Wakuu hivi kuna nchi nyingine bora kuishi duniani kama Tanzania?

Wakuu hivi kuna nchi nyingine bora kuishi duniani kama Tanzania?

Kwa uzoefu wangu mdogo, na nchi nyingi nimezijifunza kwa kusoma na kufuatilia maisha yao naona Tanzania licha ya madhaifu yetu ni sehemu bora sana.

Unaweza kwenda popote ukapokelewa utadhani mlifahamiana miaka mingi iliyopita.

Kama hauna ishu za kisiasa na ujanjaujanja maisha yako bomba sana.

Changamoto nyingi kama utazitatua mwenyewe mfano umeme ukafunga Solar au Backup Genset, Maji ukachimba kisima, etc unaishi vzr tu.

Nchi nyingine nashauri twendeni tukatalii tu, ila maisha ya bongo kama unajichanganya na wananzengo yako safi sana.


Nyie mliotembeatembea huko duniani kuna nchi gani bora zaidi ya hii bongo kiamani na mahusiano ya kijamii
Tanzania ni nchi bora kuishi ukiwa aina ya mtu mwenye sifa zifuatazo:
1. Mjinga asie jua haki zake.
2. Muoga na masokini asio panda mapambano
3. Alie ridhika na hali yake ya uchumi ata kama anaumia.
4. Mnafiki ambaye anaweza akaishi kwa unafiki unafiki kuchekea kila mtu hata kama umpendi
5. Mtu asie kua na exposure pamoja na elimu upo upo. Nk.
 
Tanzania ni nchi bora kuishi ukiwa aina ya mtu mwenye sifa zifuatazo:
1. Mjinga asie jua haki zake.
2. Muoga na masokini asio panda mapambano
3. Alie ridhika na hali yake ya uchumi ata kama anaumia.
4. Mnafiki ambaye anaweza akaishi kwa unafiki unafiki kuchekea kila mtu hata kama umpendi
5. Mtu asie kua na exposure pamoja na elimu upo upo. Nk.
Hahahahaha daa!!
 
Kwa uzoefu wangu mdogo, na nchi nyingi nimezijifunza kwa kusoma na kufuatilia maisha yao naona Tanzania licha ya madhaifu yetu ni sehemu bora sana.

Unaweza kwenda popote ukapokelewa utadhani mlifahamiana miaka mingi iliyopita.

Kama hauna ishu za kisiasa na ujanjaujanja maisha yako bomba sana.

Changamoto nyingi kama utazitatua mwenyewe mfano umeme ukafunga Solar au Backup Genset, Maji ukachimba kisima, etc unaishi vzr tu.

Nchi nyingine nashauri twendeni tukatalii tu, ila maisha ya bongo kama unajichanganya na wananzengo yako safi sana.


Nyie mliotembeatembea huko duniani kuna nchi gani bora zaidi ya hii bongo kiamani na mahusiano ya kijamii
Umefika Kongwa kiangazi kama hiki?
Au Tanzania ya Sinza, Masaki na Mikocheni?
 
Kwa uzoefu wangu mdogo, na nchi nyingi nimezijifunza kwa kusoma na kufuatilia maisha yao naona Tanzania licha ya madhaifu yetu ni sehemu bora sana.

Unaweza kwenda popote ukapokelewa utadhani mlifahamiana miaka mingi iliyopita.

Kama hauna ishu za kisiasa na ujanjaujanja maisha yako bomba sana.

Changamoto nyingi kama utazitatua mwenyewe mfano umeme ukafunga Solar au Backup Genset, Maji ukachimba kisima, etc unaishi vzr tu.

Nchi nyingine nashauri twendeni tukatalii tu, ila maisha ya bongo kama unajichanganya na wananzengo yako safi sana.


Nyie mliotembeatembea huko duniani kuna nchi gani bora zaidi ya hii bongo kiamani na mahusiano ya kijamii
Nchi nzuri za kuishi nenda Nigeria,Philippines,Kenya na India
 
Kwa uzoefu wangu mdogo, na nchi nyingi nimezijifunza kwa kusoma na kufuatilia maisha yao naona Tanzania licha ya madhaifu yetu ni sehemu bora sana.

Unaweza kwenda popote ukapokelewa utadhani mlifahamiana miaka mingi iliyopita.

Kama hauna ishu za kisiasa na ujanjaujanja maisha yako bomba sana.

Changamoto nyingi kama utazitatua mwenyewe mfano umeme ukafunga Solar au Backup Genset, Maji ukachimba kisima, etc unaishi vzr tu.

Nchi nyingine nashauri twendeni tukatalii tu, ila maisha ya bongo kama unajichanganya na wananzengo yako safi sana.


Nyie mliotembeatembea huko duniani kuna nchi gani bora zaidi ya hii bongo kiamani na mahusiano ya kijamii
Sawa
 
Ccm isingekuwepo basi Tanzania ingekuwa nchi nambari 1 kwa amani dunian, kwa uchumi mkubwa dunian, pia kwa watu wenye furaha dunian.

Mkwamishaji wa maendeleo ya hii nchi ni wanasiasa haswa Ccm na hao wa vyama vingine wanaoamini ktk Demokrasia ya kizushi.

Kiufupi Viongoz ndio wakwamishaji
 
Back
Top Bottom