Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sina group hata Moja mkuu nadhani shida inaanzia bidhaa ambazo nazitangaza zimeorodheshwa kwenye sera yao kwamba haziruhusiwi. Huwezi amini kule hata kuweka tangazo la tangazo la kazi ni kosa kwa sera zao. Ss nasiktika Wana futa account bila kunipa onyo.Pole sana, baada ya masaa 24 akaunti yako watai recovery. Walikuomba namba ya simu na umewatumia reason ya ku verify??
Umeenda against whatsap policy, may be ulikuwa unajaribu ku add members wengi kwenye whatsap group at once.
Mkuu huyo labtech nimemsach sijampata . Nisaidie kushare hapa hata profile pic yake nikamtafute tenaNenda fb search page inaitwa labtech watakupa muongozo
Au kama upon dar nenda manzese baharesa ulizia fundi mfupi hiyo kwake ni kazi ya dakika mbili account inarudi vzr sana
Vumilia mkuu kesho account yako itakuwa recovered, akaunti yako haiwezi kufungwa kirahisi ivo.Mkuu Mbona kama hapo naambiwa imefutwa niingie kwa namba nyingine mpya?
Hapana usiingie kwa namba mpya utapoteza ma group yako, just wait ... mkuuMkuu Mbona kama hapo naambiwa imefutwa niingie kwa namba nyingine mpya?
Hata uingize namba 100 haita kubali.Mkuu Mbona kama hapo naambiwa imefutwa niingie kwa namba nyingine mpya?
Wamei Flag tu kwa muda, hawajafuta akaunti yako.Kwakuu hii ni ban ya muda au wamefuta kabisa... Dah hapa kichwa kinawaka hela yangu imeenda hivi hviView attachment 3234562
Techi land search kweny fb.Mkuu huyo labtech nimemsach sijampata . Nisaidie kushare hapa hata profile pic yake nikamtafute tena
Ubarikiwe mkuu! Asante sana kwa kunitia moyo 🙏🙏. Kichwa kinavuruga sana yan dakika chache nimawatumia pesa ya ku verify account wakaniomba ni atachi ID card nikafanya hivyo. Sss kwenye kusubili review ndio wakaja na suspetionVu
Vumilia mkuu kesho account yako itakuwa recovered, akaunti yako haiwezi kufungwa kirahisi ivo.
Ila kilichofanyika hapo ni Artificial Inteligence ya Whatsap ime ban akaunti yako kwasabab umeenda against policy zao.
Kazi ya AI hiyo, baada ya masaa 24 itakuwa auto recovered mark my word.
Watakuomba u verify kwa kuweka namba ya simu then synchronization itafanyika.
faq.whatsapp.com
Kwakuu hii ni ban ya muda au wamefuta kabisa... Dah hapa kichwa kinawaka hela yangu imeenda hivi hviView attachment 3234562
Asante mkuu🙏
Asante mkuu ngoja nipitieUkipata muda pitia pitia hii link
Informationen zu Kontosperrungen | WhatsApp-Hilfebereich
faq.whatsapp.com
punguza ujuaji, nishawasaidia wengi sana humuHuwezi fanya chochote hapo boss, hadi wao kule wa verify, whatsap is the most secured app in the world. Baada ya masaa 24 itakuwa recovered.