Wakuu Msaada: Biashara haiendi ghafla, nifanyeje?

Wakuu Msaada: Biashara haiendi ghafla, nifanyeje?

Carlos The Jackal

JF-Expert Member
Joined
Feb 6, 2017
Posts
25,725
Reaction score
78,589
Ni Duka langu la Nguo. Sasa Wiki ilopita Niliingiza Mzigo Mpya, katika hali isiyo ya kawaida Mara nyingi Nikishaleta Mzigo Mpya nikiwapigia wateja wangu, huwa Ndani ya Siku mauzo ni karibu 150K.

Kijana ananiambia alikuja Jiran (Jirani naye ana frame pembeni ya Huduma yake) akamuomba elfu Kumi, na alipompa tu toka hapo hajauza.

Mara ananiambia, Kuna Mwanamke Alikuja kama mteja, akaishia kushika shika Nguo weee akasepa, tokea hapo biashara imesimama.

Wakuuu, hamna Mauzo toka Ijumaa mpaka Leo Jumanne, hamna hata Mia, Mzigo Mpya, Kila mtu akija anausifiaaa Sanaa, lkn anaishia kusema nitarudi ila harudiii.

Wakuuu hata Mia, hata Miaaa!

Au niamin tu ni hali, ndio Kuna Siku Mauzo yanakua kiduchu ila huwez kosa Hata 30K.

Naondoaje hili Jinamizi? Ni duka ambalo niliamua kulifungua Kwa ajili ya Mwanamke (Singo mama, nilizaa naye) hivo nikalifungua ila Kila kitu anakisimamia yeye maana mtoto wetu alipata shida fulan ivi ivo sikutaka zile simu za mara Kwa mara za hela.

Huyo jamaa alomuomba Kijana elfu Kumi ni rafiki wa aliyekua Mume wa Singo mama huyu nlozaa naye, na huyu alokua Mume amekua akimtangaza na kumuombea mabaya sana huku akisema biashara yenyewe itafungwa tuu. Jamaa ana cheo Kwa tawi Moja la vya Dola, amekua anamchomea sana utambi hadi mpaka TRA inafikia wakati wanataka kutuongezea Kodi bila sababu za msingi.
 
Kwa Sasa niliamua Kumtegemea Yesu, masuala ya waganga niliachana nayo Toka kile kipindi Cha Jaji na Kesi yetu ya Shamba.



Ila nahitaji Mbinu mnazotumiaga kuondoa mabalaa kama haya Kwenye Biashara zenu
 
Ni Duka langu la Nguo , Sasa Wiki ilopita Niliingiza Mzigo Mpya , katika hali isiokawaida Mara nyingi Nikishaleta Mzigo Mpya , nikiwapigia wateja wangu, Huwa Ndani ya Siku Mauzo nikaribuu 150K


Kijana ananiambia Alikuja Jiran ( Jiran naye ana frame pemben ya Huduma yake) akamuomba elfu Kumi, na alipompa tu Toka hapo Hajauza .

Mara ananiambia, Kuna Mwanamke Alikuja kama mteja, akaishia kushika shika Nguo weee akasepa, tokea hapo Biashara imesimama.


Wakuuu ,hamna Mauzo toka Ijumaa mpaka Leo Jumanne, hamna hata Mia, Mzigo Mpya, Kila mtu akija anausifiaaa Sanaa, lkn anaishia kusema nitarudi ila harudiii.

Wakuuu hata Mia, hata Miaaa!!


Au niamin tu ni hali,,,, ndio Kuna Siku Mauzo yanakua kiduchu ila huwez kosa Hata 30K.


Naondoaje Hili Jinamizi ?? ... Ni Duka ambalo niliamua kulifungua Kwa ajili ya Mwanamke ( Singo mama, nilizaa naye ) hivo nikalifungua ila Kila kitu anakisimamia yeye maana mtoto wetu alipata shida fulan ivi ivo sikutaka zile simu za mara Kwa mara za Hela .


