Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bidada wangu anawaamin hao akina Mwaposa, na kipindi kaja Mkoan kwetu, alinunua Katoni la maji na mafuta chupa Tano.Mwagia maji ya baraka, dekia chumvi ya mawe na magadi vitaisha
Mkuu niko Kanda ya ziwa,, Kwan kutoa mpaka Ufike ?.Duka lipo wp tuje kutoa gundu.
Hivi kuna uhusiano gani ya chumvi ya mawe na mambo ya giza?!Mwagia maji ya baraka, dekia chumvi ya mawe na magadi vitaisha
Nimeuchukua ushauri wako ,Mimi Huwa naendapo Mara Moja Moja sana, na huyu Bidada ni mbishii mnoo.Lazima kuna kitu kimabadilika ghafla ambacho mwanzo hakikuwako katika biashara na sasa kimekuwako.
Hizo superstitious beliefs zako weka kando kwanza anza kutafiti kisayansi ni mambo gani yamefanyika ndipo utapata jawabu.
Anunue tena sio apewe.Chuma ulete hiyo......
Nenda kwa Mwamposa nunua maji ya upako au mafuta ya upako uje umwagie hapo...........utakuja kutoa ushuhuda mwenyewe humu.
Mama yupi sasa, Samia?Muone mama.
Nani kama mama?
Acha mawazo yasokuwepo Mkuu.Mnaomjibu huyu jamaa sijui anawaonaje? Mwanzo kabisa namkariri kasema “Ni Duka langu la Nguo , Sasa Wiki ilopita Niliingiza Mzigo Mpya , katika hali isiokawaida Mara nyingi Nikishaleta Mzigo Mpya , nikiwapigia wateja wangu, Huwa Ndani ya Siku Mauzo nikaribuu 150K” ukiendelea katikati anasema “ Ni Duka ambalo niliamua kulifungua Kwa ajili ya Mwanamke ( Singo mama, nilizaa naye ) hivo nikalifungua ila Kila kitu anakisimamia yeye…”
Kiufupi mleta mada hajielewi au anataka kuwatangazia biashara masingo maza wa humu waingie mkenge kwake kuwa atawafungulia biashara
Nahisi kabisa hiliJuju 100%
Kwa kifupi tumepigwa bakora , kamba na chai kwa wakati m'moja. Lo lo lo lo lo lo lo jamani.Mnaomjibu huyu jamaa sijui anawaonaje? Mwanzo kabisa namkariri kasema “Ni Duka langu la Nguo , Sasa Wiki ilopita Niliingiza Mzigo Mpya , katika hali isiokawaida Mara nyingi Nikishaleta Mzigo Mpya , nikiwapigia wateja wangu, Huwa Ndani ya Siku Mauzo nikaribuu 150K” ukiendelea katikati anasema “ Ni Duka ambalo niliamua kulifungua Kwa ajili ya Mwanamke ( Singo mama, nilizaa naye ) hivo nikalifungua ila Kila kitu anakisimamia yeye…”
Kiufupi mleta mada hajielewi au anataka kuwatangazia biashara masingo maza wa humu waingie mkenge kwake kuwa atawafungulia biashara
Ahsante Mkuupole sana aisee,
Ndo namm nmehisi, Sasa Ananipigia analia kwelikweli, nmemuambia wachanitafute mbinu mitandaoniMkuuu umelogwa ww kaa chonjo aseeeeeeeeeee.
Hiyo ishawahi mtokea ndugu yangu hiyo elf 10 uliyotoa ni chuma ulete nakupa week 3 hesabu hiyo ni hasara tupu
Mama ni mama tu haichuji thamani yake, iwe wako au mwenzako.Mama yupi sasa, Samia?
Tuashumu Stori, Huwa jambo kama Hili ,unalisolv vpstory
Haujakutana na Mama Sawaki wewe.Mama ni mama tu haichuji thamani yake, iwe wako au mwenzako.
Asante Mkuu,nalichukua Hili .Mwagia maji ya baraka, dekia chumvi ya mawe na magadi vitaisha
Ina ondoa negative energyHivi kuna uhusiano gani ya chumvi ya mawe na mambo ya giza?!
Anayejua anijuze maana kuna shangazi yangu ukienda kuzoa chumvi aliyomwaga kwenye nyumba yake unaweza kupata gunia tatu za kilo 100.
😀😀😀😀😀kama ni mkatoliki kachukue yale ya kanisaniBidada wangu anawaamin hao akina Mwaposa, na kipindi kaja Mkoan kwetu, alinunua Katoni la maji na mafuta chupa Tano.
Kwamwaga wee wapi !!.
Shukrani Mkuu, Ahsante Kwa kunikumbusha hili, ninachompendea zaidi huyu Mwanamke ,ni mwenye huruma sana, anasaidia wahitaji, nahisi Kwa Hilo ndio linafanya anaumizwa.Kiukweli mkuu kama kweli umesema unamtegemea yesu embu soma hapa
Malaki 3:8_9
Malaki 3:10
Mimi nina ushuhuda wa mtu ninayemfahamu alikuwa ni boss wa duka la nguo za kiume kama biashara YAKO, akawa amesafiri kaachia mfanyakazi jamaa alikuwa ni lazima atoe fungu la kumi yule mfanyakazi akapewa maagizo mauzo yote kwanzia j3 mpaka jmosi piga hesabu ya faida nipe nitoe fungu la kumi baada ya kusafiri yule mfanyakazi akawa hafanyi hivyoo wee alikaa wiki 3 mfululizo ajauza na watu wanaingia KWA nadra sana dukani na boss hana habari yyte maana anajua fungu la kumi jumapili lazima ipelekwe na mfanyakazi kumbe hafanyi hivyo alirudi akamsimamisha KAZI alivyoanza tu kutoa fungu la kumi mambo yakawa safi, nimekujibu kutokana na umesema kwamba unamtegemea yesu japo kuna wengine hawaamini haya mambo jaribu kumtolea MUNGU