Wakulima wa Parachichi kupata fursa ya kuuza bidhaa hiyo katika soko la China

Wakulima wa Parachichi kupata fursa ya kuuza bidhaa hiyo katika soko la China

Chagu wa Malunde

JF-Expert Member
Joined
Jul 11, 2015
Posts
8,734
Reaction score
5,750
Wakulima wa Parachichi kupata fursa ya kuuza bidhaa hiyo katika soko la China kufuatia uamuzi wa Kampuni kubwa ya ununuzi wa mazao ya Yihai Kerry ya China kuanza kununua parachichi kuanzia msimo ujao. Kampuni hiyo hivi sasa inaongoza kwa kununua Ufuta unaoingia katika soko la China kutokea Tanzania. Taarifa hiyo imetolewa leo jijini Beijing katika Mkutano wa Ujumbe wa Yihai Kerry na Balozi
@MbelwaK
Fq18zAvaAAENHHZ.jpg
 
Mbona korosho zinachukuliwa kwa bei sawa na bure mikoa ya kusini??
 
huyu changu wa malunde ni miongoni mwa mashabiki wakubwa wa kiongozi fashist aliyewahi kuiongoza/kuitawala Tanzania kama mali yake 2015-2021
mungu aliamua ugonvi (Nape)
 
Back
Top Bottom