Wakulima wa Parachichi kupata fursa ya kuuza bidhaa hiyo katika soko la China kufuatia uamuzi wa Kampuni kubwa ya ununuzi wa mazao ya Yihai Kerry ya China kuanza kununua parachichi kuanzia msimo ujao. Kampuni hiyo hivi sasa inaongoza kwa kununua Ufuta unaoingia katika soko la China kutokea Tanzania. Taarifa hiyo imetolewa leo jijini Beijing katika Mkutano wa Ujumbe wa Yihai Kerry na Balozi @MbelwaK
huyu changu wa malunde ni miongoni mwa mashabiki wakubwa wa kiongozi fashist aliyewahi kuiongoza/kuitawala Tanzania kama mali yake 2015-2021
mungu aliamua ugonvi (Nape)
huyu changu wa malunde ni miongoni mwa mashabiki wakubwa wa kiongozi fashist aliyewahi kuiongoza/kuitawala Tanzania kama mali yake 2015-2021
mungu aliamua ugonvi (Nape)