kama kapteni wao wa huko aliyetuma madogo kumfirimba yule binti.Hapo chooni lazima waimbe Aleluya 🤣🤣
Ndiomana watu wa kabila hilo wana hasira muda wote, wanakula vitu vya ajabu sana.!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kama kapteni wao wa huko aliyetuma madogo kumfirimba yule binti.Hapo chooni lazima waimbe Aleluya 🤣🤣
Ndiomana watu wa kabila hilo wana hasira muda wote, wanakula vitu vya ajabu sana.!!
Acha uoga wewe.unaona upo mahala pake sio
Nieleweshe basi, wadada wa kikurya mna nafasi yenu ya pekee kwangu ☺Ungeielewa Usinge thubutu kusema niendelee 😂😂😂
Pm imejaa mkuu, sorry for that, may be nafasi ikitokea.Mkuu please naomba nifungulie pm
Huu ugali kwakweli nimeupenda sana last week nilikuwa Nyamongo nimeula ni mtamu sana na unashibisha kwakweli.