Weka BOQ tuone
Nakabana ili kipato kitoshe. Ila eneo lina nyumba ya kawaida tayariMbona kamebana sana space mkuu?
Si mbaya kupambania ndoto mzee, mungu akufanyie wepesi ndoto zitimie.Nateseka na ndoto mkuu. Eneo ni miguu 75 na 60. Naandaa Makazi ya kustaafia
Wee hujawahi pata raha ya kugegedana juu ghorofani π€£π€£π€£π€£Bora ujenge ya kawaida na pana
AmeeeeeenSi mbaya kupambania ndoto mzee, mungu akufanyie wepesi ndoto zitimie.
Kama eneo lina nyumba ya kawaida kwa nn usitafute enwo jingine kwa ajili ya hili ghorofaNakabana ili kipato kitoshe. Ila eneo lina nyumba ya kawaida tayari
Kwa nini nitafute eneo lingine wakati kiwanja ni kikubwa cha kusaza? Huoni kwamba hiyo nyumba iliyopo inanipunguzia mahitaji ya kujenga ghorofa kubwa?Kama eneo lina nyumba ya kawaida kwa nn usitafute enwo jingine kwa ajili ya hili ghorofa
Aisee.Jenga tu ya kawaida
JF mtu anaweza kuanzisha thd humu ya kuomba ushauri anunue Gari gani kisha wanamshauri hiyo hela si bora awekeze kwenye biashara.ila wabongo shkamoo, mtu anataka gorofa mnasema ajenge ya kawaida π
huwa nashangaa sana aisee hivi inakuaje hii kitaalamu au ndo tujumuishe kwenye mentohethJF mtu anaweza kuanzisha thd humu ya kuomba ushauri anunue Gari gani kisha wanamshauri hiyo hela si bora awekeze kwenye biashara.
ππππ
View attachment 2400223
View attachment 2400224
View attachment 2400225
Wakuu hata haka kanishinde? Nikiweka bajeti ya 70m kwa miaka mitatu si nakamaliza haka?
Mkuu wasome The Icebreaker na Litro hapo juu ili tuongee lugha mojaShida ako iwe gorofa tu au? Me nimejenga room mbili Moja masta, vyoo ya public ndani,jiko, dining, sebule yote kwa 30m
Hadi kupaua plus bati ndani rough, nondo dirishani ..haijaamiwa finishing hapo bado rangi ndani sakafu ..hicho kigorofa chako kitakula pesa zaidi
Screenshot tuma unimentionMkuu wasome The Icebreaker na Litro hapo juu ili tuongee lugha moja
Screenshot tuma unimention
kwa nyuma mkoa gani hyooo? 70m Kuna Mikoa unaishia lenta tuTuvyumba tuwili tu twakulala haina haja ya kuingia hasara kiasi hicho, hoyo 70 unaangusha mjengo wa chini vyumba hata vi4 tena wa maana saana, au mzee eneo dogo.
Kama ni ndoto yako siku moja ulale juu(uwe na ghorofa) sawa mkuu.
Mkuu unaweza niptia ramani ya hako kamjengoShida ako iwe gorofa tu au? Me nimejenga room mbili Moja masta, vyoo ya public ndani,jiko, dining, sebule yote kwa 30m
Hadi kupaua plus bati ndani rough, nondo dirishani ..haijaamiwa finishing hapo bado rangi ndani sakafu ..hicho kigorofa chako kitakula pesa zaidi