FirstLady1
JF-Expert Member
- Jul 29, 2009
- 16,789
- 5,401
mzee ELOWAI huwa ni mbaya kwa lediiz!
mara nyingi ndizo siku wanazivunjiwa vikombe vyao!......
Geoff hebu tuliza mzuka wako ..Primary unavunja kikombe labda miaka hii ya 2000 binamu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mzee ELOWAI huwa ni mbaya kwa lediiz!
mara nyingi ndizo siku wanazivunjiwa vikombe vyao!......
Firstlady vipi siku ya picnic ya darasa la saba ulivaa nini wakati huo - vipi disco lilikuwaje?
nakumbuka nilifungua mziki na mwalimu mmoja wa kike - mwalimu Agwene na wimbo wa -----
Siwezi kuuuwa mtu mamaaa dhambi kwa mungu mamaeee, shauri yakooo, shauri yako eeee...... sijui kama watu wanaujua
Nakumbuka tulikuwa wakakamavu sana. Hebu fikiria, tulikuwa tuna kamchezo kahatari sana kakutumia matairi ya magari(used), unajikunja kwenye tairi,unasukumwa kwenye kamamteremko hivi,halafu tairi ikianza kuongeza mwendo,unachomoka nje kishujaa. Ole wako ukosee taiming ya kuchomoka. Just imagine kitakachotokea. It was a very risk game but we enjoyed it.
nilikuwa na rafiki mmoja mmama kweli wakati huo alikuwa ananipenda sana aliniazima nguo ya njano na heleni kuuubwa za njano ..nitascan vipicha vyangu nikutumie tunatoka mbali uone hiyo nguo ya kuazima miaka hiyo...
HEHEHE!mzee unaona kama ''milango imefunguliwa''......mkw wa n'tu huyo..SHAURILO!..MPIGIE SIMU LEMA AKWAMBIE YALIYOMKUTA...!festiledi nae ni ''mtoa roho''naisubiria kwa hamu...
HEHEHE!mzee unaona kama ''milango imefunguliwa''......mkw wa n'tu huyo..SHAURILO!..MPIGIE SIMU LEMA AKWAMBIE YALIYOMKUTA...!festiledi nae ni ''mtoa roho''
HEHEHEHE!ha ha haaa duh - mbona unaniogopesha Geoff, picha tu za utotoni kakaaa- very funy.
Unanikumbusha tena tulivyokuwa tunatembea na vioo vidogo mfukoni, wakati wa ukaguzi msitarini unakiangusha unakisuma kwa miguu hadi kati ya miguu ya dem....then unacheki pichaa --LIVE
Sooo ukikamatwaaa bwaana......
Nyumbani mama anagomba mbona vioo vyake vinapotea kumbe sisi tulikuwa na mpango mkakati..... ( Strategic plan ya kideo cha bure shuleni)
HEHEHEHE!
hili la kioo had leox-pin analipraktisi kazini kwake
hahahah nyie acheni utaniHEHEHEHE!
hili la kioo had leox-pin analipraktisi kazini kwake
Mabraza men wa enzi hizo walikuwa wakivaa taugh boot aina ya BENQ na raba za kina Ken Mkapa na suruali za LEGGS wakati kina FirstLady wa enzi hizo walikuwa wanatoka na raba za Leso na magauni yenye mikanda ya vipepeo bila kusahau sie wagumu tulikuwa tunatune Kung-fu shoez teh teh
hahahah nyie acheni utani
kwenye darasa langu mimi tu ndiye nilikuwa na kandambili wengine pekupeku, wakati wa kwenda nyumbani nazibeba mikononi zisichafuke matope.
Duh! Hiyo kiboko. Kuna shule moja ya msingi niliwahi kusoma kwa muda kijijini alikokuwa anaishi bibi yangu. Huko wasichana walikuwa wanakuja wamejifunga migolole (sio khanga). Yaani unakuta mwanafunzi ana nguo moja tu, hiyo hiyo ni ya shule na hiyo hiyo ya nyumbani. Hakuna unifomu.
Mimi na dada yangu tulikwenda kwenye ile shule tukiwa na unifomu na viatu. Dada yangu akapewa u-dada mkuu kwa kuwa alikuwa madarasa ya juu...mimi darasani kwetu (la pili) nikapewa u-monita!
mabraza men wa enzi hizo walikuwa wakivaa taugh boot aina ya benq na raba za kina ken mkapa na suruali za leggs wakati kina firstlady wa enzi hizo walikuwa wanatoka na raba za leso na magauni yenye mikanda ya vipepeo bila kusahau sie wagumu tulikuwa tunatune kung-fu shoez teh teh