Wakuu huu usajili wa Wasafi Festival sijauelewa

Hapa sio suala la kupenda au kutopenda...ebu weka ngoma zao kali hapa au zitaje nikazitafute!!
Old skull - dudu baya
mambo ya pwani - kopa
Hip hop (punch line)- niki mbishi, one , stereo ( hip hop biashara sijui mdundiko peleka clouds)
hip hop (kimtaa)- country boy, young killer
Bongo fleva yenyewe- Wcb , kenzo crew

Ndanda itawaka moto tunamsubiri kwa hamu Konki master(Dege la jeshi ) au Niki mbishi (Jogoo) , tulia mambo haya yamekuzidi umri
 
Mkuki wa nguruwe hahahahahaha, ndo nakatafakari kale ka kauli ka "BILA M 10 SIFANYI SHOO" haya thatha hao unaowafanyisha shoo unawapa hiyo m 10 ili scope ya burudani ibadilike..huhuhuhuhuhu
Eyes are mine...
Mkuu endelea kusubiri dodo chini ya mpapai
 
nimekutukana
 
Mkuki wa nguruwe hahahahahaha, ndo nakatafakari kale ka kauli ka "BILA M 10 SIFANYI SHOO" haya thatha hao unaowafanyisha shoo unawapa hiyo m 10 ili scope ya burudani ibadilike..huhuhuhuhuhu
Eyes are mine...

hahahaha sema madhumuni waliyoyapanga kwenye hiyo wasafi fstv yana tija sana ungekuwa unafwatilia ungeelewa nini wanamaanisha mapinduzi ya burudani...utoaji misaada kwa kidogo wanachopata na mengine mengi tutayaona itakapofanyika ...tusijaji kitu wakati bado hakijafanyika
 
Wasani wa wasafi tu wanatosha kwa festival yote .. ao wengine ni waziada mwanzo huuu acheni paniki ...sasa sijajuwa festival ya kibakuli itaitwa kibamia festival ao hahahaha
Kibakuli na yeye anaandaa yake.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Sijui umekusudia nini Kiongozi,lakini kitendo chako cha kumdharau One the Incredible kimenikera na kunishangaza pia.
Hivi ni kweli kabisa hautambui uwezo wa Moko wa Miujiza?
Mzee,kuna watu wana nyimbo kama zote za One the Incredible kwenye playlists zao lakini hawana hata wimbo mmoja wa Diamond Platnumz.
Hauwezi amini,lakini kaa ukijua kuna watu watajitokeza kwa wingi huko Mtwara kwaajili ya kuwaona vijana wa Tamaduni Music wakiongozwa na Baba Malcolm.
Sijasikia chochote kuhusu Songa,ila kama na yeye atakuwepo basi Wasafi watakua wamefanya jambo la maana sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…