Wakuu acheni michepuko

Nimejaribu kupitia nyuzi zako zote ili nijue wewe ni mtu wa aina gani.

Lakini umetoa ushaur mzuri, asnte tumeupokea na Mungu atusaidie.!
 
Mwanaume atakae kubali kushauriwa na mwanamke nae ni mwanamke tu kilicho Baki waanze kuazimana Madera na vijola
 
HAKUNA JUSTIFICATION YA MWANAUME KUCHEAT KAMA UMEOA MWANAMKE ULIYEMKUTA NA BIKRA!!
 
I
Ili kidogo hilo tuweze kulitekeleza je una bikra.? Ukute unaoa mwanamke asha danga weee ashatoa mimba zaidi ya 2 afu anataka awe wako peke yake. ? Hakuna hakuna
 
Bikra zenyewe hamna then mnataka kuolewa ndoa ya mke mmoja mkafie Mbali yaani mdanga weee dk 80 mnakuja na mistari ya bibilia wakati hata kanisani hamuendi.
Wewe unayoo hata nguvu zakiume wewe hauna unajiona kusema wenzako wewe unaendaga kanisani labda kanisa la mashetani.
Kwanini wewe huchepuki nyoo unajishaua na michubuo yako hiyo wai .

Unajifanya umeumba dunia na vyote vikavyo ndani yake wala nzi huwezi kukutia kuumba licha hawa uwachambuao
 
I

Ili kidogo hilo tuweze kulitekeleza je una bikra.? Ukute unaoa mwanamke asha danga weee ashatoa mimba zaidi ya 2 afu anataka awe wako peke yake. ? Hakuna hakuna
Mie biblia mnajishaua kisa wanawake wameshatoa sana kwenu bikra zote hakuna ndio maana munatudharau sasa mtukome sio wote na hatutaki mijadala ya kiboya hapa mbona nyie hamuna hayo madudu yenu yamepauka na kulegea kama milenda ya kiboya .

Halafu kingine siku hizi mkiweza hata round 1 labda mumekunywa viagra imeandikwa 5x
Lolote hakuna hapo unajishaua tu.
 
Afu yupo kawaida sana muuza tende huyo
 
Wewe si ndio yule mdada kule kwenye simulizi ya yule jamaa wa mabomu kwamba siku hiyo ulikimbia nguo zikadondoka mbususu yote ikabaki nje nje?
 
Mwanaume atakae kubali kushauriwa na mwanamke nae ni mwanamke tu kilicho Baki waanze kuazimana Madera na vijola
Mie biblia mnajishaua kisa wanawake wameshatoa sana kwenu bikra zote hakuna ndio maana munatudharau sasa mtukome sio wote na hatutaki mijadala ya kiboya hapa mbona nyie hamuna hayo madudu yenu yamepauka na kulegea kama milenda ya kiboya .

Halafu kingine siku hizi mkiweza hata round 1 labda mumekunywa viagra imeandikwa 5x
Lolote hakuna hapo unajishaua tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…