Bashiru is so powerfu.

Hakika tendwe na Bashiru.

Walamba asali waandamini wanakorogeka huko.
 

Nina UHAKIKA wa % nyingi tu,kuwa wengi wa hao "waandamanaji " hata kusikia kile alichokiongea Dk Bashiru hawajakisikia,ila wapo hapo 'kuandamana'
 
Msoma lisala anasemazamani walikuwa wanapata mbolea kwa laki na nusu sasa wanapata kwa sabini huyo anaye mwambia ajiulize hivi zamani zipi? Rais alikuwa nani? Si huyo huyo? Akili za kuambiwa changanya na zako

Hahaha ccm bwana Kwa maigizo dah
 
Manyara wanalima nini huko kukame kila kona

Ati wanasiasa wanawaonea wivu wakulima🤣
 
Hahahahaha huyo msoma risala anasema zamani sijui zamani gani? Hahahaha sasa sijui hajui kuwa Samia ndio alipandisha bei ya mbolea? Hahahaha[emoji23][emoji23][emoji23]

Msoma risala lazima alisoma na Nape hahaha
 
Manyara mvua zinanyesha Kwan?
 
Tuwaige wakulima HEWA kuandaa maandamano kupinga mgao wa Umeme!!
 
Wakati kina Nyerere wanatafuta uhuru huko Uingereza Malkia Elizabeth aliwaambia ukweli mchungu unaouma na kuishi mpaka sasa@

"Mwafrika bado hajaweza kujitawala"
Unaambiwa bado tunapambana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…