Wakulima Manyara wamuunga mkono Rais Samia
Ahsante rais mtarajiwa Ali bashiru kakulwa kwa kutusemea sisi wakukima.Endelea kutoa nondo ili chief hangaya ajirekebishe na mambo ya hovyo anayoyafanya
Hakika, Huyu Bashiru awe Mwenye Afya njema.

Uwepo wake Ndani, nabado anawanyoosha , nijambo la msingi sana
 
Sasa mkulima havai kaunda suti ila wewe bado una unamawazo ya kizamani kwamba mkulima awe hovyohovyo lakini huu ni utawala wa Rais Samia Suluhu wakulima ndio matajiri sasa
Sio mkulima huyo, amesafiri kutoka pale Feri.
 
Hayo mabango waliprinti wapi hapo kijijini! Siku zote uongo ufanane na ukweli, pia ni lini walifanya na kupata kibali cha kuandamana ili wampongeze mama! CCM uongo wa kizamani ulipitwa na wakati kwani huamsaidii mtu.

Hati ya bango la chini ni maarufu sana kwa wahandisi wa michoro!! Haya mabango yameandikwa na watu wengine maofisini na walioyabeba ni wengine barabarani!!
 
Mkulima??
JamiiForums-417638460.jpg
 
kwa bajeti hii ya kilimo wakulima wana kila haki ya kumshukulima mama maana gharama za kilimo zimepungua hii haihusiani na Bashiru maana sisi watanzaia wazalendo hatuyumbishwi
Hahahahah ndugu uko sawa kweli? Wewe unaishi Tanzania hii kweli? Au mimi sijakuelewa?
 
Back
Top Bottom