( Huyo jamaa alomuomba Kijana elfu Kumi, ni rafiki wa aliyekua Mume wa Singo mama huyu nlozaa naye, na huyu alokua Mume amekua akimtangaza na kumuombea mabaya sana huku akisema Biashara yenyewe itafungwa tuu, Jamaa ana cheo Kwa tawi Moja la vya Dola, amekua anamchomea sana utambi Hadi mpaka TRA inafikia wakati wanataka kutuongezea Kodi bila sababu za msingi. ).
Mkuuu umelogwa ww kaa chonjo aseeeeeeeeeee.

Hiyo ishawahi mtokea ndugu yangu hiyo elf 10 uliyotoa ni chuma ulete nakupa week 3 hesabu hiyo ni hasara tupu
 
Kwa Sasa niliamua Kumtegemea Yesu, masuala ya waganga niliachana nayo Toka kile kipindi Cha Jaji na Kesi yetu ya Shamba.



Ila nahitaji Mbinu mnazotumiaga kuondoa mabalaa kama haya Kwenye Biashara zenu
Kiukweli mkuu kama kweli umesema unamtegemea yesu embu soma hapa
Malaki 3:8_9
Malaki 3:10
Mimi nina ushuhuda wa mtu ninayemfahamu alikuwa ni boss wa duka la nguo za kiume kama biashara YAKO, akawa amesafiri kaachia mfanyakazi jamaa alikuwa ni lazima atoe fungu la kumi yule mfanyakazi akapewa maagizo mauzo yote kwanzia j3 mpaka jmosi piga hesabu ya faida nipe nitoe fungu la kumi baada ya kusafiri yule mfanyakazi akawa hafanyi hivyoo wee alikaa wiki 3 mfululizo ajauza na watu wanaingia KWA nadra sana dukani na boss hana habari yyte maana anajua fungu la kumi jumapili lazima ipelekwe na mfanyakazi kumbe hafanyi hivyo alirudi akamsimamisha KAZI alivyoanza tu kutoa fungu la kumi mambo yakawa safi, nimekujibu kutokana na umesema kwamba unamtegemea yesu japo kuna wengine hawaamini haya mambo jaribu kumtolea MUNGU
 
Ni Duka langu la Nguo , Sasa Wiki ilopita Niliingiza Mzigo Mpya , katika hali isiokawaida Mara nyingi Nikishaleta Mzigo Mpya , nikiwapigia wateja wangu, Huwa Ndani ya Siku Mauzo nikaribuu 150K


Kijana ananiambia Alikuja Jiran ( Jiran naye ana frame pemben ya Huduma yake) akamuomba elfu Kumi, na alipompa tu Toka hapo Hajauza .

Mara ananiambia, Kuna Mwanamke Alikuja kama mteja, akaishia kushika shika Nguo weee akasepa, tokea hapo Biashara imesimama.


Wakuuu ,hamna Mauzo toka Ijumaa mpaka Leo Jumanne, hamna hata Mia, Mzigo Mpya, Kila mtu akija anausifiaaa Sanaa, lkn anaishia kusema nitarudi ila harudiii.

Wakuuu hata Mia, hata Miaaa!!


Au niamin tu ni hali,,,, ndio Kuna Siku Mauzo yanakua kiduchu ila huwez kosa Hata 30K.


Naondoaje Hili Jinamizi ?? ... Ni Duka ambalo niliamua kulifungua Kwa ajili ya Mwanamke ( Singo mama, nilizaa naye ) hivo nikalifungua ila Kila kitu anakisimamia yeye maana mtoto wetu alipata shida fulan ivi ivo sikutaka zile simu za mara Kwa mara za Hela .


( Huyo jamaa alomuomba Kijana elfu Kumi, ni rafiki wa aliyekua Mume wa Singo mama huyu nlozaa naye, na huyu alokua Mume amekua akimtangaza na kumuombea mabaya sana huku akisema Biashara yenyewe itafungwa tuu, Jamaa ana cheo Kwa tawi Moja la vya Dola, amekua anamchomea sana utambi Hadi mpaka TRA inafikia wakati wanataka kutuongezea Kodi bila sababu za msingi. ).
Jirani zako wanatoka kanda gani
 
