Carlos The Jackal
JF-Expert Member
- Feb 6, 2017
- 25,725
- 78,589
- Thread starter
- #41
Kulia Kuna Muha, kushoto nihuyo jamaa , mbele yetu linapita BarabaraJirani zako wanatoka kanda gani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kulia Kuna Muha, kushoto nihuyo jamaa , mbele yetu linapita BarabaraJirani zako wanatoka kanda gani
Mkuu Hata kiswahili Cha kidato Cha tatu ulifeli?.Wewe jamaa ni mjinga usiyejielewa. Mara umesema duka analiendesha single mother uliyezaa naye na wewe huhusiki! Hapohapo unasema kijana amekupa taarifa mara mzigo umeingiza mpya?! Nchi hii ina wajinga wengi sana alisikika Masai mmoja aitwaye Godwin Mollel mnamo mwezi wa Februari Mwaka 2023
Nani kama mama?Haujakutana na Mama Sawaki wewe.
Mkuu Mwamposa alikuja Mkoan , Bidada alinunua Katoni Moja la maji, na mafuta vichupa vitano.Chuma ulete hiyo......
Nenda kwa Mwamposa nunua maji ya upako au mafuta ya upako uje umwagie hapo...........utakuja kutoa ushuhuda mwenyewe humu.
vita ya KirohoTuashumu Stori, Huwa jambo kama Hili ,unalisolv vp
Mkuu inawezekana Moja ya Sababu nayopatia watejani bei ndogo.Shusha bei
Hamna kama Mama, Mama yangu Nampenda.Muone mama.
Nani kama mama?
Si utaje jina la yesu wenu mnasema lina nguvu ati;!Wateja ni wengi, ila wanakuja na kuondoka.
Huu sio Uchawi???
Bidada hapo Kwa wachungaji wa mchongo anawafagilia sana.Pole sana ila uliwahi kuwakumbuka wazazi hivi karibuni? Sadaka unatoa? Ulishajihusisha na hawa wachungaji wa mchongo?
Urafuye mugabho,Kulia Kuna Muha, kushoto nihuyo jamaa , mbele yetu linapita Barabara
Mkuu, shida nn ? Kaduka au?.Wew jamaa muongo sana
Lina nguvu,na naliamin.Si utaje jina la yesu wenu mnasema lina nguvu ati;!
Pole sanaNdo namm nmehisi, Sasa Ananipigia analia kwelikweli, nmemuambia wachanitafute mbinu mitandaoni
Natokaje hapa ??.Urafuye mugabho,
Kaliandike Sasa ukutani mzeeLina nguvu,na naliamin.
Mkuu umesha tengenezwa hapo biashara ukifanya mchezo utalifunga hilo duka lako la nguo.Nitafute kwa wakati wako ili niweze kupatengeneza upate wateja wengi tu.Ni Duka langu la Nguo , Sasa Wiki ilopita Niliingiza Mzigo Mpya , katika hali isiokawaida Mara nyingi Nikishaleta Mzigo Mpya , nikiwapigia wateja wangu, Huwa Ndani ya Siku Mauzo nikaribuu 150K
Kijana ananiambia Alikuja Jiran ( Jiran naye ana frame pemben ya Huduma yake) akamuomba elfu Kumi, na alipompa tu Toka hapo Hajauza .
Mara ananiambia, Kuna Mwanamke Alikuja kama mteja, akaishia kushika shika Nguo weee akasepa, tokea hapo Biashara imesimama.
Wakuuu ,hamna Mauzo toka Ijumaa mpaka Leo Jumanne, hamna hata Mia, Mzigo Mpya, Kila mtu akija anausifiaaa Sanaa, lkn anaishia kusema nitarudi ila harudiii.
Wakuuu hata Mia, hata Miaaa!!
Au niamin tu ni hali,,,, ndio Kuna Siku Mauzo yanakua kiduchu ila huwez kosa Hata 30K.
Naondoaje Hili Jinamizi ?? ... Ni Duka ambalo niliamua kulifungua Kwa ajili ya Mwanamke ( Singo mama, nilizaa naye ) hivo nikalifungua ila Kila kitu anakisimamia yeye maana mtoto wetu alipata shida fulan ivi ivo sikutaka zile simu za mara Kwa mara za Hela .
( Huyo jamaa alomuomba Kijana elfu Kumi, ni rafiki wa aliyekua Mume wa Singo mama huyu nlozaa naye, na huyu alokua Mume amekua akimtangaza na kumuombea mabaya sana huku akisema Biashara yenyewe itafungwa tuu, Jamaa ana cheo Kwa tawi Moja la vya Dola, amekua anamchomea sana utambi Hadi mpaka TRA inafikia wakati wanataka kutuongezea Kodi bila sababu za msingi. ).
unampotezaMwagia maji ya baraka, dekia chumvi ya mawe na magadi vitaisha
Nampotezea wapiunampoteza