Wakuu acheni michepuko

Wakuu acheni michepuko

Halafu ngoja niwaambie kitu mtanisamehe watu humu seriously.
Wanaume wengi wametumika hadi siku mko chibis ukishika ile kitu huoni unaitafuta hamna hata yale mambo yao yamelegea viapple vimesinyaa vidogoo hadi basi .
Halafu kingine pia hawezi mambo kachokeana anakimbilia konyagi wai acheni uboya nyie mnajiona tu hata midomo imechakaa kama plastick.

Hamuwezi hata kumpa dada mimba mnamuwekea mdada hospitali hizo mbegu wala kitu chochote .
Mmechoshwa mpaka viinshu vimelambwa na wadada hadi vimesinyaa na nyie waja kupiga kelele huku wewee tulia tuli .
 
Halafu ngoja niwaambie kitu mtanisamehe watu humu seriously.
Wanaume wengi wametumika hadi siku mko chibis ukishika ile kitu huoni unaitafuta hamna hata yale mambo yao yamelegea viapple vimesinyaa vidogoo hadi basi .
Halafu kingine pia hawezi mambo kachokeana anakimbilia konyagi wai acheni uboya nyie mnajiona tu hata midomo imechakaa kama plastick.

Hamuwezi hata kumpa dada mimba mnamuwekea mdada hospitali hizo mbegu wala kitu chochote .
Mmechoshwa mpaka viinshu vimelambwa na wadada hadi vimesinyaa na nyie waja kupiga kelele huku wewee tulia tuli .

Kitulize bidada,,, inaonekana unakutana na vitoto kila wakati... hayo makasiriko ni nyeGe hizo.... hao watoto hawazitoi vizuri...
 
[emoji90][emoji90][emoji90] eti mwanamke mmoja, unahubiri au unaelezea dhehebu lako. Vitu vingine sio vya kuleta kwenye mitandao kama hii, peleka fb huko. Pambana na huyo wako wacha sisi tufurahie maisha na watoto huku
 
Mie biblia mnajishaua kisa wanawake wameshatoa sana kwenu bikra zote hakuna ndio maana munatudharau sasa mtukome sio wote na hatutaki mijadala ya kiboya hapa mbona nyie hamuna hayo madudu yenu yamepauka na kulegea kama milenda ya kiboya .

Halafu kingine siku hizi mkiweza hata round 1 labda mumekunywa viagra imeandikwa 5x
Lolote hakuna hapo unajishaua tu.
Msemee huyo wako ambae ana piga moja na kulala. Sawa wengine route ndefu. Wewe mwenyewe hapo ushabalaguzwa mpaka imeota sugu aka bwawa nani aoe na kujiwekea limit eti unatosha. Kaisome biblia vzr usisome maneno kadhaa. Biblia ilishasemaga mwanamke mpumbavu ataivunja ndoa yake yeye mwenyewe kwa mikono yake. Na pia biblia hiyo hiyo imetukataza kuoa au kuweka malengo na makahaba/wadangaji. Sasa sijui unaisemea biblia mpya au?. Inshort and clear bible imetukataza kuoa mwanamke muasherati yaani mwanamke malaya malaya big NO
 
Bikra zenyewe hamna then mnataka kuolewa ndoa ya mke mmoja mkafie Mbali yaani mdanga weee dk 80 mnakuja na mistari ya bibilia wakati hata kanisani hamuendi.
Gonga kuku huyo. Asante kwa kelb
20220421_143246.jpg


Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Mwanaume sikia hii uwe mume bora

Mwanaume nguvu zako ni kwa ajili ya mke mmoja siyo wanawake wotee

Mithali 31 :3

Usiwape wanawake nguvu zako :

Mungu alimpa mwanaume mke huyu mmoja kwenye bustani ya edeni. Huyo wa pili anaye fanya ndoa aina amani ameletwa na shetani kushindana na mungu. Mwanzo 2:18 - 25

Samsoni alikuwa na nguvu nyingi lakini kwa kuwa alipenda makahaba akamvaa derila kumbe hakuja kwa mapenzi alikuja kuchukua nguvu za samsoni.

Waamuzi 16:1

Samsoni akaenda gaza akaona huko mwanamke kahaba akaingia kwake.

Waamuzi 16:6

Derila akamwambia samsoni tafadhali uniambie asili ya nguvu zako nyingi na jinsi uwezavyo weza kufungwa ili uteswe.

Samsoni kwa kubembelezwa na derila akimdanganya anampenda alitoa nguvu zake naatimae wafilisti waliomtuma derila wakamuua samsoni waamuzi 16:15-23

Nini unajifunza hapo mke wako ndio anatakiwa apate nguvu zako hao wanawake wazuri unaowaona sasa wapo kazini wametumwa na shetani

Kaka zangu na baba zangu. Mke wako ni mzuri sanaa na ndio mana ulimuoa acha zambi itakuuwa shetani yupo kazini anatumia warembo. Mbona kabla ujaoa ujakuwa hivyo? Tafakari sanaa mungu akukomboe kupitia andiko hili

Mithali 18 :22

Apataye mke apata kitu chema naye ajipatia kibali kwa bwana.

