matunduizi
JF-Expert Member
- Aug 20, 2018
- 7,968
- 19,368
- Thread starter
- #21
Kule inabidi uwe mwarabu ili hiyo amani ikuhusu. Kuna rafiki yangu alikuwa huko kapewa show ya hatari hadi kakimbia mishahara yake karudi kwao mombasa kuuza nyanya magengeni.Kwa amani na utulivu katika nchi nilizowahi kutembelea, ya kwanza ni Saudi Arabia.
Nchi ambayo nilikuta watu wanaacha maduka wazi wakienda kusali na hakuna anaeiba.