Wewe jamaa ni mjinga usiyejielewa. Mara umesema duka analiendesha single mother uliyezaa naye na wewe huhusiki! Hapohapo unasema kijana amekupa taarifa mara mzigo umeingiza mpya?! Nchi hii ina wajinga wengi sana alisikika Masai mmoja aitwaye Godwin Mollel mnamo mwezi wa Februari Mwaka 2023
 
Ni Duka langu la Nguo , Sasa Wiki ilopita Niliingiza Mzigo Mpya , katika hali isiokawaida Mara nyingi Nikishaleta Mzigo Mpya , nikiwapigia wateja wangu, Huwa Ndani ya Siku Mauzo nikaribuu 150K


Kijana ananiambia Alikuja Jiran ( Jiran naye ana frame pemben ya Huduma yake) akamuomba elfu Kumi, na alipompa tu Toka hapo Hajauza .

Mara ananiambia, Kuna Mwanamke Alikuja kama mteja, akaishia kushika shika Nguo weee akasepa, tokea hapo Biashara imesimama.


Wakuuu ,hamna Mauzo toka Ijumaa mpaka Leo Jumanne, hamna hata Mia, Mzigo Mpya, Kila mtu akija anausifiaaa Sanaa, lkn anaishia kusema nitarudi ila harudiii.

Wakuuu hata Mia, hata Miaaa!!


Au niamin tu ni hali,,,, ndio Kuna Siku Mauzo yanakua kiduchu ila huwez kosa Hata 30K.


Naondoaje Hili Jinamizi ?? ... Ni Duka ambalo niliamua kulifungua Kwa ajili ya Mwanamke ( Singo mama, nilizaa naye ) hivo nikalifungua ila Kila kitu anakisimamia yeye maana mtoto wetu alipata shida fulan ivi ivo sikutaka zile simu za mara Kwa mara za Hela .


( Huyo jamaa alomuomba Kijana elfu Kumi, ni rafiki wa aliyekua Mume wa Singo mama huyu nlozaa naye, na huyu alokua Mume amekua akimtangaza na kumuombea mabaya sana huku akisema Biashara yenyewe itafungwa tuu, Jamaa ana cheo Kwa tawi Moja la vya Dola, amekua anamchomea sana utambi Hadi mpaka TRA inafikia wakati wanataka kutuongezea Kodi bila sababu za msingi. ).
Chuma ulete hiyo......

Nenda kwa Mwamposa nunua maji ya upako au mafuta ya upako uje umwagie hapo...........utakuja kutoa ushuhuda mwenyewe humu.
 
Mnaomjibu huyu jamaa sijui anawaonaje? Mwanzo kabisa namkariri kasema “Ni Duka langu la Nguo , Sasa Wiki ilopita Niliingiza Mzigo Mpya , katika hali isiokawaida Mara nyingi Nikishaleta Mzigo Mpya , nikiwapigia wateja wangu, Huwa Ndani ya Siku Mauzo nikaribuu 150K” ukiendelea katikati anasema “ Ni Duka ambalo niliamua kulifungua Kwa ajili ya Mwanamke ( Singo mama, nilizaa naye ) hivo nikalifungua ila Kila kitu anakisimamia yeye…”
Kiufupi mleta mada hajielewi au anataka kuwatangazia biashara masingo maza wa humu waingie mkenge kwake kuwa atawafungulia biashara
 
Mnaomjibu huyu jamaa sijui anawaonaje? Mwanzo kabisa namkariri kasema “Ni Duka langu la Nguo , Sasa Wiki ilopita Niliingiza Mzigo Mpya , katika hali isiokawaida Mara nyingi Nikishaleta Mzigo Mpya , nikiwapigia wateja wangu, Huwa Ndani ya Siku Mauzo nikaribuu 150K” ukiendelea katikati anasema “ Ni Duka ambalo niliamua kulifungua Kwa ajili ya Mwanamke ( Singo mama, nilizaa naye ) hivo nikalifungua ila Kila kitu anakisimamia yeye…”
Kiufupi mleta mada hajielewi au anataka kuwatangazia biashara masingo maza wa humu waingie mkenge kwake kuwa atawafungulia biashara
Eeeeeh aseee kwann umefikiria hivi 🤔
 
Back
Top Bottom