Wakurugenzi wapya walioteuliwa watakiwa kuripoti TAMISEMI wakiwa na CV pamoja na vyeti vyao

Utaratibu wa sasa hautendi haki.
Hautoi fursa sawa kwa watanzania wote wenye Sifa kupata fursa ya kutumikia Taifa lao.

Ni wale ambao ni ndugu na wanaojulikana na Rais na wasaidizi wake tu ndio wanapata huo upendeleo.

Hii si sawa hata kidogo.

Actually uwezekano wa kupata watu wasio mahiri na Sifa ni mkubwa sana ambapo itaenda kuchelewesha maendeleo ya nchi.

Katiba katiba .
 
Vetting ilitumika kadi ya UVCCM na ndio ilikuwa na nguvu,Leo vyeti vya taaluma,uzoefu je?
Samahani ndgu, naomba kufahamu hivi mfano mtumishi akifanyiwa vetting ni lazima kuteuliwa? Au anawezafanyiwa vetting na bado asiteuliwe wala kupewa nafasi mpya ya kazi/utumishi? Naomba kufahamu
 
Wenzetu Kenya kianzia viongozi wajuu nafasi zinatangazwa publicly na watu wenye Sifa wanaomba na mchakato wa wazi kufanyika wa usaili na hatimae mshindi kutangazwa.

Mfano IGP, Judges n.k
 
Siku hizi ni tofauti.. Kwanza uteuzi kisha ndio vetting .. Usishangae baada ya wiki wengine wakatenguliwa
Wacha wivu. Kama ni kukurupuka tu mbona askofubagonza hajateuliwa si ana PhD ya mormons? Ae wewe, mbona hukubahatisha?
 
Hapo sasa!

Sent from my TECNO LC6 using JamiiForums mobile app
 
Siku hizi ni tofauti.. Kwanza uteuzi kisha ndio vetting .. Usishangae baada ya wiki wengine wakatenguliwa
Hv Ded aliyekuwepo wa Chalinze vp ,m nilikuwa namuona jembe alafu nashangaa simuoni.
 
CV ya nini ikiwa mliwateua baada ya kufanya vetting?
Ndio mjue tunapomkosoa huyu mama yenu hatukosoi kwa bahati mbaya bali tunamaanisha dhahiri kwamba uwezo wake wa kuongoza nchi ni mdogo
 
Hawa hawaendi kuwa DEDs hawa ni makala wa uchaguzi kuhakikisha ccm inashinda.
 
Ata Katibu Mkuu kiongozi aliteuliwa akiwa Airport na Rais alisema alikuwa hamjui😂😂
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…