Wakuu Kudate na namba A inahitaj sana Moyo Jana niliombwa Elfu tatu

Wakuu Kudate na namba A inahitaj sana Moyo Jana niliombwa Elfu tatu

Katika harakati zangu za kuuza Ubuyu GHAFLA nikaomba namba ya Dada mmoja hivi she has 24 years na Ni single Mother. Mtoto wake amemtupia Mama yake huku yeye akipanga Chumba Maeneo ya Gongo la Mboto.


To be honest Ilikuwa Ni usiku nilivyomuona I was very interested with her Na ndipo nikaomba Namba ake.

hakusita nipa namba
baada ya hapo tuliagana yeye Akashuka buza Mimi nikaenda hadi home Temeke .
After two days nilimcheki then yeye Mwenyewe akaanza jitongozesha . So alinambia kaumizwa sana na Mapenzi so anahitaji Mtu was kumfuta Machozi.

Mimi nilimpa moyo na Tukaanza kudate.

Sasa huyu demu kiufupi nilimuomba Appointment ili tuonane coz aliniambia anafanya biashara za Mnadani honestly Mimi Mwenyewe nauza Ubuyu so niliona wazi hapa nimepata mtu makini aambaye tupo ktk jahazi moja tukielekea Pemba.


Sasa to cut the story
Mzinga wa kwanza. Kabisa aliniomba elf 16k ili Asuke nikaamua mtolea nje sababu ya kumnyima nilimwambia sikufahamu vizuri so siwez kukutumia hiyo pesa kwa sasa hadi tuonane . Akasema sawa

So jumapili nilienda kwake tukaonana nikampa buku 5 ya chakula na hatujafanya chochote .

Sasa Cha Ajabu Jana kaniomba buku 03 eti Hana hela ya kula so nikajiuliza maswali hivi huyu demu anadai yeye Biashara inamlipa vizuri hadi hatamani kuajiriwa so how comes aniombe hela ya kula buku tatu .

Kiukweli sijamtumia hadi sahv

Funzo
Kama unataka Mwanamke usitafute single Mother number A ni hatari Bora tuendelee na namba D zetu 22 kushuka chini kuliko namba A ambao most of them hawana Huruma wapo tiyari kuongea uongo ili wapate pesa na kusahau kuwa Love is progress.


I dedicate this thread to All Youths to find out Number D as to reach their goals.
😎

View attachment 2223382
Sasa umeficha namba kwanini?ungeacha sisi tumpe hiyo 3000/- tuchakate mbususu..yaani unakimbia kisa 3000/-😀😀
 
Aisee mi nina kisa hiki hiki,ila huyu ye kazi yake iliharibika ko hana helA so anapitia kipindi kigumu, namsaidia kam binadamu tu, papuchi sijamla ila alikuja headquota
 
..xaxa xijui itakwje, 2na xafar ndf xna...

Hahaha!
Hadi ukafungua uzi mkuu? Kwa 3k..dah!
 
Dooh kama 24 ni Namba A basi hatari....ebu rudi kwa Big Chawa akupe shule kuhusu Namna A hadi D na range ya umri.

Mimi nachochujua namba A ni Chakavu kabisa kuu kuu....haiwezekani kabisa 24 awe A.
 
watu wamtandao huu wanafki hadi kichef chef.yani mtu kuandika x badala ya s ndio umuite mjinga? hafai kuanzisha nae mahusiano?🤣🤣wanafiki wamejaa humu.ukute wanao sema hivi niwashamba tuu hawajui lolote zaidi yakuandika vizuri sms zakudangia .mbwa nyie
 
Katika harakati zangu za kuuza Ubuyu GHAFLA nikaomba namba ya Dada mmoja hivi she has 24 years na Ni single Mother. Mtoto wake amemtupia Mama yake huku yeye akipanga Chumba Maeneo ya Gongo la Mboto.


To be honest Ilikuwa Ni usiku nilivyomuona I was very interested with her Na ndipo nikaomba Namba ake.

hakusita nipa namba
baada ya hapo tuliagana yeye Akashuka buza Mimi nikaenda hadi home Temeke .
After two days nilimcheki then yeye Mwenyewe akaanza jitongozesha . So alinambia kaumizwa sana na Mapenzi so anahitaji Mtu was kumfuta Machozi.

Mimi nilimpa moyo na Tukaanza kudate.

Sasa huyu demu kiufupi nilimuomba Appointment ili tuonane coz aliniambia anafanya biashara za Mnadani honestly Mimi Mwenyewe nauza Ubuyu so niliona wazi hapa nimepata mtu makini aambaye tupo ktk jahazi moja tukielekea Pemba.


Sasa to cut the story
Mzinga wa kwanza. Kabisa aliniomba elf 16k ili Asuke nikaamua mtolea nje sababu ya kumnyima nilimwambia sikufahamu vizuri so siwez kukutumia hiyo pesa kwa sasa hadi tuonane . Akasema sawa

So jumapili nilienda kwake tukaonana nikampa buku 5 ya chakula na hatujafanya chochote .

