Wakristo zaidi ya 100 wauawa kwenye vijiji vya mkoa wa Plateau nchini Nigeria kwa kusherekea christmas

Nimesema halali sababu inaliwa sijui ndio inanywewa mpaka makanisani
Sasa kama sehem ya ibada watu wanakunywa pombe maana yake inakua nn hapo
Huwezi kuta waislam wanakunywa pombe misikitini
Muislam akiamua kulewa kwamatakwa yake atakunywa huko anapopajua yeye
Sasa kama pombe mnasema haram halaf inanywewa ndani ya kanisa maana yake nini
Sijasema kwakusikia nimesema kwakuona watu kanisani wanakunywa pombe
 
Matendo ya kanisa moja haihalalishi dhambi.

Yesu alibadilisha water to grape juice(un-fermented) but kuna baadhi ya wakristo wanachanganya na kusema alibadilisha maji kuwa wine(pombe or fermented)

Learn the difference.
Sasa sisi kosa letu lipi tukisema kama mnakunywa pombe na pombe kwenu halali
Makosa ya wengine haya halalishi jambo linapofanywa na wakristo ila likifanywa na waislam ndio dini inakua imesema
 
Mauaju ya aina yoyote ya watu wasio na hatia ni ujinga kabisa.
 
Ona unavyokurupuka kijana tuliza jazba hem
Toka mzozo wa hamas umeanza sijawahi kuuhusiasha na uislam hata sehem moja
Ukileta koment yangu kama unavyosema kama nimesema sitatumia tena jf
Basi sote Kwa pamoja tuseme Takbiiiir!!
 
BIBI ANASEMA KUA BOKO HARAM HAWAJAWAUA BALI WAMEKUFA KWA KUNYWA POMBE...
🤣🤣🤣🤣 UDINI MZIGO
 
Ile dini haifai, ndo maana nafurahi Israel akiwabonda
 
Nilidhani kila mtu ana uhuru wa kuabudu huko!? Kumbe kama Afghanistan TU, ukiuacha Uislamu uNauawa! Aisee! Ukichaa huu, na ni kichaa pekee anayeunga mkono mauaji haya.
Dhanna ni dhambi.

Usipende kudhani kwa kusoma kijuujuu tu.

Uwe na uhakika, haya yaliyoandikwa humu ni ukweli au ni watu wanasambaza chuki tu?

Elewa kuwa Naijeria kwa miaka mingi sana sasa kuna ugomvi wa kikabila ambao umegeukia kuwa wa kidini.

Kiuwana huko si ya leo wala ya jana hayo, kama umewahi kusikia vita ya biafra, basi ndiyo huko.


Ndiyo maana Tanzania tunasisitizwa sana tuheshimiane, vita ya dini si mchezo.
 
BIBI ANASEMA KUA BOKO HARAM HAWAJAWAUA BALI WAMEKUFA KWA KUNYWA POMBE...
🤣🤣🤣🤣 UDINI MZIGO
Pombe za krismasi hizo.
Wewe fitness za nje ya Tanzania zisikut7e waximu ukazileta Tanzania.

Huelewi siasa zao huko wala nchibyao ilivyo.

Usihukumu ya nje kwa uelewa wako finyu.

Tanzania tunanuhuru wa kubushana dini ukumbini, tunakodi ukumbi wanaalikwa wakristo na Waislam, tunabwaga hoja kwa maandiko. Tukitoka hapo akili kichwani mwako.

Huko ndiyo kama unavyosikia kama ukweli kama uongo sisi hatuelewi.

Mimi nasema pombe hizo zimewaua, wewe unasema ni nini?
 
Kuna mjadala wasababto walikuwa wanabishana na waislam, mwisho wa siku wale waislam walikasirika wakaanza kurusha mawe, ikabidi polisi waingilie
 
Uislam ni kansa kwa ustaarabu wa dunia ya leo.Mbona wengine hawajinasibu kuwa dini zao ni za amani kama wewe?
Wengine kama nani, wakristo hawana dini nani kawaletea hi dini? Yesu hakuleta ukristo kama una dalili Yesu alikuwa mkristo mpaa mkamuita Yesu kristo nipe dalili zako sa hivi niwe mkristo na uhakika huna.

Dini ni moja tu Uislam hizo dini zingine zote ni za kishetani tu.
 
Kwanini ni lazima wote tuwe waislam?
Kama ni hivyo basi huyo allah mnaemuabudu angeumba binadamu wote waislam ili kuepusha haya matukio ya kigaidi
Binaadamu wote wameumbwa waislam...ila ni shetani ndio huwakengeusha kwa kuwabatiza.

Ndomaana kwenye uislam hakuna kuvonvert Bali unarevert.
Hakuna kujiunga Yani ni unarudi kwenye dini Yako.
 
Pombe kwenye uislam haramu kwahio hua wanalewa kwa matakwa yao binafsi
Ila wakristo pombe inanywewa mpaka kanisani ambayo sehemu eti ya ibada
Maana yake kwa wakristo pombe halali
Mkuu lakini Akhera kuna mito ya pombe. Watu watakunywa pombe mbele ya Allah [sw]. Unalisemeaje hilo?
 
Binaadamu wote wameumbwa waislam...ila ni shetani ndio huwakengeusha kwa kuwabatiza.

Ndomaana kwenye uislam hakuna kuvonvert Bali unarevert.
Hakuna kujiunga Yani ni unarudi kwenye dini Yako.
Kwa hiyo ndio maana allah ameunda vikundi vya kigaidi ili kuwaua waliokengeuka?!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…