To yeye
JF-Expert Member
- Oct 4, 2022
- 35,686
- 86,968
Enna ghwangu ❤️Asanteee...
Ndagha fijo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Enna ghwangu ❤️Asanteee...
Ndagha fijo
Kiti chanini ? Wewe tafuta gogo la mnazi ukalie hapo kirabuniNikiviangalia sijui muundo wake lakini kwa chini naona Kuna chuma kimepita Sasa hakiwezi kutoka za mbao na kuleta balaa , embu tuambie, je muundo wako ukojeView attachment 3258499
Sawa mzee wa kukuza mtajiKiti chanini ? Wewe tafuta gogo la mnazi ukalie hapo kirabuni
Uko wapi, mimi baba na mme wa mtuUtoto raha sana
Mma kikolo, n'janga uju ikujobha isi sikaja sya mana ufwene nkuti akomie ubhwalwa bhwa paling'omaimbosyo n'yadikwa
Njanga uju🤣🤣🤣Bado kidogo🤭
Sema "Loli mbombo ngafu mwee"❤️
Wewe inatakiwa ukalie tofaliNikiviangalia sijui muundo wake lakini kwa chini naona Kuna chuma kimepita Sasa hakiwezi kutoka za mbao na kuleta balaa , embu tuambie, je muundo wako ukojeView attachment 3258499
Sasa hilo swali ilibidi waulize watoto wako, sio weweUko wapi, mimi baba na mme wa mtu
Mbona unawaza kidhaifu sana mkuu?Namaanisha hicho kiti kwenye picha ILO chuma likilo kibeba haiwezi tokea hajari likamtoboa mtu kwenye tracko
Kwani nini kinakaa pale ni maandiko auWewe inatakiwa ukalie tofali
Maana kama ulichoandika hakiwleweki je hicho kiti utaweza kikalia kweli?
Watoto wadogo usiwasumbue tatizo lenu hamjibu maswali mnayoulizwa kazi kujifanya fanya tuSasa hilo swali ilibidi waulize watoto wako, sio wewe
Dah wewe ndo great thinker ahsante kwa jibu zuri.Mbona unawaza kidhaifu sana mkuu?
Teknolojia yoyote inapobuniwa, hufanyiwa najaribio ya kina kabla bidhaa husika haijaingizwa sokoni.
Unadhani huo mhimili umechongoka kuweza kutoboa?
Hapo katikati huo mhimili unaotoka chini umekutana na chuma cha duara kilichojazwa bearing kwa ajili ya kuzunguka na kimeshika chaga zinazolibeba kochi.
Hakiwezi kutoboa labda kukunjika itakapotumika nguvu kubwa ya kiharibifu.