Sasa Cha Ajabu Jana kaniomba buku 03 eti Hana hela ya kula so nikajiuliza maswali hivi huyu demu anadai yeye Biashara inamlipa vizuri hadi hatamani kuajiriwa so how comes aniombe hela ya kula buku tatu .

Kiukweli sijamtumia hadi sahv

Funzo
Kama unataka Mwanamke usitafute single Mother number A ni hatari Bora tuendelee na namba D zetu 22 kushuka chini kuliko namba A ambao most of them hawana Huruma wapo tiyari kuongea uongo ili wapate pesa na kusahau kuwa Love is progress.


I dedicate this thread to All Youths to find out Number D as to reach their goals.
😎

HAYA LAND ulitokea mbali sana mkuu tofauti na ulivyo sasa😁😁😁
 
watu wamtandao huu wanafki hadi kichef chef.yani mtu kuandika x badala ya s ndio umuite mjinga? hafai kuanzisha nae mahusiano?[emoji1787][emoji1787]wanafiki wamejaa humu.ukute wanao sema hivi niwashamba tuu hawajui lolote zaidi yakuandika vizuri sms zakudangia .mbwa nyie
kunywa maji mengi upunguze makasiriko chief[emoji1787][emoji1787][emoji1787]

ila madem wenye mwandiko wa ivo kuwala ni rahisi mno, ata ukimsaidia jero ya vocha tu anakupanulia mapaja kiroho safi[emoji16][emoji16]
 
wanawake wahumu wajinga sana. Yani munamponda mwenzenu kisa anaandika x badala ya s? nimegundua kwanini wengi humu ni single maza nawengine wanna gonga miaka 30 hata hawa chumbiwi. shida nihuo umach noo wenu.mtaozea makwenu nawengine mtaozea magetoni🤣huku mkishangaa wanao andika x badala ya s wakila mashavu/ndoa.poleni Sana sana ujuaji unawakost.😂
 
kunywa maji mengi upunguze makasiriko chief[emoji1787][emoji1787][emoji1787]

ila madem wenye mwandiko wa ivo kuwala ni rahisi mno, ata ukimsaidia jero ya vocha tu anakupanulia mapaja kiroho safi[emoji16][emoji16]
wee nae kiazi tuu.kwahio hao wanao andika vizuri Hadi uwafunge kamba ndio uwale.kwanza uko wapi?nisije kuwa nachati najitu lipo mapolini huko.
 
Katika harakati zangu za kuuza Ubuyu GHAFLA nikaomba namba ya Dada mmoja hivi she has 24 years na Ni single Mother. Mtoto wake amemtupia Mama yake huku yeye akipanga Chumba Maeneo ya Gongo la Mboto.


To be honest Ilikuwa Ni usiku nilivyomuona I was very interested with her Na ndipo nikaomba Namba ake.

hakusita nipa namba
baada ya hapo tuliagana yeye Akashuka buza Mimi nikaenda hadi home Temeke .
After two days nilimcheki then yeye Mwenyewe akaanza jitongozesha . So alinambia kaumizwa sana na Mapenzi so anahitaji Mtu was kumfuta Machozi.

Mimi nilimpa moyo na Tukaanza kudate.

Sasa huyu demu kiufupi nilimuomba Appointment ili tuonane coz aliniambia anafanya biashara za Mnadani honestly Mimi Mwenyewe nauza Ubuyu so niliona wazi hapa nimepata mtu makini aambaye tupo ktk jahazi moja tukielekea Pemba.


Sasa to cut the story
Mzinga wa kwanza. Kabisa aliniomba elf 16k ili Asuke nikaamua mtolea nje sababu ya kumnyima nilimwambia sikufahamu vizuri so siwez kukutumia hiyo pesa kwa sasa hadi tuonane . Akasema sawa

So jumapili nilienda kwake tukaonana nikampa buku 5 ya chakula na hatujafanya chochote .

Sasa Cha Ajabu Jana kaniomba buku 03 eti Hana hela ya kula so nikajiuliza maswali hivi huyu demu anadai yeye Biashara inamlipa vizuri hadi hatamani kuajiriwa so how comes aniombe hela ya kula buku tatu .

Kiukweli sijamtumia hadi sahv

Funzo
Kama unataka Mwanamke usitafute single Mother number A ni hatari Bora tuendelee na namba D zetu 22 kushuka chini kuliko namba A ambao most of them hawana Huruma wapo tiyari kuongea uongo ili wapate pesa na kusahau kuwa Love is progress.


I dedicate this thread to All Youths to find out Number D as to reach their goals.
😎

mnawezaje kuchat na watu wanaoandika hivi mi siwezi aisee
 
Back
Top Bottom