Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumbe hii inalipa wakuu tupeane michongoKwakuu hii ni ban ya muda au wamefuta kabisa... Dah hapa kichwa kinawaka hela yangu imeenda hivi hviView attachment 3234562
Wataalamu wanakuja, subiri niondoke kabla ujarusha ngumi.Acha masihara tafadhali, nilikuwa na verify account nimelipia kabisa subscriber, kitendo Cha kuatachi ID yangu ili wa verify wakaja na ban hii
Huwa Meta wanatumia AI ku moderate, mara kibao wa nakosea na kuban watu.Ni kweli mkuu wameifuta na trh 7 mwezi huu nilikuwa nimelipia 187k, ajili ya ads kwa mwezi mzima,, so na pesa imepotea
Umefanya kosa gani? Watafute ukiwaelekeza watafungua
Mkuu Mimi nilikuwa nalipia matangazo yao napenda nao sawa kwa kipindi kirefu, sasa Leo nikasema ngoja ni verify kabisa account nipate blue tick, nimelipia vzuri tu nikaombwa iD card nika upload ss wkt nasubiri majibu ndio wakaja na ban hiiHuwa Meta wanatumia AI ku moderate, mara kibao wa nakosea na kuban watu.
Kama una uhakika hujakosea wasiliana nao kupitia Facebook, wasiliana nao to the point wakupe mtu uchat nae, atakufungulia.
Wasiliana nao mkuu, ila hii ni kampuni ya kishamba sana linapokuja suala la support, pengine ika chukua wiki hadi miezi kumpata tu huyo wa kuchat nae ambaye ni Binadamu.Mkuu msaada wako tafadhali
sina huruka hiyo mkuu sijamtusi mtu wala account yangu sikuwa na group hata moja kwa miaka yote nimeitumiaWasiliana nao mkuu, ila hii ni kampuni ya kishamba sana linapokuja suala la support, pengine ika chukua wiki hadi miezi kumpata tu huyo wa kuchat nae ambaye ni Binadamu.
Pitia hapa
View: https://www.reddit.com/r/facebookdisabledme/comments/1dz0obr/meta_verified_support_chat/
Utaona namna ya kuforce ili upate livesuport then ukipata binadamu wa kuchat nae ndio muelezee tatizo, kama huja post picha za Ajabu ama kutukana watu watakufungulia.
Pole sana, baada ya masaa 24 akaunti yako watai recovery. Walikuomba namba ya simu na umewatumia reason ya ku verify??Kwakuu hii ni ban ya muda au wamefuta kabisa... Dah hapa kichwa kinawaka hela yangu imeenda hivi hviView attachment 3234562
Huwezi fanya chochote hapo boss, hadi wao kule wa verify, whatsap is the most secured app in the world. Baada ya masaa 24 itakuwa recovered.tatizo ubize ningekusaidia
wacheki kupitia email @support.whatsapp.com