ruksa ya kula chochote.

Sasa najiuliza kwamba mbwa, konokono, vinyonga, kunguru, paka, chunusi, kobe, n.k wanaweza kuliwa?

Mfano kuna samaki na wanyama wana sumu ama huleta madhara wakiliwa na wakawekwa kwenye kundi la vyakula visivyofaa, Mungu alikosea kusema hawatakiwi kuliwa?

Halafu pia nashangaa Biblia za sikuhizi za kiswahili zimeunganisha hayo maneno bila kuweka mabano, ni wazi kabisa wakristo wengi wanaamini haya maneno yalikuwemo bila kujua kuna uhuni umefanyika kuyaunganisha, maskini mweee! Mtu anabisha mpaka mishipa inamtoka shingoni kwasababu ya mistari iliyopachikwa ambayo haikuwahi kuwepo, ni ujanja ujanja tu ukafanyika kupachika.
1 WAKORITHO 6:12 Kila kitu ni halali kwangu,”lakini si kila kitu kina faida. “Kila kitu ni halali kwangu,”lakini sitatawaliwa na cho chote.
 
Kwa kuwa sisi ni wakristo ni kwamba sisi tunafata nyayo za Yesu Kristo. Ni vipi kitu ambacho hakusema Yesu Kristo kinawekewa mabano ya kuweka uchambuzi wa maono ya waliotafsiri biblia? mbaya zaidi kuna biblia hata hayo mabano hayamo, uchambuzi umeunganishwa kuonekana ni maandiko matakatifu yaliyokuwemo kwenye biblia.

Kimuingiacho mtu hakimtii unajisi ni jibu alilotoa Yesu baada ya kuulizwa kwanini wanafunzi wake waliokuwa na njaa walikula mahindi wakiwa njiani bila kuosha mikono, kwa sheria walizojiwekea viongozi wa mda huo waliona kwamba kula bila kuosha mikono kunamtia mtu unajisi, Yesu ndipo akawasahisha kwamba sheria zao hazipo sawa na kwamba kula bila kuosha mikono hakumtii mtu unajisi. Sasa je, hapa kulikuwa na haja ipi ya watafsiri kuongeza maneno yao kwamba maana yake ilikuwa ni karuhusu kula vyakula ambavyo havikutakaswa kama mijusi, kenge na nguruwe wakati kilichokuwa kinazungumziwa ni kula bila kuosha mikono?

Wasabato walipuuzia hayo mabano maana hayakuwa maneno ya Yesu na kazi ya watafsiri sio uchambuzi, Wakristo wengine wakadhani ni Yesu kawapa kibali wakaona ni ruksa ya kula chochote.

Sasa najiuliza kwamba mbwa, konokono, vinyonga, kunguru, paka, chunusi, kobe, n.k wanaweza kuliwa?

Mfano kuna samaki na wanyama wana sumu ama huleta madhara wakiliwa na wakawekwa kwenye kundi la vyakula visivyofaa, Mungu alikosea kusema hawatakiwi kuliwa?

Halafu pia nashangaa Biblia za sikuhizi za kiswahili zimeunganisha hayo maneno bila kuweka mabano, ni wazi kabisa wakristo wengi wanaamini haya maneno yalikuwemo bila kujua kuna uhuni umefanyika kuyaunganisha, maskini mweee! Mtu anabisha mpaka mishipa inamtoka shingoni kwasababu ya mistari iliyopachikwa ambayo haikuwahi kuwepo, ni ujanja ujanja tu ukafanyika kupachika.
shika adabu yako wewe unayeabudu siku badala ya mungu aliziumba siku ......
 
nguruwe ni haramu, hilo halina ubishi, wanaokula wale tu ila biblia imekataza
Achana na sheria za Wayahudi, fuata maelekezo ya Mungu. Kumbuka, sheria zile ziliwataka hata wazinzi wauawe. Sasa kwa nini mmeendelea na ya nguruwe mkiacha ya wazinzi?


2 Hata asubuhi kulipokucha akaingia tena hekaluni, na watu wote wakamwendea; naye akaketi, akawa akiwafundisha. 3 Waandishi na Mafarisayo wakamletea mwanamke aliyefumaniwa katika uzinzi, wakamweka katikati. 4 Wakamwambia, Mwalimu, mwanamke huyu amefumaniwa alipokuwa akizini. 5 Basi katika torati, Musa alituamuru kuwapiga kwa mawe wanawake namna hii; nawe wasemaje? 6 Nao wakasema neno hilo wakimjaribu, ili wapate sababu ya kumshitaki. Lakini Yesu akainama, akaandika kwa kidole chake katika nchi.

7 Nao walipozidi kumhoji, alijiinua, akawaambia, Yeye asiye na dhambi miongoni mwenu na awe wa kwanza wa kumtupia jiwe. 8 Akainama tena, akaandika kwa kidole chake katika nchi. 9 Nao waliposikia, wakashitakiwa na dhamiri zao, wakatoka mmoja mmoja, wakianzia tangu wazee hata wa mwisho wao; akabaki Yesu peke yake, na yule mwanamke amesimama katikati. 10 Yesu akajiinua asimwone mtu ila yule mwanamke, akamwambia, Mwanamke, wako wapi wale washitaki wako? Je! Hakuna aliyekuhukumu kuwa na hatia?

11 Akamwambia, Hakuna, Bwana. Yesu akamwambia, Wala mimi sikuhukumu. Enenda zako; wala usitende dhambi tena.]
 
Back
Top Bottom