n-propanol
JF-Expert Member
- Apr 7, 2019
- 5,349
- 7,000
Ndo kwanza mwenzio yupo huko anapiga ngonjera tuSasa hii si mpaka rais anajua kabisa ni watu wamepewa script 😂😂
Rais Samia ameipaisha nchi kiuchumi na maendeleo kwa wanaopinga ushahidi huu hapa, mkulima anatumia zana za kisasa kulimia kama picha inavyoonesha, anaupiga mwingi.Hili lote ni picha linalotengenezwa, ili uonekane Dkt Bashiru hana maana.
DKT BASHIRU, SONGA MBELE
Ni kawaida, Ukweli Mmoja, hupigwa na Mauongo zaidi ya buku.
Walakini, ukweli ni ukweli, na hushinda.
Tunakupenda na tunakuamini Dkt Bashiru, endelea kusimamia Falsafa zako na uwasameee wanyonge.
Mpuuuz huyu jamaaaOneni huyu msoma taarifa,
Mbolea sehem gan hiyo inauzwa elfu Sabini??
Tumtie moyo ili iweje ?Wakulima lazima tumtie moyo Rais wetu
Bei ya mbolea kwenye soko la Dunia ni kubwa kiasi kwqnba bila ruzuku wakulima wasingeweza kulama mfano DAP $1019 per ton na ikiwa CIF Dar es sa $1215 equivalent to 140 nani mkulima.angeweza
Muwe mnampa HEKO mtu akifanya vyema
Pumbavu wewe,Kaka ww n mkulima bei ya mbolea ungeiweza Mzee
UREA CIF Dar es salaam unajua bei yake au unaongea tuu huyu mama mumshukuru sana mngekufa njaa masikini nyie