Wakuu hivi viti vya kuzunguka havina kesi yoyote nataka kununua ila nahofu

Wakuu hivi viti vya kuzunguka havina kesi yoyote nataka kununua ila nahofu

Namaanisha hicho kiti kwenye picha ILO chuma likilo kibeba haiwezi tokea hajari likamtoboa mtu kwenye tracko
Mbona unawaza kidhaifu sana mkuu?

Teknolojia yoyote inapobuniwa, hufanyiwa majaribio ya kina kabla bidhaa husika haijaingizwa sokoni.

Unadhani huo mhimili umechongoka kuweza kutoboa?

Hapo katikati huo mhimili unaotoka chini umekutana na chuma cha duara kilichojazwa bearing kwa ajili ya kuzunguka na kimeshika chaga zinazolibeba kochi.

Hakiwezi kutoboa labda kukunjika itakapotumika nguvu kubwa ya kiharibifu.
 
Mbona unawaza kidhaifu sana mkuu?

Teknolojia yoyote inapobuniwa, hufanyiwa najaribio ya kina kabla bidhaa husika haijaingizwa sokoni.

Unadhani huo mhimili umechongoka kuweza kutoboa?

Hapo katikati huo mhimili unaotoka chini umekutana na chuma cha duara kilichojazwa bearing kwa ajili ya kuzunguka na kimeshika chaga zinazolibeba kochi.

Hakiwezi kutoboa labda kukunjika itakapotumika nguvu kubwa ya kiharibifu.
Dah wewe ndo great thinker ahsante kwa jibu zuri.


Moderator futa Uzi nimeshapata jibu lililoondoa shaka
 
Back
Top Bottom