Carlos The Jackal
JF-Expert Member
- Feb 6, 2017
- 25,725
- 78,589
- Thread starter
- #21
Walamba Asali wanakuambia 2030.Haya mambo yamebana tena, mama yao atoboi 2025
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Walamba Asali wanakuambia 2030.Haya mambo yamebana tena, mama yao atoboi 2025
Kwani Wana maagano na MunguWalamba Asali wanakuambia 2030.
Msoma lisala anasemazamani walikuwa wanapata mbolea kwa laki na nusu sasa wanapata kwa sabini huyo anaye mwambia ajiulize hivi zamani zipi? Rais alikuwa nani? Si huyo huyo? Akili za kuambiwa changanya na zakoSasa hii si mpaka rais anajua kabisa ni watu wamepewa script [emoji23][emoji23]
Hili lote ni picha linalotengenezwa, ili uonekane Dkt Bashiru hana maana.
DKT BASHIRU, SONGA MBELE
Ni kawaida, Ukweli Mmoja, hupigwa na Mauongo zaidi ya buku.
Walakini, ukweli ni ukweli, na hushinda.
Tunakupenda na tunakuamini Dkt Bashiru, endelea kusimamia Falsafa zako na uwasameee wanyonge.
Msoma lisala anasemazamani walikuwa wanapata mbolea kwa laki na nusu sasa wanapata kwa sabini huyo anaye mwambia ajiulize hivi zamani zipi? Rais alikuwa nani? Si huyo huyo? Akili za kuambiwa changanya na zako
Kweli mkuu hili halina ubishiOneni huyu msoma taarifa,
Mbolea sehem gan hiyo inauzwa elfu Sabini??
Hili lote ni picha linalotengenezwa, ili uonekane Dkt Bashiru hana maana.
DKT BASHIRU, SONGA MBELE
Ni kawaida, Ukweli Mmoja, hupigwa na Mauongo zaidi ya buku.
Walakini, ukweli ni ukweli, na hushinda.
Tunakupenda na tunakuamini Dkt Bashiru, endelea kusimamia Falsafa zako na uwasameee wanyonge.
Ya ndugai yalianza hivihiviHuu ujinga unamwisho wake,acha Wajidanganye, tena wawaandae nchi nzima hao mamluki wao, kifupi daganya toto yao imefikia mwisho.
Hili lote ni picha linalotengenezwa, ili uonekane Dkt Bashiru hana maana.
DKT BASHIRU, SONGA MBELE
Ni kawaida, Ukweli Mmoja, hupigwa na Mauongo zaidi ya buku.
Walakini, ukweli ni ukweli, na hushinda.
Tunakupenda na tunakuamini Dkt Bashiru, endelea kusimamia Falsafa zako na uwasameee wanyonge.
Oneni huyu msoma taarifa,
Mbolea sehem gan hiyo inauzwa elfu Sabini??
wanasema mama amewafuta machozi... sasa tuwaulize aliewaliza ni nani?Bob ,kazungukwa na walamba Asali, watu wanaojali matumbo Yao kwanza.
Hili lote ni picha linalotengenezwa, ili uonekane Dkt Bashiru hana maana.
DKT BASHIRU, SONGA MBELE
Ni kawaida, Ukweli Mmoja, hupigwa na Mauongo zaidi ya buku.
Walakini, ukweli ni ukweli, na hushinda.
Tunakupenda na tunakuamini Dkt Bashiru, endelea kusimamia Falsafa zako na uwasameee wanyonge.
Tuendelee kumtia Nguvu Huyu Kiongozi wetu.Go Bashiru Go Bashiru
Unaambiwa bado tunapambanaWakati kina Nyerere wanatafuta uhuru huko Uingereza Malkia Elizabeth aliwaambia ukweli mchungu unaouma na kuishi mpaka sasa@
"Mwafrika bado hajaweza kujitawala"
Nahapo amepiga msumari Mmoja tu.Bashiru is so powerfu.
Hakika tendwe na Bashiru.
Walamba asali waandamini wanakorogeka huko.