Wakuu mbona watu wananitenga hivi toka nipate pesa

Wakuu mbona watu wananitenga hivi toka nipate pesa

fundi bishoo

JF-Expert Member
Joined
Jun 26, 2018
Posts
14,264
Reaction score
27,132
🤣🤣😆 kichwa habari chajieleza yaan marafiki ndugu jamaa wananitenga toka niuze kaeneo kangu huko maeneo ya kibaha nimepata laki8 na nusu basi watu wananionea wivu ama kweli pata pesa matako hulia mbwata
 
FB_IMG_17370608943888429.jpg
 
Back
Top Bottom