Muulize anaye mpenda mke wake kweli na asiye chepuka akuonyeshe mafanikio yao ndio utaamini kuwa neno la mungu ndio usalama wako ubarikiwe sanaa kaka na baba

View attachment 2234655
Kwani Dellilah alikua mchepuko wa Samson?
 
Mwanaume sikia hii uwe mume bora

Mwanaume nguvu zako ni kwa ajili ya mke mmoja siyo wanawake wotee

Mithali 31 :3

Usiwape wanawake nguvu zako :

Mungu alimpa mwanaume mke huyu mmoja kwenye bustani ya edeni. Huyo wa pili anaye fanya ndoa aina amani ameletwa na shetani kushindana na mungu. Mwanzo 2:18 - 25

Samsoni alikuwa na nguvu nyingi lakini kwa kuwa alipenda makahaba akamvaa derila kumbe hakuja kwa mapenzi alikuja kuchukua nguvu za samsoni.

Waamuzi 16:1

Samsoni akaenda gaza akaona huko mwanamke kahaba akaingia kwake.

Waamuzi 16:6

Derila akamwambia samsoni tafadhali uniambie asili ya nguvu zako nyingi na jinsi uwezavyo weza kufungwa ili uteswe.

Samsoni kwa kubembelezwa na derila akimdanganya anampenda alitoa nguvu zake naatimae wafilisti waliomtuma derila wakamuua samsoni waamuzi 16:15-23

Nini unajifunza hapo mke wako ndio anatakiwa apate nguvu zako hao wanawake wazuri unaowaona sasa wapo kazini wametumwa na shetani

Kaka zangu na baba zangu. Mke wako ni mzuri sanaa na ndio mana ulimuoa acha zambi itakuuwa shetani yupo kazini anatumia warembo. Mbona kabla ujaoa ujakuwa hivyo? Tafakari sanaa mungu akukomboe kupitia andiko hili

Mithali 18 :22

Apataye mke apata kitu chema naye ajipatia kibali kwa bwana.

Muulize anaye mpenda mke wake kweli na asiye chepuka akuonyeshe mafanikio yao ndio utaamini kuwa neno la mungu ndio usalama wako ubarikiwe sanaa kaka na baba

View attachment 2234655
Ifike tu point wanawake mkubali nature wa mwanaume ni kuwa na wanawake zaidi ya mmoja. Hata hapo kwa jirani yako huoni Jogoo mmoja mitetea Kibao. Kaangalie hata channel za Wanyama utakuta dume mmoja linamiliki kundi la majike. It's nature madam usiumize kichwa saaaaana
 
Mwanaume sikia hii uwe mume bora

Mwanaume nguvu zako ni kwa ajili ya mke mmoja siyo wanawake wotee

Mithali 31 :3

Usiwape wanawake nguvu zako :

Mungu alimpa mwanaume mke huyu mmoja kwenye bustani ya edeni. Huyo wa pili anaye fanya ndoa aina amani ameletwa na shetani kushindana na mungu. Mwanzo 2:18 - 25

Samsoni alikuwa na nguvu nyingi lakini kwa kuwa alipenda makahaba akamvaa derila kumbe hakuja kwa mapenzi alikuja kuchukua nguvu za samsoni.

Waamuzi 16:1

Samsoni akaenda gaza akaona huko mwanamke kahaba akaingia kwake.

Waamuzi 16:6

Derila akamwambia samsoni tafadhali uniambie asili ya nguvu zako nyingi na jinsi uwezavyo weza kufungwa ili uteswe.

Samsoni kwa kubembelezwa na derila akimdanganya anampenda alitoa nguvu zake naatimae wafilisti waliomtuma derila wakamuua samsoni waamuzi 16:15-23

Nini unajifunza hapo mke wako ndio anatakiwa apate nguvu zako hao wanawake wazuri unaowaona sasa wapo kazini wametumwa na shetani

Kaka zangu na baba zangu. Mke wako ni mzuri sanaa na ndio mana ulimuoa acha zambi itakuuwa shetani yupo kazini anatumia warembo. Mbona kabla ujaoa ujakuwa hivyo? Tafakari sanaa mungu akukomboe kupitia andiko hili

Mithali 18 :22

Apataye mke apata kitu chema naye ajipatia kibali kwa bwana.

Muulize anaye mpenda mke wake kweli na asiye chepuka akuonyeshe mafanikio yao ndio utaamini kuwa neno la mungu ndio usalama wako ubarikiwe sanaa kaka na baba

View attachment 2234655
Pastor, umeeleweka vizuri.
 
Tatizo binadamu wa siku hizi ni wabishi sana...

Depal njoo nikupe nguvu zangu...
 
Unamzungumzia delila aliyeimbwa na kasim mganga au Kuna mwingine ajaye😂
 
Back
Top Bottom