Wakuu acheni michepuko

Wakuu acheni michepuko

MWANAUME SIKIA HII UWE MUME BORA
MWANAUME NGUVU ZAKO NI KWA AJILI YA MKE MMOJA SIYO WANAWAKE WOTEE [emoji116]

MITHALI 31 :3
USIWAPE WANAWAKE NGUVU ZAKO :

MUNGU alimpa Mwanaume Mke huyu mmoja kwenye bustani ya EDENI. Huyo wa pili anaye fanya ndoa aina Amani ameletwa na shetani kushindana na Mungu. MWANZO 2:18 - 25

SAMSONI alikuwa na NGUVU nyingi lakini kwa kuwa alipenda MAKAHABA akamvaa DERILA kumbe hakuja kwa mapenzi alikuja kuchukua nguvu za SAMSONI.
WAAMUZI 16:1
SAMSONI akaenda Gaza akaona huko mwanamke KAHABA akaingia kwake.

WAAMUZI 16:6
DERILA akamwambia SAMSONI Tafadhali uniambie asili ya nguvu zako nyingi na jinsi uwezavyo weza kufungwa ili uteswe.
SAMSONI kwa kubembelezwa na Derila akimdanganya anampenda alitoa nguvu zake naatimae Wafilisti waliomtuma Derila wakamuua SAMSONI Waamuzi 16:15-23

NINI UNAJIFUNZA HAPO [emoji115]MKE WAKO NDIO ANATAKIWA APATE NGUVU ZAKO HAO WANAWAKE WAZURI UNAOWAONA SASA WAPO KAZINI WAMETUMWA NA SHETANI

KAKA ZANGU NA BABA ZANGU. MKE WAKO NI MZURI SANAA NA NDIO MANA ULIMUOA ACHA ZAMBI ITAKUUWA SHETANI YUPO KAZINI ANATUMIA WAREMBO. MBONA KABLA UJAOA UJAKUWA HIVYO? TAFAKARI SANAA MUNGU AKUKOMBOE KUPITIA ANDIKO HILI [emoji116]

MITHALI 18 :22
APATAYE MKE APATA KITU CHEMA NAYE AJIPATIA KIBALI KWA BWANA.
MUULIZE ANAYE MPENDA MKE WAKE KWELI NA ASIYE CHEPUKA AKUONYESHE MAFANIKIO YAO NDIO UTAAMINI KUWA NENO LA MUNGU NDIO USALAMA WAKO UBARIKIWE SANAA KAKA NA BABA [emoji113]

View attachment 2234655
Nimejaribu kupitia nyuzi zako zote ili nijue wewe ni mtu wa aina gani.

Lakini umetoa ushaur mzuri, asnte tumeupokea na Mungu atusaidie.!
 
Mwanaume atakae kubali kushauriwa na mwanamke nae ni mwanamke tu kilicho Baki waanze kuazimana Madera na vijola
 
HAKUNA JUSTIFICATION YA MWANAUME KUCHEAT KAMA UMEOA MWANAMKE ULIYEMKUTA NA BIKRA!!
 
I
Mwanaume sikia hii uwe mume bora

Mwanaume nguvu zako ni kwa ajili ya mke mmoja siyo wanawake wotee

Mithali 31 :3

Usiwape wanawake nguvu zako :

Mungu alimpa mwanaume mke huyu mmoja kwenye bustani ya edeni. Huyo wa pili anaye fanya ndoa aina amani ameletwa na shetani kushindana na mungu. Mwanzo 2:18 - 25

Samsoni alikuwa na nguvu nyingi lakini kwa kuwa alipenda makahaba akamvaa derila kumbe hakuja kwa mapenzi alikuja kuchukua nguvu za samsoni.

Waamuzi 16:1

Samsoni akaenda gaza akaona huko mwanamke kahaba akaingia kwake.

Waamuzi 16:6

Derila akamwambia samsoni tafadhali uniambie asili ya nguvu zako nyingi na jinsi uwezavyo weza kufungwa ili uteswe.

