Lamomy
JF-Expert Member
- Sep 4, 2023
- 25,425
- 59,309
Jirani zimekuwa bagia 🤣🤣🤣Kweli bado nina vitu vingi vya kujaribu,. Hivi ukiutia kwenye mafuta huo hauwi bagia kwelu?
Uchinjwe leo nanenane
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jirani zimekuwa bagia 🤣🤣🤣Kweli bado nina vitu vingi vya kujaribu,. Hivi ukiutia kwenye mafuta huo hauwi bagia kwelu?
😂😂😂, Ndio wazo la kwanza lililonijia kichwani baada ya kuniambia sio maandaziJirani zimekuwa bagia 🤣🤣🤣
Uchinjwe leo nanenane
Nadhani wao wanasikia ladha ndiyo maana wanaukula🤣🤣🤣 na ladha pia hauna??
Ndiomana kurya wakifika dar hawataki kurudi kwao
Sio maandazi wenyewe wanasema ndio chakula chao kizuri km pilau vile linavyoliwa siku za sikukuu 🤣🤣🤣Tizama vizuri picha, hayo ni mandazi.
Ingelikuwa ni ugali lingelikuwa ni fungu moja tu limesimikwa hapo kati kati kama mlima kilimanjaro
😂😂😂😂🤣🤣🤣 Wanakula vitu vya ajabu, unahisi km unakula mivi
Hauna ladha ni njaa tu 😹😹😹Nadhani wao wanasikia ladha ndiyo maana wanaukula
ephen_ fursa hii 😂😁😁😁Ewe mwanamke kwanini uteseke na maisha wakati Freemasonry ipo kukutajirisha.
Uwe na kipaji au kazi yako binafsi
Uwe na umri miaka 25 - 45
Uwe jinsia ya kike
Uwe tayari kutoa sadaka ya mbuzi wa kafara
Baadaya kujiunga utapewa mtaji wako shilingi bilioni 2.5 za Tanzania.
Karibu Sasa ubadilishe maisha yako.
Mwezi wa 10 tunasajili wanawake tu karibuni wananchi.
View attachment 3064104
Hiyo ni yako, mimi naomba nijitoe katika statement hiyo.Hauna ladha ni njaa tu 😹😹😹
🤣🤣 unawaogopa?? Hawakupigi bana kwanza hata kukujua hawakujuiHiyo ni yako, mimi naomba nijitoe katika statement hiyo.
Isije ikawa kuna mkurya alikuwa anakupiga dudu; akakushit ukaanza kuwakandia. Maana huwa hamueleweki nyie🤣🤣🤣 Wanakula vitu vya ajabu, unahisi km unakula mivi
Umefika mbali sana aisee!!Isije ikawa kuna mkurya alikuwa anakupiga dudu; akakushit ukaanza kuwakandia. Maana huwa hamueleweki nyie
Una maana gani!Umefika mbali sana aisee!!
Kwahiyo waliowashngaa wote na kuwakandia nao walikuwa na mahusiano nayo??
Kalye mpali
Nimekuachia mjadala mimi nimeshindwa 😹Una maana gani!
Hapana hatuwezi kupunguza umri, sisi ni jumuiya kubwa duniani sheria zetu ni msimamo.Punguza umri hapo mkuu,. Watu tunataka hela🤒
basi sawa😔😔Hapana hatuwezi kupunguza umri, sisi ni jumuiya kubwa duniani sheria zetu ni msimamo.
Ajichanganye atapigwa ban 🚫 badala ya ngumi ✊Hahaha ugali huu kupika lazima uwe una nguvu mikononi ndio maana mama wa kikurya akikupiga kofi unadondoka hapo hapo
We jamaa ni muongo sana. Maandazi🤣Tizama vizuri picha, hayo ni mandazi.
Ingelikuwa ni ugali lingelikuwa ni fungu moja tu limesimikwa hapo kati kati kama mlima kilimanjaro
Mtama ni kama mahindi tu tofauti ni rangi.Hapo chooni lazima waimbe Aleluya 🤣🤣
Ndiomana watu wa kabila hilo wana hasira muda wote, wanakula vitu vya ajabu sana.!!
Ngoreme huwa wanakula mtama bika kuchanganya.Hawamix chochote. Nilipoletewasiku moja nikiwa Ngorime, nilishabikia nikidhani ni ulezi, lol, kutafuna haupiti katika koo. Si kitu rahisi mpaka uwe umezoea. Ni kama Kenke kama unaifahamu kwa watu wa West Africa