fundi bishoo
JF-Expert Member
- Jun 26, 2018
- 14,264
- 27,132
π€£π acha zako wakati hii naweza kutemga kula bata hata na mdada wa bongo muvi au bongo fleva na nikamlipaLaki 8 hiyo ukienda samaki samaki haitoshi
ingiza mkaa wa moto huko uone yanaliaje mbwata π€£πMatako yanalia mbwata kivipi mkuu?
ukimaanisha nn au ndo wachawi wenyewe
ππππingiza mkaa wa moto huko uone yanaliaje mbwata π€£π
Oya kaka nakupa ukweli hiyo hela ukienda "hyat regency" hata chumba haitoshi mkuuπ€£π acha zako wakati hii naweza kutemga kula bata hata na mdada wa bongo muvi au bongo fleva na nikamlipa
niende hyat nkafanye nn kaka acha niinjoi hukuhuku mitaaniπ€£πOya kaka nakupa ukweli hiyo hela ukienda "hyat regency" hata chumba haitoshi mkuu
mkuuπ€£ππ€£ππ€£ππππ
Noma sana ππmkuuπ€£ππ€£ππ€£
Njoo sinza kijiweniniende hyat nkafanye nn kaka acha niinjoi hukuhuku mitaaniπ€£π
na haziishi leoPata pesa tukujue tabia yako.
Fundi tangia ukunje izo nane umebadilisha lugha ndugu yetu,neno kabisa unatamka "Kabaisa",,Ugali unatamka"you girl"
hapana tumeamua tukuache kwanza mpaka izo nane ziishe.
nHisi wataniwinda800k wanakutenga je 1000k?
π€£π€£π€£π€£π€£ Laki 8 ni pesa?π€£π€£π kichwa habari chajieleza yaan marafiki ndugu jamaa wananitenga toka niuze kaeneo kangu huko maeneo ya kibaha nimepata laki8 na nusu basi watu wananionea wivu ama kweli pata pesa matako hulia mbwata