Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapana boss hao ni matapeli niamini mm, hiyo sms ilivyoingia imenishtua hata mm ikabidi nianze kuikagia hiyo profile. Hamnaga meta supporter wa hivyo. Kama huamini siku wamekufikia gusa link uone kitakachokutokeaHapo inabidi uwe makini mana Kuna sintofahamu kwenye faragha yako
Logo ya meta ameshatoa haipo Tena,, yani sms imeingia dp ikiwa na logo ya meta, sekunde chache logo ikatoweka, huoni kama ni muhuni tu huyo?Fananisha hvyo vichwa juu viwili (senderz) hyo whatsapp ina tick hyo yako inatumia logo ya meta vp hujastuka tu unavutiwa upoteze account yakoView attachment 3177630
Share link hapa tuone na sisi.Hapana boss hao ni matapeli niamini mm, hiyo sms ilivyoingia imenishtua hata mm ikabidi nianze kuikagia hiyo profile. Hamnaga meta supporter wa hivyo. Kama huamini siku wamekufikia gusa link uone kitakachokutokea