ngoshwe
JF-Expert Member
- Mar 31, 2009
- 4,131
- 937
Enzi zile duh........raha,
Kwenye mchakamchaka ni saa kumi usiku...... kuwahi namba, Hakuna kupiga kelele darasani, mambo ya table (hesabu za kuzidisha za kushtukizwa na teacher)....kumi na mbili mara sitaaaaaa mwl anakulamba fimbo mpaka utoe jibu.
Gwaride kwa filimbi:
Baba paka aliyesema.....
sisi hapa, ni watoto wadogo, twajifunza siasi ya ujamaaa, mwalimu wetu katfundisha adabu na heshima mbele ya wazaia wetu!.......
Oh, vijana, vijaaaana, vijana,vijana tayari, ..kulitumikia, taifa, taifa Tanzania, oh Walimu.......
Nyerere yupo ukiona kundi la siasa, Nyerere yupo,...Kawawa yupo......nk
Sisi tunataka kuwasha mwenge, tunataka kuwasha mwenge,
Naapana naahidi mbele ya chama,
Naipenda sana shule yetu
shule yetu imejengwa kilimani
Azimio la Iringa, lasema siasa ni kilimo, wananchi tushike majembe tukalime, tupate mazao bora.
Tumeuona mpilipili na maua yake ......
Ahaa, chama cahetu cha mapinduzi cha jenga nchi, Nyerere ahaaaa, Karume cha jenga nchi...
Nyimbo za mchakamcha, darasani na kuhamasishana
Iddi Amiri akifa, mimi siwezi kulia,ntamtupa kagera awe chakula cha mamba.
Mwenge huo mwenge.....mbio mbio
twende tukawinde leeeeo, tukawindeee vipepeo
Hasiependa shule ni mjinga kabisa
Kikojozi na nguo twaichoma moto!
Baba yake Juma ametia vilaka matakoni mwake vinauluzana umekuja lini....
Kwaya:
Karibu sana shuleni kwetu mtukufu Mkuu wetu wa Mkoa,
Ngonjera:
Hodi hodi uwanjani,
Vitabu:
Juma na Roza
Kalumekenge
Hadithi inayokuja ni ya sungura sikia
siku ya gulio Katelelo
Kibanga ampiga Mkoloni
Brown ashika tama
Safari yenye mkosi
Nondo mla watu
Maarifa
Barua za mapenzi zinachorwa Mkuki na moyo, unaanza na "Kwako Dada Mpendwa..."
Barua za mapenzi zinafichwa kwenye mikebe
Barua za mapenzi zikipatikana zinasomwa mstarini.
kumbebea mwalimu maembe
kumpelekea mwalimu misigo yake kwa demu
Kuchunguliwa wanafunzi wa kike wakiwa ****** au kwa vioo
Kazi za nje
Kumwagilia Busatan za shule
Kufyatua tofari
Kuja na nyasi shuleni
kuleta maji kumwagia viunga vya shule kuondoa vumbi
kulima mashamba ya Mwalimu, DRDD, Mkuu wa Wilaya nk.
Kutoka shule
sasa, sasa saa ya kwenda kwetu, kwaheri mwalimu kwaheri tutaonana keshoooooo!
Kwenye mchakamchaka ni saa kumi usiku...... kuwahi namba, Hakuna kupiga kelele darasani, mambo ya table (hesabu za kuzidisha za kushtukizwa na teacher)....kumi na mbili mara sitaaaaaa mwl anakulamba fimbo mpaka utoe jibu.
Gwaride kwa filimbi:
Baba paka aliyesema.....
sisi hapa, ni watoto wadogo, twajifunza siasi ya ujamaaa, mwalimu wetu katfundisha adabu na heshima mbele ya wazaia wetu!.......
Oh, vijana, vijaaaana, vijana,vijana tayari, ..kulitumikia, taifa, taifa Tanzania, oh Walimu.......
Nyerere yupo ukiona kundi la siasa, Nyerere yupo,...Kawawa yupo......nk
Sisi tunataka kuwasha mwenge, tunataka kuwasha mwenge,
Naapana naahidi mbele ya chama,
Naipenda sana shule yetu
shule yetu imejengwa kilimani
Azimio la Iringa, lasema siasa ni kilimo, wananchi tushike majembe tukalime, tupate mazao bora.
Tumeuona mpilipili na maua yake ......
Ahaa, chama cahetu cha mapinduzi cha jenga nchi, Nyerere ahaaaa, Karume cha jenga nchi...
Nyimbo za mchakamcha, darasani na kuhamasishana
Iddi Amiri akifa, mimi siwezi kulia,ntamtupa kagera awe chakula cha mamba.
Mwenge huo mwenge.....mbio mbio
twende tukawinde leeeeo, tukawindeee vipepeo
Hasiependa shule ni mjinga kabisa
Kikojozi na nguo twaichoma moto!
Baba yake Juma ametia vilaka matakoni mwake vinauluzana umekuja lini....
Kwaya:
Karibu sana shuleni kwetu mtukufu Mkuu wetu wa Mkoa,
Ngonjera:
Hodi hodi uwanjani,
Vitabu:
Juma na Roza
Kalumekenge
Hadithi inayokuja ni ya sungura sikia
siku ya gulio Katelelo
Kibanga ampiga Mkoloni
Brown ashika tama
Safari yenye mkosi
Nondo mla watu
Maarifa
Barua za mapenzi zinachorwa Mkuki na moyo, unaanza na "Kwako Dada Mpendwa..."
Barua za mapenzi zinafichwa kwenye mikebe
Barua za mapenzi zikipatikana zinasomwa mstarini.
kumbebea mwalimu maembe
kumpelekea mwalimu misigo yake kwa demu
Kuchunguliwa wanafunzi wa kike wakiwa ****** au kwa vioo
Kazi za nje
Kumwagilia Busatan za shule
Kufyatua tofari
Kuja na nyasi shuleni
kuleta maji kumwagia viunga vya shule kuondoa vumbi
kulima mashamba ya Mwalimu, DRDD, Mkuu wa Wilaya nk.
Kutoka shule
sasa, sasa saa ya kwenda kwetu, kwaheri mwalimu kwaheri tutaonana keshoooooo!