Wakuu Kudate na namba A inahitaj sana Moyo Jana niliombwa Elfu tatu

Sasa umeficha namba kwanini?ungeacha sisi tumpe hiyo 3000/- tuchakate mbususu..yaani unakimbia kisa 3000/-😀😀
 
Aisee mi nina kisa hiki hiki,ila huyu ye kazi yake iliharibika ko hana helA so anapitia kipindi kigumu, namsaidia kam binadamu tu, papuchi sijamla ila alikuja headquota
 
..xaxa xijui itakwje, 2na xafar ndf xna...

Hahaha!
Hadi ukafungua uzi mkuu? Kwa 3k..dah!
 
Dooh kama 24 ni Namba A basi hatari....ebu rudi kwa Big Chawa akupe shule kuhusu Namna A hadi D na range ya umri.

Mimi nachochujua namba A ni Chakavu kabisa kuu kuu....haiwezekani kabisa 24 awe A.
 
watu wamtandao huu wanafki hadi kichef chef.yani mtu kuandika x badala ya s ndio umuite mjinga? hafai kuanzisha nae mahusiano?🤣🤣wanafiki wamejaa humu.ukute wanao sema hivi niwashamba tuu hawajui lolote zaidi yakuandika vizuri sms zakudangia .mbwa nyie
 
HAYA LAND ulitokea mbali sana mkuu tofauti na ulivyo sasa😁😁😁
 
kunywa maji mengi upunguze makasiriko chief[emoji1787][emoji1787][emoji1787]

ila madem wenye mwandiko wa ivo kuwala ni rahisi mno, ata ukimsaidia jero ya vocha tu anakupanulia mapaja kiroho safi[emoji16][emoji16]
 
wanawake wahumu wajinga sana. Yani munamponda mwenzenu kisa anaandika x badala ya s? nimegundua kwanini wengi humu ni single maza nawengine wanna gonga miaka 30 hata hawa chumbiwi. shida nihuo umach noo wenu.mtaozea makwenu nawengine mtaozea magetoni🤣huku mkishangaa wanao andika x badala ya s wakila mashavu/ndoa.poleni Sana sana ujuaji unawakost.😂
 
kunywa maji mengi upunguze makasiriko chief[emoji1787][emoji1787][emoji1787]

ila madem wenye mwandiko wa ivo kuwala ni rahisi mno, ata ukimsaidia jero ya vocha tu anakupanulia mapaja kiroho safi[emoji16][emoji16]
wee nae kiazi tuu.kwahio hao wanao andika vizuri Hadi uwafunge kamba ndio uwale.kwanza uko wapi?nisije kuwa nachati najitu lipo mapolini huko.
 
mnawezaje kuchat na watu wanaoandika hivi mi siwezi aisee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…