Mzee Kigogo
JF-Expert Member
- Jun 3, 2018
- 9,968
- 16,680
Wapi Uisilamu unahalalisha kuuwa wasio na hatia! Kàma wewe ni kidume nionyeshe hiyo aya kwa madai yako!
Uislam ni kama ulivyo weweUzushi
Ukiona muislam anaua mtu eti kisa tofauti ya dini ujue hana analojua kuhusiana na uislam hata robo
Uislam uko wazi kabisa linapokuja suala la kumuua mtu
Ukiona mtu anaua watu eti kisa imani tofauti huyu anatakiwanapigwe msasa kuhusiana na uislam sababu hajui lolote kuhusiana na dini ya uislamu
Nimewaona maiti wanadandia pickup. Wewe hujawaona?Magaidi ya Kiislamu yamewaua
Nani Kashusha qurani wewe.Hayo ni maneno ya kujitungia ya mudy ili kupata favor.Mwenyewe amekufa bila hata kujua kama kuna kitabu kinaitwa quraniWewe ni mjinga sababu Qur'an haikushushwa kwa siku moja kama unavyo dhania wewe, na wajinga wenzako hizo Aya zilishuka kulikuwa reason flani wakati ule wa vita, sio amri kama unavyo dhania wewe, the above verse does not convey the general command of Islam. The truth of the matter is that the Qur'an was not revealed in the complete form in which it exists today.
It was revealed from time to time, according to the circumstances, sa kama ilikuwa inakusudia vile unavyo elewa wewe na wenginewe, basi ungeona Waislam kila kukicha wakiona Wakristo wanawaua tu, ndio mana waswahili walisema usikimbilie kukosoa kitu kabla hujakichunguza vizuri [emoji1]
Yesu tu anajuwa kuna bibilia au siyo?Nani Kashusha qurani wewe.Hayo ni maneno ya kujitungia ya mudy ili kupata favor.Mwenyewe amekufa bila hata kujua kama kuna kitabu kinaitwa qurani
Kwa hiyo huyo mungu wenu wa kweli mnayemfahamu ndo anawatuma kuwa washari na kuua watu?Hawa wakristo huwa wanapenda story za uwongo ikiwa Yesu wanamzulia ni Mungu wakati hizo hizo bibilia anawambia hakuna binadamu kawahi muona Mungu akaishi? Si bora hata wayahudi wao wanamgojea yule Masseh Dijal hawajamuona bado [emoji1] wakija muona anajicho moja katikati ndio watamini kweli yule ni Mungu sababu kutakuwa na njaa ukitaka chakula anakupa chakula ili upate kumuabudu [emoji1] We huoni Waisrael wanavyo wafungia chakula watu wa Gaza ndio hizo style za huyo mungu wao mtarajiwa.
Waislam peke ndio Mungu wanamfahamu Mungu wa kweli, alie umba kila kitu na asiye fananishwa wala kuzaa au kuzaliwa alikuwepo kabla ya kila kitu na ataendelea kuwepo bada ya kila kitu ndio atakaye tuhuku kwa mazuri na mabaya siku za hesabu.
Kwanini ni lazima wote tuwe waislam?Bin Adam huwezi kukamilika pasi kuwa muislam.
Kama Adam mwenyewe alikuwa Muislam, Wewe mwenye ubin wake kwanini usiwe?
Umemezeshwa ujinga mwingi sanaBin Adam huwezi kukamilika pasi kuwa muislam.
Kama Adam mwenyewe alikuwa Muislam, Wewe mwenye ubin wake kwanini usiwe?
Umefurahi eeeeeeehNimewaona maiti wamedandia pickup ndiyo maana nimefurahi. Wewe hujawaona post namba moja?
Sasa hufurahii hapo, maiti za siku hizi haziwapi watu shida, zinajipeleka zenyewe na mizigo yao mazikoni?
Mbinguni itagidwa balaaSi nasikia hata kanisani inagongwa kama kawa.
Hayo ni maneno ya nani?Hahahaha tunaemuabdu sisi ni huyu, anajieleza mwenyewe, hahitaji kuelezewa na mtu:
Qur'an 112:
KWA JINA LA MWENYEEZI MUNGU MWINGI WA REHEMA MWENYE KUREHEMU 0
1. Sema: Yeye Mwenyezi Mungu ni wa pekee. 1
2. Mwenyezi Mungu Mkusudiwa. 2
3. Hakuzaa wala hakuzaliwa 3
4. Wala hana anaye fanana naye hata mmoja. 4
Kafirrrwe na majini uko mba Koko weweMaiti zina sarakasi hizo. Zimedandia gari zingine zipo juu ya mizigo.
[emoji3064][emoji3064][emoji3064][emoji848][emoji848][emoji848]
Waafrika tulikuwa tunakunywa na kulewa kabla ya Dini za Majahazi.Sherehe gani ya kidini watu wanalewa mchana kutwa usiku kucha
Pale Kibiti walianzwa na nani?AlhamduliLlah wala hautaona Muislam ananzisha fujo hata siku moja, popote duniani.
Kumbuka tu, ukimuanza hakuwachi, kisasi kwa Waislam ni haki.
Kama alivyo Muhammad s.a.wUislam ni kama ulivyo wewe
Ona unavyokurupuka kijana tuliza jazba hemHamas walivyomuua Joshua kule Israel ulishangilia na kwaita wapigania dini Leo unakana kauli Yako sio!! Nyie watu mnatakiwa mfanyiwe utafiti maana ubongo ndani ya vichwa vyenu una vitu vya kustaajabisha.
Ndio kwanza leo nasikia kua wakatoliki sio wakristoKwanza unapaswa kujua wakatoliki sio wakristo kwa sababu misingi, miongozo na itikadi zao zinapishana kabisa na Ukristo, alafu wanakunywa pombe kwa sababu kitabu Chao kina waruhusu kunywa
Ilete kwa kiswahiliSlay the unbelievers wherever you find them – 2.191”
“Terrorise and behead those who believe in scriptures other than the Koran – 8.12”
“Make war on the infidels living in your neighbourhood – 9.123”
“Do not hanker for peace with the infidels; behead them when you catch them – 47.4”
😛😛😛😛😛😛😛😛😛😛😛😛😛😛
HAKUNA CHA DINI HAPO 😲😲😲
Amani ya nykoooooVipi wauwe watu bila hatia hao si Waislamu hao ni wanatumia ushenzi wao kwa kusingizia Uislam.
Uislam ni din ya Amani