Samsoni kwa kubembelezwa na derila akimdanganya anampenda alitoa nguvu zake naatimae wafilisti waliomtuma derila wakamuua samsoni waamuzi 16:15-23

Nini unajifunza hapo mke wako ndio anatakiwa apate nguvu zako hao wanawake wazuri unaowaona sasa wapo kazini wametumwa na shetani

Kaka zangu na baba zangu. Mke wako ni mzuri sanaa na ndio mana ulimuoa acha zambi itakuuwa shetani yupo kazini anatumia warembo. Mbona kabla ujaoa ujakuwa hivyo? Tafakari sanaa mungu akukomboe kupitia andiko hili

Mithali 18 :22

Apataye mke apata kitu chema naye ajipatia kibali kwa bwana.

Muulize anaye mpenda mke wake kweli na asiye chepuka akuonyeshe mafanikio yao ndio utaamini kuwa neno la mungu ndio usalama wako ubarikiwe sanaa kaka na baba

View attachment 2234655
Ili kidogo hilo tuweze kulitekeleza je una bikra.? Ukute unaoa mwanamke asha danga weee ashatoa mimba zaidi ya 2 afu anataka awe wako peke yake. ? Hakuna hakuna
 
Bikra zenyewe hamna then mnataka kuolewa ndoa ya mke mmoja mkafie Mbali yaani mdanga weee dk 80 mnakuja na mistari ya bibilia wakati hata kanisani hamuendi.
Wewe unayoo hata nguvu zakiume wewe hauna unajiona kusema wenzako wewe unaendaga kanisani labda kanisa la mashetani.
Kwanini wewe huchepuki nyoo unajishaua na michubuo yako hiyo wai .

Unajifanya umeumba dunia na vyote vikavyo ndani yake wala nzi huwezi kukutia kuumba licha hawa uwachambuao
 
I

Ili kidogo hilo tuweze kulitekeleza je una bikra.? Ukute unaoa mwanamke asha danga weee ashatoa mimba zaidi ya 2 afu anataka awe wako peke yake. ? Hakuna hakuna
Mie biblia mnajishaua kisa wanawake wameshatoa sana kwenu bikra zote hakuna ndio maana munatudharau sasa mtukome sio wote na hatutaki mijadala ya kiboya hapa mbona nyie hamuna hayo madudu yenu yamepauka na kulegea kama milenda ya kiboya .

Halafu kingine siku hizi mkiweza hata round 1 labda mumekunywa viagra imeandikwa 5x
Lolote hakuna hapo unajishaua tu.
 
Wewe unayoo hata nguvu zakiume wewe hauna unajiona kusema wenzako wewe unaendaga kanisani labda kanisa la mashetani.
Kwanini wewe huchepuki nyoo unajishaua na michubuo yako hiyo wai .

Unajifanya umeumba dunia na vyote vikavyo ndani yake wala nzi huwezi kukutia kuumba licha hawa uwachambuao
Afu yupo kawaida sana muuza tende huyo
 
Wewe si ndio yule mdada kule kwenye simulizi ya yule jamaa wa mabomu kwamba siku hiyo ulikimbia nguo zikadondoka mbususu yote ikabaki nje nje?
 
Mwanaume atakae kubali kushauriwa na mwanamke nae ni mwanamke tu kilicho Baki waanze kuazimana Madera na vijola
Mie biblia mnajishaua kisa wanawake wameshatoa sana kwenu bikra zote hakuna ndio maana munatudharau sasa mtukome sio wote na hatutaki mijadala ya kiboya hapa mbona nyie hamuna hayo madudu yenu yamepauka na kulegea kama milenda ya kiboya .

Halafu kingine siku hizi mkiweza hata round 1 labda mumekunywa viagra imeandikwa 5x
Lolote hakuna hapo unajishaua tu
 
Back
Top Bottom