Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Enhee endeleaIbyakulya ibiharo sana
Hano ndagiyekino hakuna umusacha waku dar es salaam uliwonswi guntebya kiligyoswe😂😂😂
😂Mtu unakulaje hivyo jamani ndo maana hasira ni mingi....
Hayo ni mabumunda au maandazi? Au ni ugali wa ulezi.........msaada kidogo muraaa
Ni ugali wa mtama si udagaHahaha tunaita ugali wa udaga, hio ya kijani hapo ni ndio kichuri, hizo nyama kuna za mbuzi na ng'ombe.
Mtama unachanganywa na udaga.Ugali una rangi ya kutisha 😹😹
Walitumia unga wa ulezi
Ugali wa udaga pekee hauna hiyo rangi.Hahaha tunaita ugali wa udaga, hio ya kijani hapo ni ndio kichuri, hizo nyama kuna za mbuzi na ng'ombe.
Hapo ka
Hapo hakuna jipya!
Tizama vizuri picha, hayo ni mandazi.Ugali una rangi ya kutisha 😹😹
Walitumia unga wa ulezi
Ungeielewa Usinge thubutu kusema niendelee 😂😂😂Enhee endelea
Hapo chooni lazima waimbe Aleluya 🤣🤣Mtama unachanganywa na udaga.
Mboga hapo ni nyama na hiyo kama mchuzi pembeni ni kichuri.
Ulezi unakuwa na weupe kama unavyoona uji wa ulezi wenye maziwa.
🤣🤣🤣 Wanakula vitu vya ajabu, unahisi km unakula miviUtafikiri walitumia udongo 😂😂
Mmh mbaneIbyakulya ibiharo sana
Hano ndagiyekino hakuna umusacha waku dar es salaam uliwonswi guntebya kiligyoswe😂😂😂
Ohhh!! Ndiomana wote wana misuli wake kwa waume.!!Si ulezi ni Mtama!
Hiyo rangi nikajua ulezi, kumbe mtama wanamix na vitu gani sijui!!Hivi ulezi hauwagi na vile vidude dude?,. Ugali unalika kweli
Kweli bado nina vitu vingi vya kujaribu,. Hivi ukiutia kwenye mafuta huo hauwi bagia kweli?Hiyo rangi nikajua ulezi, kumbe mtama wanamix na vitu gani sijui!!
Hawamix chochote. Nilipoletewasiku moja nikiwa Ngorime, nilishabikia nikidhani ni ulezi, lol, kutafuna haupiti katika koo. Si kitu rahisi mpaka uwe umezoea. Ni kama Kenke kama unaifahamu kwa watu wa West AfricaHiyo rangi nikajua ulezi, kumbe mtama wanamix na vitu gani sijui!!
🤣🤣🤣 na ladha pia hauna??Hawamix chochote. Nilipoletewasiku moja nikiwa Ngorime, nilishabikia nikidhani ni ulezi, lol, kutafuna haupiti katika koo. Si kitu rahisi mpaka uwe umezoea. Ni kama Kenke kama unaifahamu kwa watu wa West Africa